Alafu mtu anakuambia ukapange foleni kupiga kura....kwa Afrika kura ni kupoteza muda...pole kwa wapiga kura.Leo nimekula loss sio siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu mtu anakuambia ukapange foleni kupiga kura....kwa Afrika kura ni kupoteza muda...pole kwa wapiga kura.Leo nimekula loss sio siri
Vpn nnayo ila imegoma kabisa mkuuDownload VPN
Unawashwa ww wengine hatuna vyamaChadema hamna hela za bundle mimi mbona najimwaga kama kawaida
Vyama sawa nakubali hamna vyama lakini pia hela za bundle hamnazoUnawashwa ww wengine hatuna vyama
ndo ukatimize wajibu wako kulisaidia taifa letu tukufu kuondokana na huu ushamba aseedaaaah politicians are very low
very selfish
wanafanya kitu cha kuumiza watu mamilioni kwa ajili ya manufaa yao.
Leo kazi zimestuck za watu ambao hawajihusishi hata na hizo siasa majitaka.
inatia hasara to the extent
Ni leo na kesho tu.jitu linakaza magego jukwaani nitatengeneza ajira kwa vijana!!!wakati limepanga kuzima mitandao,hao waliojiajiri kupitia mitandao wakale wapi sasa
Mng'oeni Mbowe kwenye saccos yake muone mtiti wake. Utopolo mtupu.Na ndiyo maana kila mtu anatakiwa kushiriki katika kumng'oa huyu dikteta kwa jasho na damu.The worst is yet to come!
Mtu kula hasara ya siku 2 ili kunusuru nchi isiangukie mikononi mwa vibaraka kina Amsterdam si dhabiToka lini JIWE akajali loss ya mtu. Yeye anachojua Ni lengo lake litimie upate hasara, ufe,ulie, yulee sio binadamu wakawaida.
Tunaongozwa na binadam wasio na sifa ya utu. kilimit speed ya internet na kufunga baadhi ya mitandao ya kijamii ni ujinga mkubwa Sana. Hii inatupa hasira Sana kuelekea siku ya kesho.
Wajinga hao.Unaonekana umebarehe juzi. 2015 ilikuwa hivi hivi hata JF ilizimwa 2015. Be prepared boss.
Wewe twitter unaenda kufnya nini zaidi ya kumfollow kigogo?Twitter kwangu imegoma kabisa.wengine hatuhusiki Na uchaguzi.what a shhit move
Kichwani kwako una ubongo au funza?Mbowe ana uwezo wa kuzima twitter,whatsapp,instagram,FB,e.t.c?Mbowe ana uwezo wa kumuathiri kila Mtanzania?Watu wanauawa ovyo kama kuku wewe unaongea upumbavu?Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?Mng'oeni Mbowe kwenye saccos yake muone mtiti wake. Utopolo mtupu.
Hamia kwa AmsterdamHii nchi basi tu. Watanzania tumepatikana. We are slaves in our own land.
Kweli imegoma kabisa! Nahisi kuna watu wameblock hiyo App.Vpn nnayo ila imegoma kabisa mkuu
Vapanee kila kitu muruaTwitter kwangu imegoma kabisa.wengine hatuhusiki Na uchaguzi.what a shhit move
Hapo unacoment huku umejificha uvunguni mwa kitandaNa ndiyo maana kila mtu anatakiwa kushiriki katika kumng'oa huyu dikteta kwa jasho na damu.The worst is yet to come!
Hapa ame comment kwa kutumia nini?Hela ya bundle ukose wewe halafu ulaumu serikali jilaumu mwenyewe