Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

Kuna mwanamke alikuwa ananipenda Sana ila baada ya kumwambia ukweli baada ya siku mbili akaniambia hana hisia na Mimi, na mbususu hata sikupata.

NB: WANAWAKE TUTAWADANGANYA MPAKA MAJI MUITE MMA MKITUROGA NA SISI TUNAWAROGA TIT FOR TAT
 
Kueni siliasi kweli umri huu nakudanganya na wewe unakubali ? Mtavuliwa Sana vyupi
 
Yaani umedanganywa na boyfriend wako basi hasira unaleta kwa wanaume wote dunia nzima unadhani wote wapo kama huyo boyfriend wako alivyo muongo,

Na inawezekana wala boyfriend wako hakuwa na hulka ya uongo sema amekusoma akakuona mtu wa tamaa sasa atakuoata namna gani , ndio akatumia mbinu za kivita , wanawake wenye tamaa huwa wananaswa na wanaume kama panya anavyo naswa kwenye mtego , punguza tamaaa upate mwanaume mkweli
 
Kuna wanawake bikra zinatokea bila hata kufanya mapenzi,
Moyo wako una majeraha unahitaji tiba
 

Hii kitu imeenea sana nowdays

Kuna dada mpaka kapelekwa nyumbani kwa mume
Kumbe mume wa mtu
Dada alikabidhi mpaka password za bank maskin[emoji119]
 

Sasa mwanamke umeishi nae 3yrs bila ndoa
Si na yeye keshaona Hamna mwelekeo Bora akuite uncle tu
 

Katika vitu tusivyoogopa ni Vitu vibaya vya wanawake.
Hata mngepanga kufanya nini wanaume hawawazagi mambo yenu
 
Sasa nikikwambia sina mpango wa kuoa nataka nikunyandue utanielewa kweli ?

Vitu vingine havitaaji maelezo
 
Hii kitu imeenea sana nowdays

Kuna dada mpaka kapelekwa nyumbani kwa mume
Kumbe mume wa mtu
Dada alikabidhi mpaka password za bank maskin[emoji119]
Sasa huyo dada amfanye msukule huyo mwanaume, ili amkomeshe.
 
Poleni sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Huwa unachukua muda gan kuwachunguza? Mpaka unadate na Mume wa mtu inathibitisha wewe siyo Mchoyo, Ahsante endelea kugawa utamu.
 
Huwa unachukua muda gan kuwachunguza? Mpaka unadate na Mume wa mtu inathibitisha wewe siyo Mchoyo, Ahsante endelea kugawa utamu.
Karibu sana nawewee ugawiwe ila ninao wagawia wanalipa kodi ml 5 kwa mwezi na matumizi halafu kingine hawatumii tigoo. Wanajali sana.
 
Shekhe kweli?Nisaidie aya gani 😀😀😀
Hyo ni Hadith ya mtume.uongo mwingine NI ndugu waliogombana ukitumia uongo kuwapatanisha na ukiwa mateka unaweza kuwadanganya watekaji wako ili uachiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…