Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Na vyombo hivyo vya usalama vina take advantage ya woga wa watanzania especially vijana wengi ambao hawapo tayari kwa mapambano ni waoga sana kiasi cha kujiingiza kwenye uchawa kama fichio la huo woga wao.

Uhakika uliyopo ni kupigana vita hiyo na maamdamano hayo nyuma ya viboard vyetu humu jf na mitandao mingine.
Kama nyie ni waoga haimanishi wananchi wote ni waoga. Chawa wenyewe wapo ngapi? Vyombo vya usalama vinaogopa kuliko hata wananchi wenyewe. Mwakubusi akiweza kuandamana hata na watu kumi siku ya kwanza tayari ni mafanikio makubwa sana. Akirudia hivyo mara 10 tu watu wataanza kumuona yupo serious na kumuunga mkono ni kama yule mchungaji wa Mbeya utaona reaction itakayoleta baada ya kufungwa. Jitihadini kujifunza historia mara zote oppressive governments hazijawahi kushinda.
 
Shirikiana naye basi
Kwa mwendo huu wa chadema kuwalamba miguu ccm haitakaa ishike dola. Kwasabb ccm kamwe msitarajie wataamka asubuhi watengeneze katiba ya kuwaondoa madarakani. Ili ccm iondoke njia bora ni ya Mwabukusi.

Lkn inavuoelekea chadema inatamani ipate walau wabunge, ruzuku ipatikane baasi....full maslahi.

Hakuna dhamira thabiti, mikakati yakinifu na mipango madhubuti ya kudai katiba mpya na tume huru. Porojo tu
 
Sasa kama kajitia ataipataje katiba mpya na tume huru? Ajiunge na Mwabukusi sasa
Hii njia ya Mwabukusi CHADEMA tumeifanya sana tukaishia kupigwa kufungwa na kukimbilia Ukimbizini,sasa tunazichoshe na njia za Dialogue ikishindikana tuingie Msituni kuchoma mkaa.
 
Sasa kama kajiondoa the way forward ilikuwa ni kuunga juhudi za Mwambukusi. Maana uchaguzi umekaribia lkn chadema yaonekana kama imekata upepo. Ndiyo maana Mwabukusi anawashangaa!
Mwabukusi ni freelancer ila mbowe yupo chini ya baraza kuu chadema hawezi amua tu yeye kama yeye. Unadhani chadema inaweza surrender party resources kumjenga mtu asiyekua mwanachama wao?

Hata zitto alipotaka kuleta ripoti ya PAC just ya TEGETA ESCROW alijua anawahitaji chadema ila sio chadema ndio wamsupport zitto ilihali wangemjenga kisiasa. Yeye aka surrender kwao akaruhusu wahodhi mjadala na ajenda nzima. That's how politics works.

Yeye angepewa resources za chama hata helicopter angepewa afanye mikutano kata zote ila awe chini ya flagship ya chadema not vice versa.
 
Anataka sana tu sema anajua amechokwa so hata akishindanishwa na upepo, chini ya tume huru ataangushwa 2025; ila hana shida kukabidhi madaraka kwa upinzani 2030.
Dhana kwamba Samia ataachia madaraka kirahisi kwa upinzani 2030 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa mwanadamu uanguke ndipo apate kitoweo. Nmekaa pale....ikitokea uniite huhuhuhu.
 
Hii njia ya Mwabukusi CHADEMA tumeifanya sana tukaishia kupigwa kufungwa na kukimbilia Ukimbizini,sasa tunazichoshe na njia za Dialogue ikishindikana tuingie Msituni kuchoma mkaa.
Hapana hamjafanya chochote sijawahi kuona maandamano ya Chadema ya kusimamisha Nchi wala Sijawahi kuona wananchi wakifanya civil disobedience kwa ajili ya Chadema. Hata hivyo haijalishi hamtabadilika.
 
Dhana kwamba Samia ataachia madaraka kirahisi kwa upinzani 2030 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa mwanadamu uanguke ndipo apate kitoweo. Nmekaa pale....ikitokea uniite huhuhuhu.
Inawezekana mbona JK alikubali SUK, mbona aliwapa zenji katiba yao na akakubali mchakato wa katiba huku bara!! Viongozi wa Pwani wanaogopa shari sana rejea Mwinyi kuitwa Bwana Rukhsa!!

So sitoshangaa akikubali yaishe 2030
 
Unafikiri aliachiwa sababu ya CDM.
Ile ngoma iliyopigwa na TEC ilikaribia kupasua ngoma za sikio za 'sirikali' ya 'saa hundred'.
But literally waliofika polisi kumdhamini walikua chadema.... hata kortini walipewa mawakili na chadema makao makuu.
 
Sisi tutaendelea na mikutano yetu ya Kanda hadi Kanda Kijiji hadi Kijiji za kukijenga Chama chetu cha CHADEMA kamwe hatuwezi kuburuzwa na Slaa na Mwabukusi

Slaa na Mwabukusi wafanye mikutano yao mitatu.

Sisi CHADEMA sio chama cha single ajenda na wala sio chama cha msimu.
 
Hii njia ya Mwabukusi CHADEMA tumeifanya sana tukaishia kupigwa kufungwa na kukimbilia Ukimbizini,sasa tunazichoshe na njia za Dialogue ikishindikana tuingie Msituni kuchoma mkaa.
Hii ya Mwabukusi inatofauti kidogo. Maana inahusisha wadau wengi, asasi za kiraia, vyama vya siasa na makundi mbali mbali ya kijamii.
Hivyo itakuwa na kishindo kikubwa.

Chadema ilishindikana kwasabb ilikuwa ni issue ya chama kimoja tu cha siasa.
 
Hapana hamjafanya chochote sijawahi kuona maandamano ya Chadema ya kusimamisha Nchi wala Sijawahi kuona wananchi wakifanya civil disobedience kwa ajili ya Chadema. Hata hivyo haijalishi hamtabadilika.
Tarime ilifanyika sana hii..... Arusha ilikua maandamano kila wiki.... juzi tu Akwilina aliuwawa maandamano ya chadema so hii imefanyika sana hili. Sema kwa aina hii ya wananchi sio rahisi kupata turn out kubwa
 
Hii ya Mwabukusi inatofauti kidogo. Maana inahusisha wadau wengi, asasi za kiraia, vyama vya siasa na makundi mbali mbali ya kijamii.
Hivyo itakuwa na kishindo kikubwa.

Chadema ilishindikana kwasabb ilikuwa ni issue ya chama kimoja tu cha siasa.
Political movement yoyote bila endorsement ya chadema is bound to fail
 
Back
Top Bottom