Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
666 chata shetani mwenxio huyu hapa
For sure malalamiko ya wanandoa yameshika hatamu hivi sasa.Leo hii, mm Sexless, kungwi la kitaa nimetoka kupewa malalamiko na mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 34.
Mwanaume huyu analalamika kuwa mkewe kamkimbia na kumuachia watoto 3 (wenye umri wa miaka 6, 4, na 1 Na miezi 8).
Hiwezi amini baba huyu anatoa machozi kabisa kwa kile alichotemdewa na mwanamke huyu
Maisha siyo sawa na mchezo wa karata. Maisha ni mipango.Changamoto zipo tu uwe bachelor uwe umeoa lazima utakutana na changamoto tu, usiogope kuoa kisa kuogopa utapewa talaka. Ikipatikana nafasi oa mipango ya kuachana au kuzeeshana anayejua ni Mungu tu.
Can you please support your argument or else itakua ni propaganda tu.alisema nami sitawaacheni na nyege kiasi cha kushindwa kuhimili ntawatumie ndugu mamujee naye atawafariji
MARRIAGE IS A SCAM
Tupe sababu mkuu tukae kwa alert kwa sisi ambao bado tuna matarajio ya kufunga ndoa uko mbeleni kadri Bwana atakavojaliaKataa ndoa
Afya ya akili ni bora zaidi
Well said mkuu, lakini kwa sasa kilichopo uko kwenye ndoa sio changamoto tena bali ni majanga.. huko ndani hakukaliki kabisa.Changamoto zipo tu uwe bachelor uwe umeoa lazima utakutana na changamoto tu, usiogope kuoa kisa kuogopa utapewa talaka. Ikipatikana nafasi oa mipango ya kuachana au kuzeeshana anayejua ni Mungu tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]666 chata shetani mwenxio huyu hapa
Bwana akijalia oa ,utajifunzaa mbivu na mbichi uko uko alafu utarudi hp kutupa mrejeshoo mkuu.Tupe sababu mkuu tukae kwa alert kwa sisi ambao bado tuna matarajio ya kufunga ndoa uko mbeleni kadri Bwana atakavojalia
Mi sii mtumwa wa 666[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heri yk ww uliyeingia utumwan mkuu..
ACHA cc mashetan tubaki na ushetan wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na laiti ukimskiza mwanamke aliyekimbia na kuacha watoto utabaki mdomo wazi, unaweza kuta amevumilia toka ana mtoto mmoja anajipa moyo labda muda ukisonga yatakwisha, imefika muda AMECHOKA! Ni vile mwanaume akiongelea mapungufu ya mwanamke yanaonekana saaana kuliko mwanamke huyu aliyevumilia bila kusema akihofia watanionaje, ntaenda wapi nimeshazaa, kule mtaani/ kijijini kwetu nkirudi watanisema mno.Leo hii, mm Sexless, kungwi la kitaa nimetoka kupewa malalamiko na mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 34.
Mwanaume huyu analalamika kuwa mkewe kamkimbia na kumuachia watoto 3 (wenye umri wa miaka 6, 4, na 1 Na miezi 8).
Hiwezi amini baba huyu anatoa machozi kabisa kwa kile alichotemdewa na mwanamke huyu
Mwanaume anawahi kulalamika kwa sababau haezi vumilia yale anayomtendea mwanamke, mwanamke anaweza jipa muda wa kuvumilia hadi amalizane na idadi ya watoto anaotaka kuzaa, aka akavumilia kabisaa...ila kuna wengine vichwa vyao na mioyo dada vumi hayumo akiamua kulipiza hata kidogo kidogo anayofanyiwa lazima yaonekane makuuubwa mwanaume analia kabisaFor sure malalamiko ya wanandoa yameshika hatamu hivi sasa.
Ningependa kujua mtazamo wako kwanini wanaume ndo wamekua walalamikaji ukilinganisha na upande wenu.. huoni kama wanawake kuna sehemu mnakosea inatakiwa mrekebishe.?
ila NDOA NI NZURI.....
Sijui kama upo sawa kichwani!Ndoa zina mambo nyieeee naishi na mume wangu ambaye sina hisia naye kabisaaa hata akifa sahii sjui kama nitadondosha chozi, hata yeye nishamtamkia ikitokea nikafa asilie wala asinizike awape maiti yangu ndugu zangu wazike nlisema kwa uchungu na kwa kumaanisha mbele ya watoto na wazazi wangu aisee kuna maudhi unafanyiwa kwa mwanamke kuyaeleza mbele za watu unaona sio sawa unaamua kunyamaza....ila NDOA NI NZURI.....
Duuh! Mkuu kakufanyaje Hadi ufike mbali hivo? Kama ni cheating ni mambo ya kawaida.Ndoa zina mambo nyieeee naishi na mume wangu ambaye sina hisia naye kabisaaa hata akifa sahii sjui kama nitadondosha chozi, hata yeye nishamtamkia ikitokea nikafa asilie wala asinizike awape maiti yangu ndugu zangu wazike nlisema kwa uchungu