Ndiyo anataka waunge mkono maandamano badala ya kurudi kwenye maridhiano fakeUnafiki upi sasa? Mbona CHADEMA walisusia kikao cha Samia.... mbona pia wamepinga mkataba wa bandari alitaka wafanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo anataka waunge mkono maandamano badala ya kurudi kwenye maridhiano fakeUnafiki upi sasa? Mbona CHADEMA walisusia kikao cha Samia.... mbona pia wamepinga mkataba wa bandari alitaka wafanyeje?
Hawa hawa waTanzania walio busy kujadili umri wa wema na goli la Simba?Sana tu. Utayari upo, unadhani Polisi wanapambana maandamano yasitoke sababu ni checklist yao? Vyombo vya usalama vinafahamu hasira zilizopo mtaani na wanajua usalama wa viongozi wa CCM utapotea siku wananchi wakipata kiongozi wa kuwaingiza barabarani.
Wale jamaa huwajui Zitto Junior?Anaweza sana tu sema alipaswa awe na umati nyuma yake, sasa akiwatoa vyama vya upinzani akabaki mwenyewe sidhani kama atafika kokote
Heheheee......tz vijana bado sanaHawa hawa waTanzania walio busy kujadili umri wa wema na goli la Simba?
Lini CHADEMA imepinga maandamano? Yeye aliwakaribisha kwenye mkutano hawakwenda ndio kapanic.Ndiyo anataka waunge mkono maandamano badala ya kurudi kwenye maridhiano fake
Chadema wako bize na maridhiano ili waonewe huruma wazazwadiwe baadhi ya majimbo na viongozi wawe wabunge. Baaasi!Mbowe, Lissu tunawapa pole za kupigwa risasi na kufilisiwa lakini hii struggle siyo ya watu binafsi sababu kuna watu wamekufa kabisa kwa ajili ya mapambano ya kuitoa CCM. Je hao utawambia nini familia zao? Viongozi wa sasa hawana mbinu, ari wala mikakati ya kiuhalisia wakuitoa CCM. Wakina Mwakubusi wanajaribu kuratibu maandamano na civil disobedience na hiyo ndio lugha CCM wanaelewa na kuogopa. Hivi nyie mnawezaje kuwa waastarabu kwa watu wanaoiba kura mchana kweupe huko Zanzibar na mkaamini watabadilika na kuwa waastarabu? Eti unaongelea vyuo vya Uongozi, Diplomacy una akili kweli wewe? Unapambana na mhuni wa Mbagala kwa technique za Oysterbay.
Hamna kitu ingekua ni kampuni ya US kidogo ningehofia maana ingekua na back up ya CIA kama ExxonMobilWale jamaa huwajui Zitto Junior?
Wewe ni kama hao wakina Mbowe mmekata tamaa. Ukikata pumzi kaa pembeni wapambanaji wengine waingia ulingoni siyo unatumia vinguvu vilivyobaki kuwakatiza wenzako morali. Kila binadamu anakipaji chake nyie mkishindwa siyo lazima na wao washindwe. Michakato yote mnayofanya sasa haileti matokeo. Watu wanataka CCM iondoke 2025 unaanza kuongelea ruhusa ya kufanya mikutano wakati juzi Mbeya CCM wameiba Kura za Ubunge na tupo October 2023 unadhani chaguzi ndogo za 24 ni mbali au chaguzi kuu 25. Mwakubusi amewambia ukweli muda wenu umefika pumzikeni.Ndio, hao wazanzibar mbona waliandamana wakafa Mamia walipata nini? Wamekuja kupewa serikali ya Umoja wa kitaifa mezani. Same to CHADEMA kama ni maandamano tulifanya sana ila mchakato wa katiba enzi za JK na Sasa zimepatikana mezani wala sio kwa maandamano.
Nimeongelea uwasilishaji mada kwa wananchi, mbona Mbowe au Mbatia au Zitto wapo composed kwanini mpaka uanze matusi weeee hadi kwa wapinzani wenzako waliokutoa gerezani?
Kwa nchi kama Kenya ni kweli ila waTanzania wengi bado wajinga na hawaamini katika nguvu ya umma. Ndio maana kuna mgao ila wanacheka cheka tu na simba na yanga.
