SoC01 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

SoC01 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

Stories of Change - 2021 Competition

Khadija Mtalame

Senior Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
185
Reaction score
715
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
 
Upvote 229
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Tuendelee na mjadala
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Thanks
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
karibuni tuendelee na mjadala
 
Kwa kua wanasiasa ndo wamekua waamuzi wa kila kitu dhidi ya wananchi basi nawashauri wote waliohitimu kidato cha sita wachukue mchepuo wa Sayansi ya Siasa na uongozi wa uma kwa miaka mitatu tu kisha waingie bungeni walau kwa miaka miwili kisha miaka mitano ijayo waje hapa kutoa shukrani!
Karibu
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Karibuni tuendelee na mjadala
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Nice ,all the best
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Ebu tuambie, ukipewa hiyo pesa utaifanyia Nini?
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
maisha yanakwenda kasi sana
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilish
Hello, naomba nichangie kama moja ya wahitimu wa kidato Cha Sita ... Mtoa mada umegusia sana kuhusu kusoma unachokipenda ili mhitimu aweze kujiajiri ... 😭😭😭 Suala la ajira tz ni tatizo Kwa sababu Sasa hivi Dunia imehama kutoka kweny talent and passion na imeelekea kweny skills and experience .... Nitakupa mifano dhahiri mfano ni kutoka Kwa Salim kikeke ambaye alipenda habari lakini chuo alisoma kuhusu kilimo .... Kilichomfanya atoboe na kwenda BBC ni ujuzi , passion na uzoefu .... Mtoa mada suala la ajira ni tata sana hususani tz Kwa sababu asilimia kubwa ya watu tunasoma vitu ambavyo havipo kweny jamii mfano unakuta mtu anasomea urubani wakati nchi Ina ndege Tisa halafu hata hashituki 😭😭😭 naomba niishie hapa
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Ushauri mzuri kabisa na wa bure kabisa, sema sasa wanaopewa ushauri wenyewe huwa wajuaji hao. Wana mipango yao hewa na huwa hawasikii la mtu. Utakuta anakwambia mi nataka kuwa Doctor au Engineer kama Brother au Baba ana hela kweli na gari zuri sana. Unapowaambia habari za kuangalia miaka 3 au 5 ijayo akili yao ni fupi sana kuweza kuona hata mwezi mmoja ujao, yani ni mtihani sana. Wanahitajia walezi wenye upeo mkubwa sana wa uelewa wa mambo ya elimu na dunia kwa ujumla.

Kwasababu yupo anaechagua anachokipenda ila zaidi unakuta hajaangalia ule utu wake wa ndani na roho yake, unakuta hata anakipenda pia sio sahihi maana kimeathiriwa na mazingira yaliyomzunguka zaidi na sio ile dhamira yake ya ndani inayotokana na roho yake. Kwahiyo mwisho wa siku anachokipenda kinakuwa hakuna maana tena kwake, na watu waliomzunguka wakiwa ni watu wasio na uelewa mpana wa mambo bado watamuingiza chaka zaidi kwa kuangalia mazingira yale yale. Kwahiyo hili swala sio la kuangaliwa muda mtu amemaliza kidato cha 6, maandalizi yake yanaanza tangu mtoto anaanza kujifunza kuongea. Na kama ukichelewa basi angalia hata akiwa kidato cha kwanza anaanza kujengwa kuhusu maisha baada ya shule.

Tatizo ni hata Wazazi na walezi wengi bado hatuna uelewa mkubwa sana wa mambo ya elimu na njia ipi ni nzuri kwa watoto wetu. Leo ukimfata Mzazi ambae ana mtoto amemaliza kidato cha sita na ana DIV I nzuri ukamwambia nimeongea na mwanao kasema anapenda kuwa Fundi Magari, sasa nakushauri mpeleke pale VETA CHANG'OMBE, ujue unatafuta ugomvi na atakuona we mchawi hautaki maendeleo ya mtoto wake.

