Uchaguzi 2020 Ushauri kwa wanasiasa: Mbio zenu za Madaraka zisiathiri maisha yetu; kuigingilia mitandao na intaneti ni kuzuia haki zetu

Ila kwa hiki walichokifanya wamethibitisha kwamba wanaogopa nguvu ya umma
 
Kishindo cha awamu ya tano tutembee kifua mbere ndg zangu watanzania
 
Kuna mtu alisema tweeter kwamba Benki zitafungwa hatukuchukulia serious. ATM hazifanyi kazi na mitandao ya benki leo yote tabu tupu hii ni kero kwa hakika and there must be economic impact.

Kuanzia sasa yote anayosema Kigogo tuyachukulie serious.
 
Inakakera hivi nchi imekuwa Rwanda ghafla
 
Ndio haya mambo Lissu anazungumza kuhusu uhuru na haki za watu
 
Kuna mtu alisema tweeter kwamba Benki zitafungwa hatukuchukulia serious. ATM hazifanyi kazi na mitandao ya benki leo yote tabu tupu hii ni kero kwa hakika and there must be economic impact.

Kuanzia sasa yote anayosema Kigogo tuyachukulie serious.
Ma bank nayo yamepata hasara
 
Mkiambiwa CCM haifai tena kuendelea kuongoza hii nchi muwe mnaelewa. Hawa ni mashetani wasioogopa kulitaja jina la Mungu. Kesho kapigeni kura kuwaondoa Madarakani na mzilinde kura zenu kweli.
wewe utakua wapi kipindi sisi tunalinda kura au ndo wewe unaenda kwa mkeo sisi tunatoana meno na police
 
Serikali tuliyoichagua wenyewe inatufanyia uharamia.

Haikubaliki
 
Sisi mataga wala halijatugusa hili. Lumumba ili supply internet vzr tu poleni.

Cc: bia yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…