Nyenzely law
New Member
- Jun 28, 2024
- 3
- 1
Sio kila kazi inatakiwa ifanywe na kila mtu,,chagua segment yako ifanye kwa juhudi na nguvu nyingi mambo yatatiki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni umejifunga mwnyw apo? Machinga akikosa Huwa anabaki na mtaji wake lakini ukibeti ukakosa Hela yote imeenda , think twiceKazi ni nini? Umekariri kazi mpaka mtu abebe zege au mpaka mtu awe kwenye kiti cha kuzunguka ofisini?
Kubet ni kazi kama zilivyo kazi zingine, kupata au kukosa hayo ni matokeo. Hata machinga anayezunguka siku nzima hutokea siku kukosa na siku zingine hupata
Umetoa ushauri wa hovyo