Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Dada Oprah mbona umewasahau wahindi? Miaka ya ''90'' wengine walikuwa wanakuja Tanzania leo wanatengenezewa passport kesho yake, na kesho kutwa yake wanaondoka wanaingia UK. Hata lugha ya kiswahili hawajui.
 
Wakuu huyu jamaa amejiunga jana(kwa lengo la kufanya hiki anachokifanya sasahivi), alafu amekuja humu na kuanza kumshambulia izzo , ok sio mbaya lakini anatakiwa atambue lengo hasa la hizi harakati,
Amekazania kustopisha watu wasisaidiane,
nadhani alichotakiwa kukisema ni kuzitaja hizo athari pamoja na kushauri au kupendekeza njia bora za kuendeleza hizi harakati ikiwa ni pamoja na kuziepuka hizo athari,
na sio ku-crush watu tu.
Mpaka sasa kwakutumia sixth sense nimeona huyu jamaa ni mtu maarufu tu humu jf na anaejulikana,
sasa ameona akija na Id yake watu watammind,
na pengine labda ni tapeli so anaumia roho kuona kuna mtu anasaidia watu bure pasipo kuwatoza hela kama alivyozoea yeye.
Bro haya ni maisha ya watu,
hivi ni vita vya damu na jasho,
Ukijaribu kuendelea kurudisha harakati nyuma tutakumind tu, kama unahisi upo against us basi rather leave us alone,
vinginevyo toa njia mbadala za kuepuka hizo changamoto, kama hauna shut Up.
Umeskia mgaka12 ?
 
Wakuu nikihitaj kufika malta kujitolea ninatakiwa niwe na nini pamoja na gharama za nauli
 
Too bad lakini ndio ubin-adam.
Serious anajoin jf kumuonya mtu ili asitoe rizki kwa mwenzake [emoji22] [emoji22] [emoji22]
mm namusoma tu ila nahusi hatuwez kuforce watu wote kuwa perfect, bt lazima huu moto uliowashwa usaidie vijana kama wenzetu wa Nigeria, kenya nk wanavyovushana! Wangefikilia hizi changamoto leo hii wasingekuwa mfano km tunavyowajadili....unavyoplan kufanya jambo lifanye ili matokeo uyaone mwenyewe sio kuendekeza fear of unknwn
 
Hahahahahahaha There are all kinds of stupid people that annoy me but what annoys me most is a lazy argument. Mimi ni msomaji tu wa JF kama mgeni ,sina Id nyingine na kama ipo mods waifunge The wise are instructed by reason, average minds by experience, the stupid by necessity and the brute by instinct. Wema si lazima ufanyiwe mazuri hata kumwambia ukweli mtu ni wema pia izzo mimi nimemwambia ambacho wengi wenu mmeshindwa kusema japo ukweli mnaujua
 
Wewe unataka je labda! izzo lusungo Richard waache kusaidia watu?
 
Mkuu mm nimekaa kimya nasoma maoni yako lakini bado sijajua unamaana gani ebu eleza vizuri nini ambacho ww unadhani kwa nini nisitishe jambo nililo pln kulifanya?
 
Kuna jamaa mmoja alibahatika kutoka Znz
kupitia kwa mgongo wa Demu wa
kihispain,
basi jamaa akakwea pipa mpaka kwa yule
manzi, kufika spain mambo yalikuwa supa
na mishe zikaendelea, Sasa kumbe inavyosemekana hawarusu
wanafunzi kunywa pombe wala kuvuta
sigara na hilo ni kosa la jinai,
basi siku na hiyo jamaa alienda zake
garden kuchill huku akivuta zake sigara
tena mida hiyo ndio mida ya wanafunzi kurudi kutoka shule...

