Ushauri: Lwandamila afukuzwe haraka sana Yanga

Mkuu kwanini usishughulikie na yahusuyo team yako?
Akili zimewarudia mlipokuwa mnaizungumzia Simba na kiwango chake ilikuwa haluwa mara imegeuka shubiri. Uko kwenye chumba cha vioo unarusha mawe ndio matokeo yake hayo.
 
Akili zimewarudia mlipokuwa mnaizungumzia Simba na kiwango chake ilikuwa haluwa mara imegeuka shubiri. Uko kwenye chumba cha vioo unarusha mawe ndio matokeo yake hayo.
Hapa Mkuu nikikujibu tu zaidi ya mistari miwili lazima nile mitusi[emoji1]
 
Hapa Mkuu nikikujibu tu zaidi ya mistari miwili lazima nile mitusi[emoji1]
Kwani umetukanwa?Ukiwa unaishi kwenye chumba cha vioo usirushe mawe. Mlipokuwa mnaizungumzia Simba ilikuwa sawa leo hata kutajwa Yanga imekuwa nongwa.
 
Bora Asifukuzwe aendelee tu Kubakia ili tuwaone Yanga Afirika Wakizidi Kulamba Ndimu...
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu .
 
Naona alosto imeanza kuwaisha sasa ngoja tuandae masikio naamini tutasikia mengi teh teh teh teh
 
Wanayanga msipochukua ushauri huu mtalia kila siku .
 
Huyu mtu anatuhalibia timu, hivyo akipisha itakuwa bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…