Hapa ndipo unapochoka na wabongo. Yeye anahitaji msaada wa address ya agent ambaye anatoza ila anayo njia nyingine ambayo ni bure, cha ajabu hataki kusaidia wenzake waijaribu hiyo njia ila yeye anataka kusaidiwaNahitaji address ya huyo agent... Japo nina njia niliyopewa ya kufika Canada bila ya visa ndio nataka niitumie...
Sitaki kuamini kama kagoma kusema.Hapa ndipo unapochoka na wabongo. Yeye anahitaji msaada wa address ya agent ambaye anatoza ila anayo njia nyingine ambayo ni bure, cha ajabu hataki kusaidia wenzake waijaribu hiyo njia ila yeye anataka kusaidiwa
Be patient bro.Sitaki kuamini kama kagoma kusema.
Ataweka bhna tumpeni muda
Self I'm patience.Be patient bro.
Mkuu somo umelielewa la kuafiri bila visa au arudie tena?Self I'm patience.
Kama umeelewa somo la juu nimetuliza mtu
Nimelielewa ila nimejaribu ku calculate hiyo risk baba inakataa ni kubwa saana.Mkuu somo umelielewa la kuafiri bila visa au arudie tena?
Nimelielewa ila nimejaribu ku calculate hiyo risk baba inakataa ni kubwa saana.
Unaificha chini ya kiatu mkuu.
Ila kuna uwezekano mkubwa wakurudishwa... hii njia utegemee mawili
Je ukijitambulisha kama mkimbizi watakubali kukupokea bila makaratasi yanayoonyesha wewe ni mkimbizi?
Passport ya Tz utaificha wapi?
Unaificha chini ya kiatu mkuu.Nimelielewa ila nimejaribu ku calculate hiyo risk baba inakataa ni kubwa saana.
Je ukijitambulisha kama mkimbizi watakubali kukupokea bila makaratasi yanayoonyesha wewe ni mkimbizi?
Passport ya Tz utaificha wapi?
jiandae kuwa deported!!Unapozungumzia suala la kuchoshwa na wabongo unakosea... Research ni muhimu kabla ya jambo. So think before you act samahani lakini! Njia ya kufika bila visa kwanza inabidi utafute route ya ndege from DAR-NAS (BAHAMAS) Hiki kisiwa unaenda bila visa na hiyo route ya ni ndege ni lazima ipitie YYZ (TORONTO) ambayo itakua na LONG LAYOVER ya siku kumbuka utakua upo TORONTO ambapo upo kwenye Boarder ya Transit haujamaliza safari. That means ukipoteza passport hauwezi vuka kwenda sehemu yeyote. Next step unaonana na uongozi then unaandika barua ya kuomba ASYLUM and they will grant you stay. Ukizingatia nchi imo katika mataifa huzuni duniani. Hope nimeeleweka
Labda wenye uzoefu na ukaguzi wa boda za Canada wataongea.Unaificha chini ya kiatu mkuu.
Ila kuna uwezekano mkubwa wakurudishwa... hii njia utegemee mawili
Huwezi kurudishwa kama hauna passport... Canada hawana huo mchezo wa kurudisha watu wengi ninaowajua wapo kuleUnaificha chini ya kiatu mkuu.
Ila kuna uwezekano mkubwa wakurudishwa... hii njia utegemee mawili
Procedure ndio inaanzia hapo... Hakuna uwezekano wa kurudishwa kama hauna passport. Utavuka vipi hizo boarder?Nimelielewa ila nimejaribu ku calculate hiyo risk baba inakataa ni kubwa saana.
Je ukijitambulisha kama mkimbizi watakubali kukupokea bila makaratasi yanayoonyesha wewe ni mkimbizi?
Passport ya Tz utaificha wapi?
Wewe mkuu umejipanga kwa hili?Huwezi kurudishwa kama hauna passport... Canada hawana huo mchezo wa kurudisha watu wengi ninaowajua wapo kule
Nipo kwemye maandalizi... Wapo walionitangulia na kwa sasa wapo kuleWewe mkuu umejipanga kwa hili?
Na lini ulipanga safari yako itaiva?
Mkuu tusaidie kutuonyesha njia ulotumia kufika huko, tunapatamani sanaMsikatishwe tamaa na watu wajinga,Mimi nilikuwa na hamu ya kufika USA mungu akanijalia kufika mwaka huu mwanzoni,kwa kweli ile ni duniani nyingine Huduma za Afya ni Bora, nimezunguka kuanzia New York, Indianapolis, Dallas kule ukijituma unafanikiwa kikubwa uwe na malengo,nimekutana na wakenya,wanaigeria, wamexico,wanapiga kazi balaa,tatizo wa watanzania waoga wakujaribu maisha,
Ukitaka kurudi kumsalimia bi mkubwa unafanyaje mkuu kama PASS umeshatupa?Nipo kwemye maandalizi... Wapo walionitangulia na kwa sasa wapo kule
Mkuu usiwe mchoyo tuelekeze hio njia mkuuNahitaji address ya huyo agent... Japo nina njia niliyopewa ya kufika Canada bila ya visa ndio nataka niitumie...
hizo ni story za vijiweni za mabaharia wa miaka ileeee eg karne ya 19 hukooo.Now tupo karne ya 21.Pima uone kama hujaozea jelaUkitaka kurudi kumsalimia bi mkubwa unafanyaje mkuu kama PASS umeshatupa?
Hapo si unaomba uraia baadaeUkitaka kurudi kumsalimia bi mkubwa unafanyaje mkuu kama PASS umeshatupa?