Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

Una generalise sana kwamba wanawake wenye kazi hawatumii pesa zao kwa ajili ya familia hiyo nakataa
 
suala hili ni pana zaidi katika kujadili matokeo ya kuoa mwanamke mwenye ajira na asie na ajira ktk upande wa faida na hasara

faida zake (kwa mwenye ajira)
1.endapo ukakwama na mkawa mnaelewana ndani ya nyumba anaweza kusaidia kwa kipindi umekwama kuziba nafasi japo kwa uchache
2.ukifa ana take responsible sahihi kwa watoto
3.shida hupungua ktk familia kipesa
4.mtakula maisha (kama mpo bond)


hasara zake (kwa mwenye ajira)
1.ukikosea kidogo tu anaanza dharau ni kwasababu anajua hakutegemei moja kwa moja
2.mara nyingi chako chake, ila chake ni cha kwake tu
3.watoto hukosa malezi ya mama hatimae huishia kupelekwa boarding schools
4.mapenzi hupungua kwa sababu kila mtu anakuwa bize mchana mkirudi nyumbani wote mmechoka
5.chance ya kucheat na mahouse girl au maofisini huwa kubwa sana
6.heshima ya mwanaume hupungua kwa sababu uwepo wake hauna nguvu ya moja kwa moja kwa familia
7.ndoa huweza kuvunjika muda wowote kwa kuwa wote ndani wanaweza kujiona wanaume na kitu ambacho mwanaume hakipendi ni dharau au kukosewa heshima
8.watoto hukosa maadili


kwa hivyo kimsingi kuoa mwanamke mwenye ajira kuna faida chache sana kuliko hasara
hasara ni nyingi ila all in all mwanaume uchague kuitekekeza ndoa yako ama kuijenga for future hilo lipo mikononi mwako ila cha mwisho wakuu na cha kuzingatia mwanaume inapaswa kutumia sana akili kufanya maamuzi katika kuliendea suala zima la ndoa kuliko kutumia mihemko na hisia za mapenzi (moyo huponza kicbwa)
Ndio mkuu ukipata mwanamke Bora ni vizuri ila Hawa wanawake wakishapata watoto na wakakua mara nyingi mapenzi huamia kwa watoto na usiombe apate cheo huko ofisini na mshahara ukapanda na hekima asiwe nayo ndo basi tena kwasababu wakati mshahara wako unatumika yeye anajihimarisha na kuwa nguvu zaidi ndo maugomvi na shida ndani hua azihishi
 
Ndio mkuu ukipata mwanamke Bora ni vizuri ila Hawa wanawake wakishapata watoto na wakakua mara nyingi mapenzi huamia kwa watoto na usiombe apate cheo huko ofisini na mshahara ukapanda na hekima asiwe nayo ndo basi tena kwasababu wakati mshahara wako unatumika yeye anajihimarisha na kuwa nguvu zaidi ndo maugomvi na shida ndani hua azihishi
hapo kwenye kujiimarisha umesema ukweli kabisa mkuu
 
hivi wakuu mmeshakaa mkafikiria kuhusu future ya watoto pale ambapo labda ghafla mwanaume akakakata kamba(kifo) cha ghafla?

kimsingi naona kuoa mwanamke mwenye kazi sio mbaya kwa upande wa pili kwa sababu watoto pia wanakuwa katika upande salama kielimu na malezi baada ya baba kufariki.

lakini pia familia nyingi za kiafrika zinatamaduni za kunyanyasa wanawake wajane aidha anaweza fukuzwa au kuporwa mali hivyo kama anakazi inamjengea kujiamini na kama anaelimu anaweza kupambana kisheria zaidi tofauti na mwanamke asie na kazi na hana elimu anakuwa mnyonge
Kwanini uwaze mwanaume kufa kabla ya mwanamke? Hiki kitu nacho Huwa kinanishangaza
 
common sense mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio common sense chief, bali umetumia people's experiences. Medical explanation yakuelezea hicho kitu ipo ila hutayapenda maana inaweza mfanya watu waache kufunga ndoa kabisa[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi naunga mkono hapo kwanini nioe mke anayefanya kazi kama Mimi alafu Hela yake inabaki kuwa yake haisaidii chochote.Mbaya zaidi wote tunarudi nyumbani tumechelewa kutoka kazini.Wote tunatengewa maji ya kuoga na house girl .Wote tumechoka.Wote tunapikiwa na house girl.Kazi ya mke kama msaidizi kwenye familia imechukuliwa na house girl hata kazi ya kukusaidia majukumu na kamshahara kake Bado anakataa.