Muendelezo
Basi kutokana na umbo la jamaa lilivyo na ndo waafrika wengi jinsi tulivyo hatuna miili mikubwa so mtu mzima anakuwa kama mtoto,
sasa wanafunzi walipopita pale wakamshangaa yule jamaa akitumia kilevi, ile kumuona jamaa anavuta sigara iliwashangaza, basi siku nyengine yake wale wanafunzi wakamuona tena mshkaji anaendelea kupiga vyombo,
wale wanafunzi wakamfuata sasa katika kupiga stori za hapa na pale wale wanafunzi ndo wakajua kwamba kumbe yule jamaa sio mtoto kama walivyodhani, hatimaye wanafunzi wakamuomba jamaa awe wanampa hela anawanunulia pombe na sigara then watakuwa wanamtoa na hela kadhaa,
yule jamaa akakubali na ndo ukawa mchezo wake,
jamaa aliendelea na huo mchezo pasipo kumshirikisha yule mzungu,
sasa siku zilivyosonga jamaa akajipatia umaarufu kwa wanafunzi wengi wakike kwa wakiume wakawa wanamtumia,
kuna wakati wanafunzi wakike wanakosa hela ya kununulia pombe basi wanamuahidi sex jamaa, mshkaji anakuwa anawanunulia pombe then anawabandua,
ishu zikaendelea ivyo,
mpaka kuna siku sasa kuna dem mmoja alifanya msala kwao wa kuchelewa kurudi huku akinuka pombe, katika kuulizwa na kubanwa akamtaja mshkaji, wazazi wa yule dem wakaenda kushtaki polisi... Inaendelea hapa chini
 
Wewe unataka je labda! izzo na lusungo waache kusaidia watu?
Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania It is hard to imagine a more stupid or more dangerous way of making decisions than by putting those decisions in the hands of people who pay no price for being wrong.Wote waliokuja huku wametoka hapa jamaa alikuja na mipango mizuri sana but mwisho wa siku walimwita tapeli, lakini ukiwauliza walitapeliwa ni kina nani au wangapi hakuna jibu. The difference between stupidity and genius is that genius has its limits how can you trust mtu ambae umjui just umekutana nae JF with fake id unamkabidhi mtoto wa watu ? izzo think twice brother
 
izzo I am patient with stupidity but not with those who are proud of it.Nitakuona mjinga sana kama utafanya hivyo kwa kuleta watoto wa watu wakati wewe your not here what if wangekuwa ndugu zako will you do that?? kumpa mtoto wako mtu uliyekutana nae online with fake id? trust me hawa wote wanakudanganya, they are not telling you truth.Three things cannot be long hidden: the sun, the moon, and the truth just ask them wanaweza kukabidhi wototo wao kwa mtu waliekutana nae online?
 

Kwa hilo umekurupuka brother.
And if that is what make you shout I can justify. You're right 99% tumetoka kwenye huo uzi Daby ganja gal STUNTER tombstone cognition Dumelang na wengineo.

Nani alitufuata kuuliza tumetapeliwa nin tukashindwa kujibu? Ulimfuata nani inbox? mimi sikujui na haujawahi kuniuliza haya maswala. No one asked for proof. Kuna uzi alishaanzisha Dr. Adams faida alielezea kuhusu huo utapeli. Kwa taarifa zako mimi ndiye niliyewaambia wenzangu britanicca ni tapeli na chatting zangu na yeye zipo inbox japo sikumpa pesa yoyote wenzangu wawili ndiyo walitapeliwa ninaye mkumbuka ni Eng Mose. Ukitaka uthibitisho utapewa.

Angalia, britanicca kampiga mtu pesa tarehe 16 January. Na tokea hiyo tarehe I'd yake haija login jf mpaka na leo. Kama britanicca yupo sasa hivi aje aseme hakuwaibia watu.

alitumia namba zaidi ya 5 kwa watu tofautitofauti na kila mtu anamwambia location tofauti mara yupo norway mara yupo dubai mimi alinambia yupo uganda. Sasa kusema tumeshindwa kusema tulichotapeliwa na britanicca na wakati hakuna aliyeulizia nakuona unaharibia watu fursa mzee.

Pia, haihitaji uwe CIA kushindwa kugundua britanicca katelelo na @dr RWEYENDERA ni mtu mmoja. Uzi wake ulikuwa mzuri and very useful to many of us. But his target was to fool us. Ukitaka uthibitisho sema .ila acha kuconclude fallacy bro.
 