Dhana moja mbaya sana imejengeka Tanzania au Afrika na nchi za Asia ni kwamba kuwa na Shahada ya Chuo Kikuu ni sehemu ya heshima kubwa na mafanikio makubwa sana. Ni heshima kwa familia na jamii, kwahiyo kila mtu anataka kuipata Shahada na kupita Chuo Kikuu. Lakini hatuambiwi ukweli kuwa Shahada ya Chuo Kikuu sio Elimu ya lazima na ni elimu unatakiwa kuisoma pale ukiwa na uhitaji na elimu hiyo. Na pia unaweza kuisoma muda wowote katika maisha yako. Wengi tunakuja kugundua hili baada ya kupoteza miaka 3 au 4 na zaidi kusoma kitu ambacho hata we mwenyewe haukielewi kina maana gani. Na Vyuo Vikuu navyo wamekuwa wasanii hawasaidii watu ila wanafanya biashara ya Elimu kutaka kujaza madarasa wapate pesa.

Unakuta kijana ametoka kidato cha sita anakwenda kusoma Political Science and Public Administration au International Relation, na vyuo vinachukua wanafunzi 100 au zaidi wa kutoka kidato cha sita. Kweli jamani???? Huo kama sio kuwadanganya watoto ni nini hicho??? Huyu akikosa kazi ya Serikali anaenda wapi??? Ana Taasisi ngapi zakuweza kumuajiri kama akikosa kazi ya Serikali??? Sina maana kuwa hizi sio kozi za muhimu, la hasha. Ila ni kozi inatakiwa watu wapelekwe kusoma kama kuna uhitaji au ambao tayari wapo kazini wanaenda kujengewa uwezo katika eneo hilo. Ni muda wa kuamka sasa kama kweli tunataka maendeleo. Tuache kulia lia na mitaala ya Elimu, kwa kiasi kikubwa mitaala haina shida na ipo vizuri kulingana na kusudi la elimu ya Chuo Kikuu.
 
Habari wanajukwaa;

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya na wakati mwema Kama huu,ili niweze kutoa upako wa kweli kuhusu hatma ya wanafunzi waliomaliza KIDATO cha 6 kuhusu nini cha kusomea baada ya Necta kutangaza matokeo yao.

Pili na mwisho katika utambulisho,hongereni sana vijana wote mliofanikiwa kufaulu mtihani huo na kufanikiwa kutimiza ndoto zenu.

Mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuelekea kuchagua masomo ya chuo kikuu,

MOJA,

Vijana wote wanaotaka kufanya maombi ya chuo kikuu wanatakiwa kuhakikisha kwamba WANAISHI NDOTO ZAO, kutokana na kuwepo kwa shida ya ajira ambapo kumekuwa na wahitimu wengi ambao wameshindwa kujiajiri na kuajirika kutokana na namna elimu walivyopata.

Mwanafunzi au mtu yoyote anaetaka kufanya chaguzi ya fani ya kusomea chuo kikuu anatakiwa kwanza kujipima na kuangalia Nini anapenda maishani mwake? Na sio akasomee kitu gani chenye ajira. Mfano, unaweza kukuta kipaumbele Cha serikali ya JMT Ni afya na ualimu sayansi na ukaamua kwenda kusoma katika kada hizo,lakini mwisho wa siku ukamaliza na ukasubiriwa kuajiriwa na endapo hutaajiriwa elimu yako itapotea pia utakuwa umepoteza ndoto zako.

Lakini, endapo mtu ukaamua kusoma kitu unachokipenda moyoni mfano, endapo unapenda kuwa fundi mshonaji wa nguo tangu ukiwa mdogo,Ni lazima uhakikishe kwamba unachagua masomo ambayo ukienda kusoma darasani utakuwa na amani ya moyo na utayapenda sana ,ambapo mwisho wa siku utaelewa na hautakuwa mzigo mtaani Mara utakapomaliza masomo yako.

Hivyo,nawashauri sana vijana muombe vitu ambavyo mnavipenda kutoka moyoni na sio vitu ambayo unahisi au umeshauriwa vina ajira endapo utamaliza,siku hizi hakuna kitu utasoma kitakupa ajira moja kwa moja, hata aliesomea Udaktari anaweza kumaliza na asiajiriwe lakini endapo utasoma Udaktari kwa kupenda hata usipoajiriwa utaweza kujiajiri mwenyewe.

