Kazi ni nini? Umekariri kazi mpaka mtu abebe zege au mpaka mtu awe kwenye kiti cha kuzunguka ofisini?
Kubet ni kazi kama zilivyo kazi zingine, kupata au kukosa hayo ni matokeo. Hata machinga anayezunguka siku nzima hutokea siku kukosa na siku zingine hupata
Umetoa ushauri wa hovyo