Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Kwangu mimi (si lazima iwe hivyo kwa kila mtu) hii inatakiwa ufanye huku friji limejaa bia.

Kama unafanya huku huna bia/pombe, utajuaje kuwa hunywi pombe kwa sababu umechagua kutokunywa, na si kwamba umeishiwa tu pombe?

Mimi ninavyosema nimeacha kunywa, nina mini bar ina Scotch Whisky, Vodka, Gin, Tequila na Wine.

Halafu nina friji la garage lina bia kibao.

Na sijazigusa mwaka mzima.

Lakini zipo, siku nikipata mgeni anakunywa nitampa anywe.

Na kuwapo kwa pombe hizo mwaka mzima ndani ya nyumba, bila ya mimi kuzigusa, na bila ya mimi kulazimishwa na mtu au kitu chochote nisinywe, ndiyo uthibitisho kwangu kwamba nimeamua kukataa mwenyewe kunywa pombe.
Hii ni nzuri sana mkuu, nitaitumia na mimi hii.
 
Kwa masikitiko makubwa ,naichukua nafasi hii kusema na kukuomba msamaha ndugu Lethergo kwa alochofanya ndugu yetu kwako .

Ila naendelea kutoa rai kuwa na sisi ni raia kuna mda tuna mapungufu yetu hivyo tuvumilieni tu .

Ahsante na tunaomba utusamehe hatutarudia tena
 
We mlokole mwenye vidole tuache mpaka tarehe kumi ndio uropoke vinginevyo ni wivu tu unakusumbua baadae ya kumaliza pesa za uniform za wanafunzi watoto wako acha tule bia pesa ipo
 
We mlokole mwenye vidole tuache mpaka tarehe kumi ndio uropoke vinginevyo ni wivu tu unakusumbua baadae ya kumaliza pesa za uniform za wanafunzi watoto wako acha tule bia pesa ipo
Ukishalewa kalale usisumbue watu si umelewa kwa pesa zako sasa kwanini unalewa na kuanza kusumbua watu?
 
Nyinyi msiokunywa mnakuaga na dharau sana ukisha gundua mtu kaweka vitu mnakuaga na vineno flani vya fedhea Acha mitusi muioge, na usivyojua pombe unafikiri mtu aliyekunywa unaweza kumpiga na kumuua kirahisi wakati wengine wakilewa ndio wanakua simba. We siku jichanganye ukifikiri kila mtu anaekunywa ni mwepesi
 
Nyinyi msiokunywa mnakuaga na dharau sana ukisha gundua mtu kaweka vitu mnakuaga na vineno flani vya fedhea Acha mitusi muioge, na usivyojua pombe unafikiri mtu aliyekunywa unaweza kumpiga na kumuua kirahisi wakati wengine wakilewa ndio wanakua simba. We siku jichanganye ukifikiri kila mtu anaekunywa ni mwepesi
Ukilewa kalale au wapigie polisi waje wakuchukue wakusindikize mpaka kwako ukalale
 
Back
Top Bottom