Mbinu waliotumia ni ya diplomatic na ndio imeleta mikutano kuruhusiwa, na sheria mbovu za uchaguzi zinaenda futwa, tume huru inaanza na mchakato wa katiba mpya umekuja. Ukipata tume huru na katiba mpya ni step ya kwanza kuitoa ccm sasa unadhani ccm itatoka kwa NEC au maandamano? Zaidi watamtoa Samia watamweka Mpango na watendelea kutawala miaka 60 mingine kama Zimbabwe!!
Unajua Tanzania haipo mjini tu. Ni watu wachache sana wanafanya hivyo kati watu ya 60m.Hawa hawa waTanzania walio busy kujadili umri wa wema na goli la Simba?
Sasa si aanzishe chama chake ili kiwe anavyotaka? Zitto na Kitila walianzisha chama Chao walipoona Mbowe hafai!Chadema wako bize na maridhiano ili waonewe huruma wazazwadiwe baadhi ya majimbo na viongozi wawe wabunge. Baaasi!
Mwabukusi kapiga kwenye utosi (kaongea kweli tupu). Upinzani una lengo la kutibu njaa tu kupitia posho za ubunge.
Jidanganye, huku mkoani kigoma Chadema ni maarufu kuliko hata Moshi.Chadema ni kampuni ya wachagga sio chama cha siasa
Uzuri wa ukweli ni ngumu kuupinga. Ni sababu wanapata taabu kujibu.Chadema wako bize na maridhiano ili waonewe huruma wazazwadiwe baadhi ya majimbo na viongozi wawe wabunge. Baaasi!
Mwabukusi kapiga kwenye utosi (kaongea kweli tupu). Upinzani una lengo la kutibu njaa tu kupitia posho za ubunge.
Wapinzani wanastahili kutukwanwa. Kwasbb wamekuwa wakichosha masikio ya watanzania kuwa wanadai katiba mpya na tume huru.Msijazane upepo, kuna tofauti ya ukweli na UJINGA. Mtu kma unaona vyama vyote ni feki si uanzishe chako? Au kama unaona wenzio hawaku support si usonge mbele alone why mpaka utukane watu ambao hawako liable kwako?
Ni sawa na umemchoka ndugu yako kukaa hapo kwako si unaweza mtoa kwa gia ya kumtafutia kazi au biashara kwani lazima mpka umuite umwambie NIMEKUCHOKA??
TCD anzisheni chuo shida ni kubwa zaidi ya nilivyodhani
Nimepita mitaani asubuhi 90% ya vijana wana discuss simba na yanga kufuzu makundi. Hayo wanajadili huku hawana umeme?? Hao ndio wanaelewa kweli hata umuhimu wa bandari?Unajua Tanzania haipo mjini tu. Ni watu wachache sana wanafanya hivyo kati watu ya 60m.
Waombe ubunge? If that was the case kwanini Chadema ilikataa tume huru ila wanadai katiba mpya? Means wanachotaka sio kushinda chaguzi ila mabadiliko ya mfumo wa utawala wa nchi hii.wengine wanaomba waachiwe majimbo kupitia maridhiano.
Usiwadharau hao wamechagua kuvumilia tu. Siku wakiwaka hata wanajeshi watajificha.Nimepita mitaani asubuhi 90% ya vijana wana discuss simba na yanga kufuzu makundi. Hayo wanajadili huku hawana umeme?? Hao ndio wanaelewa kweli hata umuhimu wa bandari?
Maridhiano unayokejeli hapa ndio yamezaa mchakato wa katiba, mikutano ya siasa, na tume huru.Wapinzani wanastahili kutukwanwa. Kwasbb wamekuwa wakichosha masikio ya watanzania kuwa wanadai katiba mpya na tume huru.
CHADEMA wao wana mikakati yao, akumbuke CHADEMA hao hao walipiga kelele mpk akaachiwaUnafiki upi sasa? Mbona CHADEMA walisusia kikao cha Samia.... mbona pia wamepinga mkataba wa bandari alitaka wafanyeje?