Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

Kwakifupi tunaweza sema wanaume wote wawe kama mimi, nasema uongo ndugu zangu?
 
Mimi sina stress na raha za maisha sana tu labda kitu kidogo kinachonipa stress ni hili moja tu hela nitazijazaje mimi sina muda na wanaume.
Kweli social media ni nzuri sana .
Zinakusaidia urelax ni kweli soon nitauchukua ushauri wako.

Nimeshaenda hospitali na pia sina shida ya akili labda wewe unashida fulani ya kunitaka nikuseme vibaya .
Jingine laiti ungejua no minder nakazi nyingi ikiwemo kuagua .
 
Aya sawa Polee kwa yaliyo kusibu ila kwenye kutabu cha uwongo 12:22""Bila kusema uwongo utaishia kuwatazama kwa macho kama mtu alie pigwa na rungu kichwani""😁
 
Natamani kucheka naogopa[emoji38][emoji38][emoji38]
Ila natumaini ujumbe umewafikia…
Cheka mwaya maana nilichosikia kwa wadada fulani saloon leo nikaogopa kuwa wanaume walioa wasipokuwa makini wasichana wadogo wao sio wazamani watafanya mbovu .

Mimi ni mtu mzima sasa siwezi kuchukizwa nikaja kufungua uzi nope najitambua sana na humu ni social media meaning huwezi muona mtu wala kumuwekea manani mtu humuoni .
 
Aya sawa Polee kwa yaliyo kusibu ila kwenye kutabu cha uwongo 12:22""Bila kusema uwongo utaishia kuwatazama kwa macho kama mtu alie pigwa na rungu kichwani""😁
Usidhubutu kuandika hivi tena hii sio biblia heshimu kitabu kitakatifu
 
Naona kama vice versa, ukiwa muongo plus mixer uigizaji utawadaka 80% ya wanawake.Mwanamke unaweza ukamwambia "nitakujengea gari ....." na akakuamini.

Ndio ukweli wenyewe.
 
Mna tamaa na kukimbilia kuvua vyupi kwa ahadi bila kuchunguza kwanza...unatongozwa leo leo ,unapewa ahadi leo na unavua kyupi na kuweka miguu juu kama popo leo leo, huyo mwanaume atakuwa mjinga akikuoa.
Wee unataka kuwafanya warembo watunyime mbususu day one
 
Mna tamaa na kukimbilia kuvua vyupi kwa ahadi bila kuchunguza kwanza...unatongozwa leo leo ,unapewa ahadi leo na unavua kyupi na kuweka miguu juu kama popo leo leo, huyo mwanaume atakuwa mjinga akikuoa.
Kuolewa siyo issue mkuu,issue kubwa kuitunza hiyo ndoa.Maana kiuhalisia wanappata tendo la ndoa Kwa nadra ni wanaume 😉
 
Kuolewa siyo issue mkuu,issue kubwa kuitunza hiyo ndoa.Maana kiuhalisia wanappata tendo la ndoa Kwa nadra ni wanaume 😉
sasa inasaidia nini kinyimwa hilo tendo,ndani ya ndoa kuna mda ukifika hata ugeukie ukutani mwanaume hakugusi labda kama amelewa , kila siku inachosha kurudia rudia msosi mmoja.
 
Yani mama angu sisi bila kudanganywa mambo hayataenda
 
Hupendezwi na wanaume wanaomla kwa uongo, ila kujirahisisha kwake kwa wanaume ni sawa?
Unapokuwa na uhusiano na binti yoyote Alafu wewe ni Mume wa mtu ni vizuri ukawa mkweli kwasababu itakusaidia hata kumanage familia yako na huyo mchepuko kwasababu mchepuko atakuwa anajua mipaka yake ni ipi ila unapokuwa sio muwazi kuna hasara kubwa kuzidiwa kwa upande mmoja ndio maana wanasema huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja
 
siku hizi hawakatai , utaambiwa mawili tu.

1. Tumia condom
2.Usimwage ndani
Na mie demu akiniambia hivyo namuitikia tuu lakini najua nikishamkoleza romance hapo ni mwendo wa kavu. Yaani gharama ya guest nauli chakula vinywaji alafu nigegede na condom! Huo ni ufala sii bora nipige nyeto tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…