Hivyo napenda kuwaasa, vijana na watanzania wote kwamba ILI TUWEZE KUPAMBANA NA AJIRA KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU,tafadhali tuhakikishe kwamba tuwaambie vijana wetu wakasome vitu wanavyovipenda na sio kitu ambacho anahisi ataweza kuajiriwa endapo akimaliza masomo yake.

PILI, ni ndoto ya kila mwanafunzi anaposoma anakuwa amedhamiria kuwa nani na kwasababu gani. Kwa kuzingatia hilo nipende kuwaambia vijana waliomaliza kidato Cha sita elimu ya chuo kikuu siyo "fashion" kwamba ilimradi nimesoma elimu ya chuo kikuu, jipe nafasi jitafakari angalia mbele miaka 3/4/5 ijayo unataka kuwa nani, hakuna kinachoshindikana, kuamua, kudhamiria na kuchukua maamuzi ni sehemu muhimu katika maisha yenu yote hivyo basi ni vyema kuwa makini zaidi katika wakati wote ambao unajitizama baada ya miaka 3/4 ya kumaliza chuo utakuwa wapi na unafanya nini!

Usikubali kubaki ulipo, usikubali kurudishwa nyuma na marafiki ulionao, amka simama imara chagua kitu kitakachokufanya baada ya miaka 3/4 ya chuo kikuu unakuwa kweli watofauti kubwa.
Ni kweli ajira hakuna hasa zinazotoka serikalini kwa maana ni chache na zina ushindani mkubwa, kama lengo lako hasa ni ukimaliza upate ajira serikalini basi utakuwa hujaamua kuwa nani baada ya miaka ya chuo.

Tuwe na tabia ya kujitizama na kujiwekea malengo makubwa lakini yanayofikika katika maisha yetu ya Chuoni na yakila siku, kwa kuzingatia hili tuwe tayari kuweka mawasiliano sahihi na watu sahihi kwa muda sahihi, tujitahidi kutafakari pale unarudi nyumbani baada ya miaka ya chuo na upo upo tu unaangalia wazazi, tukumbuke suala la kujituma kwa moyo wa dhati liwe kipaumbele chetu kikubwa.

Kumbuka; nyakati zinabadilika Ila mtazamo wa wewe uwe nani baada ya miaka ya chuo unao wewe na wewe ndo kiongozi mkubwa.

Usiende chuo kikuu kwasababu nimechaguliwa kwenda lazima niende, hapa naelezea kidogo jambo, elimu ya chuo kikuu siyo fashion kwamba baada ya miaka 3 ukiona ulichosoma hakifai utarudi tena ukasome kingine, mafanikio yako unayo wewe fanya maamuzi sahihi leo ili kesho ukawe mshindi katika jamii yako na familia yako. Acha kufuata mkumbo.

Leo nakupa kazi ya kufanya kijana uliyechaguliwa kwenda chuo kikuu, tenga saa moja kaa pahala patulivu kuwa na notebook yako na kalamu, zima simu yako, sali kwa imani yako kisha anza kuandika unataka nini baada ya miaka 3 /4 ya chuo kikuu kisha tafakari je ninachoomba kitanifikisha hapo?

Halafu kesho tutaelezeana humu humu kwa comments je tunajionaje baada ya miaka 3/4 ya chuo.

Mwisho kabisa, kumekuwa na wanafunzi wengi waliomaliza michepuo mbalimbali wakiomba ushauri juu ya nini cha kusomea chuo kikuu na ambapo akimaliza ataajiriwa,nawaomba sana tuwaambie wakasome vitu wavipendayo na sio vitu vitakavyowapa ajira ya kuajiriwa wakimaliza masomo yao mfano,Kuna mwalimu wa wito na mwalimu alietaka sehemu ya kuajiriwa tu.

Nawasilisha.
Thanks
 
Back
Top Bottom