Chadema haijawahi kufeli ktk ku-mobikize watu ili kupata support. Chadema kama kungekuwa na tume huru siku nyingi ingekuwa ishachukua dola.Imekata upepo? Duuh hii mikutano yenye hamasa kubwa huioni?
Ninaposema imekata moto ni kwenye issue ya kuishinikiza ccm ikubali kuandika katiba mpya ili hiyo support ya wananchi iwe na tija kwenye chaguzi.