Ushauri kwa vijana: Kijana fanya juu chini hakikisha una check number

Ushauri kwa vijana: Kijana fanya juu chini hakikisha una check number

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Hii nchi bado wasomi wachache si kama tunavyodanganyana vijiweni.

Yes, haiwezekani vijana wote wakaajiriwa na serikali lakini vijana wachache watakaosoma huu Uzi na wengine wengi wanaweza kuajiriwa na serikali.

Unaweza kuwa na kampuni huku ni mwajiriwa.

Unaweza kufungua duka, ukalima n.k huku ukiwa mwajiriwa wa serikali hii.

Cha msingi ni kutumia ufahamu wako mdogo tu kuangalia ni namna gani unaweza kuingia serikalini na kupata check number.
Unaweza kuingia kwa kutumia course mbadala.

Unaangalia fani gani inatoa sana ajira unapitia huko.

Mfano wewe ni account unaweza piga driving unaingia kama dereva maisha yanasonga ukifika kazini unafanya kazi za uhasibu unasubiri recategorizing.

Jamaa mmoja Mtaalamu wa IT nilimshauri akapiga course ya Sheria ya mwaka mmoja akaajiriwa kama afisa mtendaji wa mtaa katika kuripoti akakuta kwa DC kuna shida ya IT officer akakaa pale hajachukua muda kabadilishwa kada kimuundo.

Kuwa makini pia kwenye usajili wa taarifa psrs. Kama ukipata degree kwa kuungaunga angalia ni level ipi wanaajiri kwa wingi kwa hiyo kada yako.

Kwa wanaokwenda kuanza chuo kwa lengo la kuajiriwa waangalie mipango mikakati ya serikali.

Hii haiwahusu sana vijana wa asili ya Asia, kwani wenzetu IQ yao iko juu na wanazaliwa wanakuta ukoo una kampuni nyingi.

Unaweza ukajitosa kwenye kilimo kumbe serikali iko kwenye uvuvi, unaweza kujitosa kwenye madini na gesi kumbe serikali iko kwenye transition kuelekea kwenye sekta ya usafiri na viwanda.
Soma majira. Kila kitu kinawezekana.

2014 niliwashauri vijana wasome Record management, karibu wote walionielewa wako kwenye mirija. Mwingine yuko bungeni.

Sasa record management sio dili kivile maana ina vijana wengi mtaani certificate na diploma mpaka degree wapo.
 
Nawambieni tena vijana kama una elimu ndogo kama form 4 au form 6.kasomeni course za udereva.
Madereva,huku Serikalini wanakula maisha huku elimu zao ni ndogo tu na hawana kazi ngumu kama Maofisa wa Kawaida halafu wana muda hata wakusimamia biashara tofauti na maafisa wa kawaida.

Mfano Ofisini kwetu hakuna anayekosa chini ya 2M kwa mwezi na hiyo ni ndogo sana.
 
Unaweza ukajitosa kwenye kilimo kumbe serikali iko kwenye uvuvi, unaweza kujitosa kwenye madini na gesi kumbe serikali iko kwenye transition kuelekea kwenye sekta ya usafiri na viwanda.
Soma majira. Kila kitu kinawezekana.
Mkuu sina shaka na maelezo mengine uliyoandika, ila kwenye ili eneo nadhani haupo sahihi sana.

Kwasasa tulipo kama nchi, Kila kitu ni bahati zaidi kuliko mipango. Kama ningepata nafasi ya kumshauri mtu, basi ningemshauri asome anachopenda, na kama vipo zaidi ya kimoja basi anaweza omba ushauri wa mawazo toka kwa watu sahihi.

Broh, serikali sio ya kuifatisha kabisa hasa kwenye mambo kama Elimu. Rejea 2012/2013 kipindi ambacho gesi asilia na mafuta viligunduliwa huko kusini, serikali ilikuja na mkakati wa kuzalisha wataalam wa maswala ya petrol, zikaanzishwa na kozi. Sasa hivi ni 2024 nenda kawatafute wale graduates wa hizo kozi ujionee.
 