The truth is you don't know what is going to happen tomorrow. Life is a crazy ride, and nothing is guaranteed usalama wa Tanzania kwa wageni ni mdogo sana kwa maisha ya uswahilini wazungu wanasehemu zao za kukaa i know them wakwambie ukweli tu am the one nakwambia ukweli brother. True popularity comes from acts of kindness rather than acts of stupidity, hakuna hoja ya maana wanayoitoa hapa ntakuja PM kukufahamisha zaidi huko ninachokwambia
 
Basi kesi ikafunguliwa na yule mke wa jamaa mzungu akaitwa polisi kupewa mashtaka na akapigwa faini cuz yeye ndo mdhamini wa mshkaji,
Kile kitendo yule mzungu alimaindi sana na alimchukia jamaa kunzia hapo, na alichotaka ni jamaa kurudi tz na mapenzi yaishie hapo,
Basi yule dem wa kizungu alirudi hom na kumchana jamaa kwamba ajiandae kesho arudi kwao Tz, hataki tena kuendelea kuwa nae cuz hakuwa muaminifu na alimdanganya, yule jamaa aliomba sana msamaha lakini si unajua wazungu wakishaamua wameamua na unapovunja uaminifu basi kukuamini tena ni ndoto,
Yule jamaa kufika kesho yake akatoroka pale hom na kujilipua mtaani, ila alichobugi aliendelea kutumia simu ile ile aliyonunuliwa na yule dem, basi dem hakutumia nguvu, akaenda kushtaki polisi kwamba yule mtu mloniamuru nimrudishe kwao, ametoroka na sijui alipo,
polisi wakachukua vielelezo na kuanza kumtrack mwisho wa siku jamaa akarudishwa tz, sasahivi amerudia maisha yake ya u'beach boy, Kitu alichoambulia labda ule msaada wa mwanzo kabisa kabla ya kusafirishwa yule dem wa kizungu alimwambia jamaa chagua chochote unachotaka kusoma mi ntakusomesha, jamaa akachagua kusomea kihispain na utalii, na so hayo ndo yalomkuta mchizi hivyo tuwe makini
 
Nilijua kuna watu wenye roho za hovyo sana watakuja kutaka mkuu izzo astop na hii thread itaonekana haina maana tena. Watu watatunga stori hata za uongo ilimradi aaminishe umma kuwa hatari inamnyemelea izzo.

Wewe umejiunga dkika tano, hujasoma uzi wote umeshafika 2k, leo unakuja kuparamia na kutaka jitihada hizi zisite. Toa ushauri mzuri basi nini kifanyike sio kutaka program isiendelee. Akili za roho za korosho
 
Huyu ana roho ya ajabu sijawahi kuona
 
The most effective way to destroy people is to deny and obliterate their own understanding of their history we need fact&proof not propaganda leta ushahidi kakutapeli shiling ngapi so kama ww unasema hajakutapeli unajuaje na wenzio wanaosema wametapeliwa ni kawa wewe tu? but today wewe unakuwa unamtangaza britanicca ni tapeli kumbe hajakutapeli hata shiling mia. But if thought corrupts language, language can also corrupt thought
 
Daby Huyu jamaa mbona kama ni britanicca ? Hebu ona anavyolalamika kuhusu ule uzi,
mi nilidhani anamtahadharisha izzo kwa kutokana na mambo aliyoyapitia au labda alishawahi kumsaidia mtu mwishini akageukwa, kumbe refference yake ni Uzi wa katelelo?
Inamaana uzi wa katelelo unamuumiza roho?
Inamaana tulivyomshutumu britanica kwamba ni tapeli basi jamaa ndo kapanic?
Yeye kama nani mpaka aumie namna hiyo??
Daby umepata picha sijui?
Mimi nilishasema katika post yangu hapo juu, huyu jaamaa ni maarufu humu na amefungua ID hii kwaajili ya jambo hili tu, na ameogopa kuja na ID yake tulioizoea watu watammaindi hahaha
 
Mkuu mm nimekaa kimya nasoma maoni yako lakini bado sijajua unamaana gani ebu eleza vizuri nini ambacho ww unadhani kwa nini nisitishe jambo nililo pln kulifanya?
Mkuu Izzo. Binafsi najitahidi kujua nia ya huyo bro. Ila bado niko gizani. Naendelea kusoma maoni yake. Ubinadamu ni mtihani kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…