Ushauri Kwa Vijana kuhusu ujenzi

Ushauri Kwa Vijana kuhusu ujenzi

Tatizo eneo,neighborhood ndio inaweza kua imechoka!

Unasema mpo kwenye government plan,mara leo unasema una document ya wizara OG,which is which sir?

Kuna mitaa ukitaja jina tu people keep quiet,hiyo ndio inafaa ujenge gorofa la life time kama hilo,ila mitaa ya unapita inabidi usimame mwenzako apite kwanza ni wastage of resouholo

Tatizo eneo,neighborhood ndio inaweza kua imechoka!

Unasema mpo kwenye government plan,mara leo unasema una document ya wizara OG,which is which sir?

Kuna mitaa ukitaja jina tu people keep quiet,hiyo ndio inafaa ujenge gorofa la life time kama hilo,ila mitaa ya unapita inabidi usimame mwenzako apite kwanza ni wastage of resources!
Viwanja vyote hapo vimepimwa na vina hati hivyo vya ufukweni ni kwa ajili ya hotels alafu vinavyofuatia ni makazi hiyo ni beach area mzee kiwanja kidogo kabisa ni 1000 square meters
 
Yan hata kwa 150 hapo nashangaa umewezaje kufika.ngoma bado mbich sana hapo.atleast uwe na 100 nyingine ili ifike hata level ya kuingia n

Tatizo eneo,neighborhood ndio inaweza kua imechoka!

Unasema mpo kwenye government plan,mara leo unasema una document ya wizara OG,which is which sir?

Kuna mitaa ukitaja jina tu people keep quiet,hiyo ndio inafaa ujenge gorofa la life time kama hilo,ila mitaa ya unapita inabidi usimame mwenzako apite kwanza ni wastage of resources!
Sasa wewe kwa mtizamo mahoteli yote yanayojengwa kigamboni unazani hakuna barabara ? hapo karibu na kwangu kuna Bamba beach , pickcock nao wanajenga hotel uazania wanatjenga tu bila plan?
 
Acheni kutisha watu nyie wa kuongeza sifuri kwenye ujenzi, kwanza kujenga ni kuzika pesa..... ni uoga wa maisha.
 
Back
Top Bottom