Hamna umuhimu wa mke hapo na by time utaanza kumpenda house girl akiwa anakupikia vizuri (na utamsifia),akiwa anakuandalia maji na kukupa care zingine ambazo ilitakiwa atoe mke wako.Mbaya zaidi utakuta huyo mke anarudi Kila siku kutoka kazi ukimgusa tu kitandani anadai amechoka.

Tuwe sobber mwanamke kufanywa kuwa msaidizi na Mwenyezi Mungu ilikuwa Ina maana ya kazi za nyumbani pamoja na kulea watoto.Hizo zingine ni ziada na ndiyo maana WAZEE wa kale walikuwa hawaoni maana ya kumsomesha mtoto wa kike.Sababu wanajua provider wa familia ni Baba sio Mama.

Mke atakuwaje submissive akiwa na mshahara wake.Ni wachache wanaoweza wengi wanapatwa na Kiburi na hata kudiriki kusema "Tuachane Nina mshahara na kazi yangu".Kitu ambacho sio rahisi Kwa Mama wa nyumbani anayemtegemea mumewe.Ndiyo maana Kuna mkono wa kushoto na kulia,yote yanafanya kazi ila wenye nguvu na unaotumika kufanya mambo mengi ni WA kulia.
Tunaenda kinyume na maumbile ya asili ndo maana lazima hayo yanatokea.
 
Jf mbele daima, mtanisamehe kwa uandishi mbovu.

Watu mlioko kwenye ndoa kuna nini uko ambacho mngependa kutushauri sisi ambao hatujaoa/kuolewa either mazuri au mabaya ili tuweze kujifunza.

Hivi karibuni kampeni za kukataa ndoa hapa jf zimeshika kasi sana kana kwamba hata sisi ambao tunasapoti ndoa kutaka kuunga mkono kampeni kwa sababu ya visa na matukio ya kutisha ambayo tunayaona na kuyasikia kwa baadhi ya members hapa kwenye majukwaa.

Sasa hivi wanawake wa kisukuma wamewapiku wachaga baada ya matukio yao kuripotiwa kila siku kwenye media, tukianza na Masawe, Dr. Mwaka na kaka yetu Haji.

Kesi za ndoa huku mahakamani ndio usiseme, almost kila siku talaka zinatoka, tunayokutana nayo kwenye law firms hayaelezeki.

Kwa takwimu za haraka haraka wanaume ndio wanaongoza mpaka sasa kuleta malalamiko ya ndoa hapa jukwaan, wanawake kama kawaida yao wanaleta malalamiko kwa kuvizia kwa sababu ni wavumilivu sana; ukiona kaleta uzi hapa ujue yamemfikia kooni.

Nimeamua kuandika huu uzi baada ya kutoka kushuhudia ugomvi mzito sana wa wanandoa hapa jirani, mwanamke kaamua kuondoka na haijulikani kaenda wapi! Na kwa makadirio hawa wanandoa hawana muda mrefu tangu wamefunga pingu za maisha.

Mlioko kwenye ndoa naombeni mtufumbue macho tafadhali!
 
Leo hii, mm Sexless, kungwi la kitaa nimetoka kupewa malalamiko na mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 34.

Mwanaume huyu analalamika kuwa mkewe kamkimbia na kuachia watoto 3 (wenye umri wa miaka 6, 4, na 1 Na miezi 8).

Hiwezi amini baba huyu anatoa machozi kabisa kwa kile alichotemdewa na mwanamke huyu
😹😹😹
 
Jamaa alioa kwa sababu alipenda tako, bibie aliolewa kwasababu ya ugumu wa maisha.

Kila mtu akipata alichokitafuta, hana sababu ya kubaki.
Nilikua naomba experience yako mkuu.

Sifikiri kama iyo inaweza kua ndo chanzo cha matatizo yote haya tunayoyasikia uko kwenye ndoa kila kukicha. Imani yangu ni kua kwenye kipindi cha uchumba hii dhana yako unakuta haipo.. yawezekana pia ipo lakini ni nadra sana.

Matatizo ya ndoa yamezidi sio tu kwa tajiri au masikini bali, ata kwa wale sura personal na wazuri. Kila mtu anafata moyo wake unavomuongoza.

Au pengine watu tunatumia sana hisia badala ya akili katika kutafuta wenza wetu wa maisha.?
 
Back
Top Bottom