Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

Lete taarifa authentic mkuu,mimi nimeleta hoja,zipinge hoja zangu kwa hoja,sio maneno matupu.

Eti how much CCM is worth,to me it is worth nothing,labda ujinga wa DP World!
worth is not an idea- abstract idea

What does worth meaning mean?


the monetary value of

The noun worth refers to the monetary value of something. If your grandmother gives you a strange old coin from her collection, you can have it appraised to determine its worth. The noun worth also means the inherent value of something based on the qualities of excellence, usefulness or importance.
 
worth is not an idea- abstract idea

What does worth meaning mean?


the monetary value of

The noun worth refers to the monetary value of something. If your grandmother gives you a strange old coin from her collection, you can have it appraised to determine its worth. The noun worth also means the inherent value of something based on the qualities of excellence, usefulness or importance.
I believe you know what I imply,message sent na bado nadai facts,not empty words.
 
Hana uwezo wowote wa kufanya reform yule asingepiga mbiu Kila siku badala ya kujifungia na watendaji wa wizara kuchora plan ya kuondoa tatizo bila maneno mengi.
Umeshasikia ana mkakati wowote wa kuongeza umeme?
Mahitaji ya umeme yameongezeka na vyanzo nice vile vile ha hapo bado hata hatujapata viwanda vya uhakika.
Jua lote hili linatuunguza tu hatulitumii kuzalisha hata megawati moja tukafeed grid ya taifa.
1695534342534.png
 
Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna ratiba ya umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.

Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Hatimaye Zuhra Yunus amewelka PDF kama one hour ago.

Wote tuliochangia huu uzi wangu tujipongeze. Viongozi wanasoma na wanachukua hatua.
IMG-20230923-WA0021.jpg
 
Kuwatoa hao hakuongezi hata megawatt moja ya umeme.
Watakaoingia nao watasaka mikataba minono kama ya JM. Ametolewa lkn mshiko wake wa vimikataba kwenye gesi, mafuta, tanesco si haba.
Wapumbavu wanadhani katolewa kwa kushindwa kazi. Kumbe katolewa kwa kukamilisha kazi kwa weledi mkubwa. Hakuna kitu amekiacha. Hata huyu anajua. Wanachofanya sasa ni ushawishi mpya na mapichapicha. Sasa atamwagwa Chande na tutafurahia.
Kishatolewa sasa, sijui ndugu Bursar utasemaje. Usiichukulie poa JF
 
Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna ratiba ya umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba, Bodi ya Wakurugenzi na MD wao YAMEFELI.

Rais kamtoa Makamba baada ya kumuidhinishia fedha kwa Matrilion ili kui transform TANESCO na bado hakuna matokeo ni kukiri kuwa alifanya makosa kumuweka pale Nishati. Nathubutu kusema ni wakati sasa Waziri Mpya Doto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu akamuomba Rais naye aje na Bodi mpya na Mtendaji mpya ambao watawajibika kwake na kuondoa makambaism.
Wala hakuna tatizo maana inaonesha MD wa Sasa bwana Chande aliletwa na Makamba hivyo basi hata Dotto Yuko sawa kuja na MD wake
Screenshot_20230923-091036.jpg
 
Sasa hivi 30-45 % ya umeme unazalishwa unapotea kwa sababu ya uchakavu wa njia ya kusafirishia umeme. Tutakuwa pale pale
Hii 30-45% ya power loss umeitoa wapi wewe mtu? Je unaweza kuleta ushahidi hapa jukwaani?
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
Nahisi hawa walikuwa wanaletwa na Mzee Msatafu wa Msoga
 
Back
Top Bottom