Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.

Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Sawa tuu lakini umeme uwake
 
Biteko mpaka kupelekwa elewa kuwa kaenda na maagizo rasmi. Agizo alilopewa ni moja tu, Watanzania wanataka umeme, nenda kahakikishe wanapata umeme, sasa atafanya nini au nini ni juu yake.

Sisi tunachotaka ni umeme, tutegemee Reforms and Rebuilding za nguvu.
 
Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.

Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Watanzania hawataki hizi siasa za kuteua bodi mpya kila siku wanataka umeme.

Nishati ya umeme inahitaji ubunifu mkubwa sana, kuna ongezeko la watu kila kukicha.

Huu sio muda wa porojo ni muda wa umeme kupatikana.
 
Doto hafikiri kwa undani leo kasema eti bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika ttizo la umeme litaisha. Hivi hilo bwawa litatoa Megawatt ngapi mpk limalize shida ya umeme ili Hali mahitaji yanongezeka kila siku?

Hata wabdilishe bodi na mkurugenzi bila kuja n vynzo vingine vya umeme ni kutwanga maji kwenye kinu.
Hua lote hili hata hatuzalishi megawati thelathin kwa jua? Upepo wote huu unatupausha tu, joto la ardhi, nk nk.
Juzi Kagame kasaini mkataba wa kuzlisha umeme kwa nuclear sisi tunapiga siasa tu!!!

Hivi tulifikaje uchumi wa kati ili Hali hata umeme wa uhakika hatuna? Hivyo viwanda vya kutupeleka huko vilikuwa vinaendeshwa na nishati gani?
 
Biteko mpaka kupelekwa elewa kuwa kaenda na maagizo rasmi. Agizo alilopewa ni moja tu, Watanzania wanataka umeme, nenda kahakikishe wanapata umeme, sasa atafanya nini au nini ni juu yake.

Sisi tunachotaka ni umeme, tutegemee Reforms and Rebuilding za nguvu.
Hana uwezo wowote wa kufanya reform yule asingepiga mbiu Kila siku badala ya kujifungia na watendaji wa wizara kuchora plan ya kuondoa tatizo bila maneno mengi.
Umeshasikia ana mkakati wowote wa kuongeza umeme?
Mahitaji ya umeme yameongezeka na vyanzo nice vile vile ha hapo bado hata hatujapata viwanda vya uhakika.
Jua lote hili linatuunguza tu hatulitumii kuzalisha hata megawati moja tukafeed grid ya taifa.
 
Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna upungufu wa umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.

Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
It's obvious hawa walitakiwa kuondolewa pale na kuwekwa wapya watakoendana na huyu waziri mpya mwenye hadhi ya unaibu waziri mkuu.

Bila kufanya hivyo, business will be as usual.
 
Wako Watu wanasema Sema Eti Mh Maharage aondolewe Tanesco, sasa unajiuliza bosi wake Waziri Makamba kaongezewa hadhi kwa kuteuliwa Wizara nyeti zaidi sasa why Maharage aondolewe?

Mwacheni achape Kazi na matokeo ya Kazi zake tutayapima mbeleni.

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi [emoji1]
Nishati, Tamisemi ndo Wizara izo mzee Wote Budget zao ni above 3T nishati akiwa na 3.1 Trillion na Tamisemi ni 3.4 Trillion
 
Kuwatoa hao hakuongezi hata megawatt moja ya umeme.
Watakaoingia nao watasaka mikataba minono kama ya JM. Ametolewa lkn mshiko wake wa vimikataba kwenye gesi, mafuta, tanesco si haba.
Wapumbavu wanadhani katolewa kwa kushindwa kazi. Kumbe katolewa kwa kukamilisha kazi kwa weledi mkubwa. Hakuna kitu amekiacha. Hata huyu anajua. Wanachofanya sasa ni ushawishi mpya na mapichapicha. Sasa atamwagwa Chande na tutafurahia.


Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
 
Mkuu usitetee uzembe obvious.Ukarabati ni jambo continuous,kwa hiyo huwezi leo kumuambia Mtanzania hana umeme kwa kuwa eti nyaya ziliwekwa 1989.Zilitakiwa ziwe zimeshaondolewa na kuweka zingine!
Kwa uchumi upi (nchi) na kwa mapato ya bei ya chini hii tunayolipa kwa TANESCO?
 
Kwa uchumi upi (nchi) na kwa mapato ya bei ya chini hii tunayolipa kwa TANESCO?
Stupid comment.We know what CCM and its gkovernment is doing,kama hujui,ni wewe.Kwa nini Kinyerezi IV imesimamishwa?Unajua?Kwa nini tunapanga kununua umeme from a private Company,why?Upigaji mtupu.CCM ina haha kutafuta hela za uchaguzi wa 2025 through dubios means because they know it will a tough election, kwa sababu ya mambo mengi ya kijinga wanayofanya.Samias' government is infact a replica of Kikwete's government.Hakuna sababu yeyote ya mlsingi ya kuwa na huu mgao wa umeme.
 
Stupid comment.We know what CCM and its gkovernment is doing,kama hujui,ni wewe.Kwa nini Kinyerezi IV imesimamishwa?Unajua?Kwa nini tunapanga kununua umeme from a private Company,why?Upigaji mtupu.CCM ina haha kutafuta hela za uchaguzi wa 2025 through dubios means because they know it will a tough election, kwa sababu ya mambo mengi ya kijinga wanayofanya.Samias' government is infact a replica of Kikwete's government.Hakuna sababu yeyote ya mlsingi ya kuwa na huu mgao wa umeme.
Mkuu huna ushahidi wowote to support you comment- this just an opinion from a much know senseless activist
 
Mkuu huna ushahidi wowote to support you comment- this just an opinion from a much know senseless activist
Naomba ufuatilie kama Kinyerezi 1V inafanya kazi halafu ulete taarifa.Fuatilia pia kama TANESCO hawana mpango wa kununua umeme from a private company located in Mtwara.Mwisho comment on what Samia has done since she came to power,does she really have any chances of being elected in a fair election!If the answer is no,in such a situation,what would CCM do to make sure that Samia is elected.

Brother even circumstantial evidence, without any evidence on the ground indicates that their is something fishy going on.It is obvious upuuzi ule ule was IPTL na SYMBION unajirudia.This government cannot be trusted for anything.
 
Naomba ufuatilie kama Kinyerezi 1V inafanya kazi halafu ulete taarifa.Fuatilia pia kama TANESCO hawana mpango wa kununua umeme from a private company located in Mtwara.Mwisho comment on what Samia has done since she came to power,does she really have any chances of being elected in a fair election!If the answer is no,in such a situation,what would CCM do to make sure that Samia is elected.

Brother even circumstantial evidence, without any evidence on the ground indicates that their is something fishy going on.This government cannot be trusted for anything.
You cannot move me an inch with your Vijiwe Vya Kahawa-based argument. Do you know how much CCM is worth? Let me assume that you are right. How much is going to be generated from the Mtwara IP contract? Can't CCM single-handedly raise excessive amounts from its project and the subsidies it gets from the government?
Mkuu tafuta forum zingine za kijinga kusambaza ujinga unaojaribu kusambaza
 
You cannot move me an inch with your Vijiwe Vya Kahawa-based argument. Do you know how much CCM is worth? Let me assume that you are right. How much is going to be generated from the Mtwara IP contract? Can't CCM single-handedly raise excessive amounts from its project and the subsidies it gets from the government?
Mkuu tafuta forum zingine za kijinga kusambaza ujinga unaojaribu kusambaza
Lete taarifa authentic mkuu,mimi nimeleta hoja,zipinge hoja zangu kwa hoja,sio maneno matupu.

Eti how much CCM is worth,to me it is worth nothing,labda ujinga wa DP World!
 
Back
Top Bottom