Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nani katapeliwa au unaota?wewe ni mmoja kati ya wafuataoha korosho
1. Mchawi / roho
2. Umeshakata tamaa na maisha
3. Kulakulala
4. Upeo wao ni kama wamtoto mchanga/ hujitambui
5. Huna malengo ya mda mrefu katika maisha yako
6. *******
Mkuu, ukikimbizana na upepo watu watakushangaa bora kunyamaza tu na kwenda mbele
 
Kakate tu ticket mkuu sema kuna ambazo ni visa free na zingine ni visa on arrival hapa immigration wa nchi husika watakuchaji kiasi kidogo , but ujiandae kwa maswali tu. mfano utakaa muda gani? shughuli gani imekuleta? Utafikia wapi?
Mkuu, hii visa on arrival ikoje?!
 
Sijutii kutumia bando jf, asante mkuu
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
na wew usichanganye mada hapa tunaongelea visa
passport kupata haina shida embu changamkeni hata passport hamna? iyo nayo mpaka uambiwe
 

Mkuu okyoma sio WaTanzania wote wana roho mbaya.Nchi yeyeto duniani unahitaji pesa kufanya unayo yataka Ndio maana kwenye biashara kunakitu kinaitwa (cost of doing business) Gharama za kufanya biashara.
Kama passport NI Muhimu kwako inabidi uipate Kwa njia yeyeto Kama nchi yetu Ingekuwa tajiri mshahara mzuri.Unakwenda uhamiaji unapata passport bila ya kutizamani MIKONO.
 
Mkuu hata mm plan yangu ni Malta, Pasport na nauli ninayo nishauri nitumie njia gani ? kujisajiri workaway ni $ 29 sasa najiuliza wale wanaotaka watu wa volunteering anaweza kunitumia mwaliko?? au tutishia kuchat tu ??? au nitumie njia gani nyepesi ya kupata visa ???? Naomba ushauri wako mkuu
 
Kakate tu ticket mkuu sema kuna ambazo ni visa free na zingine ni visa on arrival hapa immigration wa nchi husika watakuchaji kiasi kidogo , but ujiandae kwa maswali tu. mfano utakaa muda gani? shughuli gani imekuleta? Utafikia wapi?
immagration inchi husika watachaj hela kidogo baada ya kuingia airport yao ????? au hapa hapa bongo kabla ya kuondoka ???? Kuhusu maswali nikisema nimekuja kutembea pia nikaonyesha bank statment yenye salio la kutosha kuna la ziada hapo ???? Naomba mwongozo wako mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…