Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 467
- 981
Hajawai niambia huo ushetani aisee mambo ni mengi tu ya ajabuDuuh! Mkuu kakufanyaje Hadi ufike mbali hivo? Kama ni cheating ni mambo ya kawaida.
Kama anakulazimisha kwa mpalange mwambie hutaki na kitendo hicho ni kinyume na mpango wa Mungu.