Nawambieni tena vijana kama una elimu ndogo kama form 4 au form 6.kasomeni course za udereva.
Madereva,huku Serikalini wanakula maisha huku elimu zao ni ndogo tu na hawana kazi ngumu kama Maofisa wa Kawaida halafu wana muda hata wakusimamia biashara tofauti na maafisa wa kawaida.

Mfano Ofisini kwetu hakuna anayekosa chini ya 2M kwa mwezi na hiyo ni ndogo sana.
Udereva safari aisee, utakula mpaka upagawe

Kwenye mishe nayopiga mahali fulani mnaenda safari, mkifika watumishi mnahenyeka sana, dereva ye katulia zake juu ya usukani full burudani

Mnapambana wee siku nzima mkitoka mnarudi ofisini, ila per diem sawa

Mkifika ofisini utakuta mnashinda na kukesha wiki nzima kusolve tatizo, yeye unakuta tayari kashachukuliwa na kitengo kingine kwenda sehemu nyingine

Kwa kifupi udereva upo vizuri sana kama taasisi yenu (hasa ya serikali) ina safari safari za kutosha
 
Hello!
Hii nchi bado wasomi wachache si kama tunavyodanganyana vijiweni.

Yes, haiwezekani vijana wote wakaajiriwa na serikali lakini vijana wachache watakaosoma huu Uzi na wengine wengi wanaweza kuajiriwa na serikali.

Unaweza kuwa na kampuni huku ni mwajiriwa.

Unaweza kufungua duka, ukalima n.k huku ukiwa mwajiriwa wa serikali hii.

Cha msingi ni kutumia ufahamu wako mdogo tu kuangalia ni namna gani unaweza kuingia serikalini na kupata check number.
Unaweza kuingia kwa kutumia course mbadala.

Unaangalia fani gani inatoa sana ajira unapitia huko.

Mfano wewe ni account unaweza piga driving unaingia kama dereva maisha yanasonga ukifika kazini unafanya kazi za uhasibu unasubiri recategorizing.

Jamaa mmoja Mtaalamu wa IT nilimshauri akapiga course ya Sheria ya mwaka mmoja akaajiriwa kama afisa mtendaji wa mtaa katika kuripoti akakuta kwa DC kuna shida ya IT officer akakaa pale hajachukua muda kabadilishwa kada kimuundo.

Kuwa makini pia kwenye usajili wa taarifa psrs. Kama ukipata degree kwa kuungaunga angalia ni level ipi wanaajiri kwa wingi kwa hiyo kada yako.

Kwa wanaokwenda kuanza chuo kwa lengo la kuajiriwa waangalie mipango mikakati ya serikali.

Hii haiwahusu sana vijana wa asili ya Asia, kwani wenzetu IQ yao iko juu na wanazaliwa wanakuta ukoo una kampuni nyingi.

Unaweza ukajitosa kwenye kilimo kumbe serikali iko kwenye uvuvi, unaweza kujitosa kwenye madini na gesi kumbe serikali iko kwenye transition kuelekea kwenye sekta ya usafiri na viwanda.
Soma majira. Kila kitu kinawezekana.

2014 niliwashauri vijana wasome Record management, karibu wote walionielewa wako kwenye mirija. Mwingine yuko bungeni.

Sasa record management sio dili kivile maana ina vijana wengi mtaani certificate na diploma mpaka degree wapo.
waoga na wasioamini katika bidii ya kufanya kazi ndo wanaowaza check namba kila siku,watu majasiri wenye kudhubutu walishatoka huko
 
Nawambieni tena vijana kama una elimu ndogo kama form 4 au form 6.kasomeni course za udereva.
Madereva,huku Serikalini wanakula maisha huku elimu zao ni ndogo tu na hawana kazi ngumu kama Maofisa wa Kawaida halafu wana muda hata wakusimamia biashara tofauti na maafisa wa kawaida.

Mfano Ofisini kwetu hakuna anayekosa chini ya 2M kwa mwezi na hiyo ni ndogo sana.
kozi hii unasoma kwenye chuo maalumu au chochote tu ilimladi uwe nacheti chaudereva?
 
Back
Top Bottom