Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Huyu ni mwizi tuu na mpenda rushwa hatari hakuna kitu atafanya hapo Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe wewe unamfahamu yaani hizo ndio sifa zake sasaHuenda enzi za Mapapaa kurudi mjini zimeshafika! Karibu sana Jijini Papaa Amos Makalla, Mutu ya Watu!! Mutu ya pesa mingi!!! Mutu ya bling bling!!
Wapi Patchou Mwamba, Tajiri! Wapi Ndama Mutoto ya Ng'ombe!! Wapi Papaa Tate Mkuu , Mutu ya Usambara!!! [emoji91][emoji91][emoji91]
Barabara ya mwenge moroko inajengwa toka 2016....kakipande kafupi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pedeshe Amos Makala mutu ya pesa mingi
Huyo jamaa haoni shida kupiga simu kwa DED,REC,RM nk kuomba hata 200,000 sasa ukimpa hata 50,000 yeye fresh tuu unamwambia mkuu zimepatikana hiziKweli alipata shda alitenguliwa, kule katavi, akarud kwenye Jimbo akashinda maoni bado mzee baba akamkata Huko dodomya
Mkuu..MUNGU AHIMIDIWE na ATUKUZWE sana kwa kutuondolea lile Nyangumi Meko.MwendaZake , Amos huyu hapa tena Dar . Wapambe wako leo hawana usingizi... watajiju na roho zao. Vitambulisho vya wamachinga hakuna tena dar...
Magufuli alikuwa na chuki na roho mbaya sana,,,,Mwendazake alitaka Makalla amsulubishe Sugu na chadema yake pale Mbeya, lkn Makalla akacheza fairly.
Mwendazake akafura kama kifutu akamhamishia Makalla mkoani Katavi. Lkn kumbe alikuwa bado anamtafutia visa tu.
Wakati wa zoezi la uuzaji wa vitambulisho vya wamachinga, Amos aliuza vitambulisho 6,000 tu. Maana mkoa wa Katavi wamachinga hawazidi buku 5.
Mwendazake akamtupilia mbali Makalla. Makalla akajaribu kugombea ubunge 2020, kashinda kura za maoni lkn bado mwendazake akalikata jina la Makalla.
Mwendazake hakuwa mtu.
Magufuli ndio kubwa la mafisadi lilikuwa, na mwenye rohombayaHuyo jamaa haoni shida kupiga simu kwa DED,REC,RM nk kuomba hata 200,000 sasa ukimpa hata 50,000 yeye fresh tuu unamwambia mkuu zimepatikana hizi
Yaani kiufupi ni fisadi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papaa msofeHuenda enzi za Mapapaa kurudi mjini zimeshafika! Karibu sana Jijini Papaa Amos Makalla, Mutu ya Watu!! Mutu ya pesa mingi!!! Mutu ya bling bling!!
Wapi Patchou Mwamba, Tajiri! Wapi Ndama Mutoto ya Ng'ombe!! Wapi Papaa Tate Mkuu , Mutu ya Usambara!!! 🔥🔥🔥
Je FM ACADEMIA itarudi tena jukwaani ?
Ni kwel, nikiwah fika mliman city saa tano usiku eti maduka yamefungwa nikashangaa Sana. Kwa jiji Kama la dar biashara kufungwa..Nashauri jiji lifunguliwe ulinzi uwe mkali magenge ya vijana wasiofanyakazi na wezi wadhibitiwe...
"Aliuza vitambulisho 6,000 tu maana mkoa wa Katavi wamachinga hawazidi buku 5"Mwendazake alitaka Makalla amsulubishe Sugu na chadema yake pale Mbeya, lkn Makalla akacheza fairly....
Hapo ndo kusema Makalla alijitahidi akawauzia hata wakulima wasiostahili kupewa vitambulisho. Lkn mwendazake hakujali hilo."Aliuza vitambulisho 6,000 tu maana mkoa wa Katavi wamachinga hawazidi buku 5"
Hii hesabu imekaaje? vitambulisho vilivyouzwa ni vingi kuliko idadi ya wamachinga!
Aliuza 3,000."Aliuza vitambulisho 6,000 tu maana mkoa wa Katavi wamachinga hawazidi buku 5"
Hii hesabu imekaaje? vitambulisho vilivyouzwa ni vingi kuliko idadi ya wamachinga!
Kunenge kapoa sana jiji linataka amsha amsha hiliHata sielewi kwanini Kunenga katolewa halafu kawekwa huyu, ok haina shida ndio awamu ya sita hiyo.