Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Barikiwa comrade
 
Mungu ni mwema sana comrade Marveljt, ni raha sana kuona ndugu wanakaa pamoja kwa upendo na kula mkate(fursa)
 
Hapana vuta subra kidogo ni mapema sana. Mshenga wako mkuu ni mzee izzo na msaidizi wake ni kaka yako lusungo, sisi wazee wa baraza tutatia timu ikionekana tatizo ni sugu zaidi. Vuya subra kidogo ili uusome mchezo
Hahaha
U nailed it mkuu, wazee wa baraza
 
Utaratibu wote fanya kwa uangarifu mkubwa sana No kutoa hela yeyote kila kitu afanye mwenyewe kama nilivyosema kwenye Tangazo
Nahisi ni matapeli angalieni email za hao ma agent full uongo
 
Duh watu wanajua kupanga vitu aisee,,ukicheka kidgo unaliwa,,,kwel penye wengi hapaharibiki neno
 
 
Nahisi ni matapeli angalieni email za hao ma agent full uongo
View attachment 484354View attachment 484355
Nimeona hili Tangazo limekuja juzi kuna jamaa wa AU alilituma but alituambia tuwe makini kwani ya yeye bado ajaliverify so alitoa angalizo na mm pia nilitoa angalizo kuwa usitoe hela yeyote kila kitu ashugulikie mwenyewe

JANA nilikuwa nawasiliana na Agent mmoja yuko Ujerumani nadhani nitatembelea office yake wiki hii yeye anafanya kazi na kampuni za ujenzi za Ujerumani na Canada mara nying anafanya na Wahindi na wapakistan wanatakiwa watu 50 kwa Project za Canada na Ujerumani So nikamshawishi kufanya kazi na Waafrica japo alikuwa na wasiwasi wa utendaji kazi wa Waafrica lakini tulielewana na kupanga ahadi ya kukutana ofisini kwake so nitakwenda kumtembelea maana vitu vingine tumekuwa waoga sana kujihushisha navyo hasa hapa jukwaani tunakijuta tunajiuliza mara mbili mbili
 
umejiunga kuzungumza ukweli? hivyo ulikuwa malaika kuwa kunauzi huko JF unausu nchi za ng'ambo ngoja nikaseme ukweli hivi mzee... mbona kama sikuelewi... maana kuna nyuzi nyingi sana humu JF kwanini usingepita kila nyuzi unadondosha facts tu mzeee kwanini hapa na ulipajuaje hapa mpaka ukaja straight mzeee....
 
Daby
Dr Adam
Lusango
Kirikou
Shyshi
Stunner
Compact
Dr adam
Wiseboy
Mriko



DONT EXPECT TOO MUCH ILA NIMEVUNJIKA MOYO SANA KUONA SCREENSHOT ZA DADA SHYSHI YAANI HAWA JAMAA WANALETA MAZINGIRA YA UTAPELI WANAPOELEKEA ILA KWAKUWA IZZO KASEMA PESA ISITOLEWE NA SISI TUMSHAURI VIZURI NA KUMSIHI KABISA ASITOBOKE MFUKONI.



lastly naimani mpaka sasa tumejifunza kitu. Tumepata elimu kwa mambo ambayo tumechangia naimani kila mtu sasa anayo ABC ya njia za kutumika kufanikisha malengo binafsi kwa kwenye Nia ya kisaidia naomba wasichoke watusaidie tu na wale ambao malengo yao ni kututapeli wajue kabisa hapa haitawezekana na pili hatuna pesa za kutapeliwa tunajielewa na tunajitambua tunataka nini..



MWISHO INAKATISHA TAMAA ILA WAKUU TUPAMBANE, TUJIONGEZE KWA ABC TULIZOZIPATA THEN MAJILIWA MUNGU YUPO NASI.



Shyshi naaisitiza pesa usitoe Dada yangu, mkuu Izzo ameonya.


Nukuu kutoka kwa posti ya Izzo" HIZI NAFASI ALISEMA AMEZIPATA KWENYE GROUP LA WHATSAP"
SASA INAWEZEKANA HAPO KUNA SCAMMERS. UWEZEKANO UPO LAKINI TUSIJUDGE .....ILA UWEZEKANO NI MKUBWA
 
Itakuwa ni msaada mkubwa saana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…