ACHA CHUKI, AKILI MBOVU, na ROHO MBAYAKwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.
Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
ok nadhani atakua ameona maoni yakoKwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.
Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Mawazo yanazalisha megawati ngapi?Kaisafishe kwa Jiki. Acha UCHAWA wa kijinga. Nchi iko kwenye giza huwezi hatankuchangia mawazo
Sio huyo Ni yule Dotto Imeli mkuu.Unamuongelea biteko yupi? Huyu akiwa madini kapora viwanja vya uchimbaji wa madini kwa kutumia nafasi yake. Huyu aliyemdemote rmo wa kahama kisa katoa viwanja kwa wachimbaji wadogo ambavo dotto alikuwa anavitaka, dotto yupi anaongelewa hapa.
hapo sawa maana nimeshangaa eti Dotto Biteko. hahahaaaaSio huyo Ni yule Dotto Imeli mkuu.
Gesi ilisemwa hivyo piaUpungufu wa umeme utapata suluhisho baada ya kukamilika bwawa la Nyerere au nasema uongo Ndugu zangu?
Akikaidi kuwatoa kwa hofu ya nguvu yao waliyo nayo basi ahesabu tatizo lote la TANESCO halitawaendea wao litamwangukia yeye na mwisho wa safari wataanza kumbagaza kisha kumng'oa. Mrema alipewa nguvu sana mpaka akajibadilisha kuwa mvaa kanzu na vibaragashia; mtu mhimu ambaye aneza kusimulia alivyosumbuliwa na Agostine Mrema miaka ile ni mbunge Kishimba wakati huo akiwa mfanyabiashara wa madini ya dhahabu.Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.
Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Sasa hivi 30-45 % ya umeme unazalishwa unapotea kwa sababu ya uchakavu wa njia ya kusafirishia umeme. Tutakuwa pale paleUpungufu wa umeme utapata suluhisho baada ya kukamilika bwawa la Nyerere au nasema uongo Ndugu zangu?