Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

Mlizofyonza kwenye maoni zimeisha? Nyie ndio mnadanganya mpaka vikongwe -.Wasira, Kapuya, warudi ulingoni: Mwenyekiti amerahisisha pambano
 
Wewe ndio unataka kumuondoa kabisa katika ramani za siasa.
 
Mlizofyonza kwenye maoni zimeisha? Nyie ndio mnadanganya mpaka vikongwe -.Wasira, Kapuya, warudi ulingoni: Mwenyekiti amerahisisha pambano
Wale wa Kigamboni walikuwa wachache, nchi nzima inamuelewa Makonda
 
hahaha umeona mkuu,,, Wenye Vyeti vya Uvuvi Huwa hawana Sofa?
Mimi zao la chuo cha uvuvi na vyeti hivyo ndivyo ninavyo vitumia kuendeshea maisha yangu, ninapoona mtu anavikejeli vyeti vya uvuvi kisa Paul Makonda nakwazika.
 
Sasa kama anapendwa mbona ubunge tu kakosa? Urais ndio atauweza? Akili za WAJUMBE hizi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Sasa naona Wajumbe wanaona kumkata haitishi, wanataka kumchinjia baharini kama bila hata kumuelekeza Kibla.
 
Unajua siamini nilichokisoma maana sijawahi kufikiria kama kuna mtu anamuona makonda kama PM ama presidential material kwa wakati huu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naamini anachangamsha genge tu
Yaani ni ajabu kweli kweli! Yaani Tanzania hii wako watu wanamuona bashite kwa jicho la urais, sijui PM, mara sijui spika. Yaani bashite huyu huyu?!
 
Uzi ungekuwa jukwaa la Jokes, Angepata kura nyingi
 
We jamaaa una hakika na ukisemacho? Makonda kasoma Certificate ya uvuvi Nyegezi alipomaliza akaenda kusoma Diploma hiyo hiyo ya uvuvi Bagamoyo kabla ya kwenda kung'ang'ania nyumbani kwa marehemu Sita
Tatizo kaingia huko kwa vyeti vya kufoji (forged papers/certificates). Yeye sifa aliyokuwa nayo ni ile ya kumpiga mzee Watioba akitetea ubakaji wa wa ripoti ya tume ya Warioba na CCM.
 
Mimi zao la chuo cha uvuvi na vyeti hivyo ndivyo ninavyo vitumia kuendeshea maisha yangu, ninapoona mtu anavikejeli vyeti vya uvuvi kisa Paul Makonda nakwazika.
Yeye alipata cheti cha UVIVU wa kufikiri na siyo UVUVI wa wapiga kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…