Ushauri: Mahari ifutwe?

Mwambie kijana atafute mshenga anajua kuongea vizur ili kuweka asante yako kwa wazazi mkononi.
Mahali ni utamanduni ,ni heshima kubwa kwa wazazi pande zote mbili na ni heshima kwa yule unayemwooa,pia ni asante kwa wazazi
 
Tatizo mtoto wa kiume n mharibifu!
 
mahari iwepo tena iwe kubwa
mahari ndogo kabisa iwe ng'ombe 5 zilizoshiba vizur
hawa vijana wasiotaka kujishugulisha wasioe kama wanatarajia mtelezo had kweny mahari
 
Kwa jinsi ulivyoeleza tukio hilo hiyo "mahari" iliyokuwa ikidaiwa siyo Mahari bali ni bei ya kumnunua huyo binti.

Katika dini ya kiisilamu Mahari huwa ni fedha au mali inayotolewa na muoaji kwa ajili ya muolewaji na hiyo mali inakuwa ni mali ya muolewaji na sio vinginevyo, kama ikibidi wazazi na jamaa wengine wapewe kiasi cha hiyo mahari basi ni jukumu na muolewaji kuridhia kuwapa hao wazazi au ndugu.

Hapo sasa utaona mahari inakuwa sio Bei bali ni zawadi ya upendo kwa muolewaji kutoka kwa muoaji.
 
Kwahiyo kwa akili zako kusomesha ndio kibari cha mzazi kuomba Mahari?
Mahari imewekwa kama shukran kwa muhusika baada ya kulelewa na kutunzwa nyumbani kwao toka anakuwa we unadhani hyo million moja ndo umemaliza gharama za malezi za aliyekutunzia mke hapo sijaongelea wale waliosomeshwa naongelea hawa kina mwajuma wa mbagala yaani ulelewe mke halafu umchukue bure kwanza ndoa isingekuwa na thamani na visa vya kuachana vingekuwa vingi si unajua akizingua unavuta tu.
 
Tukitaka jamii iharibike basi tuondoe mahari. Hakutakuwa na heshima yoyote kwenye ndoa. Mahari ni binding factor
 
Umechanganya mafaili mkuu
 
Mahali ni utaratibu tu ambao mi nauona ni wa kimahusiano zaidi, Kwa mfano sisi waislam Kuna familia wanakuambia lete tu mbuzi, 50k, 100k kitu ambacho is incomparable to mambo ambayo yatakuja yazalishe haimuzi hata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…