Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Asante kwa taarifa mkuu...
Mkuu,mimi niko mwaka wa pili UDSM(Nachukua bachelor degree ya kilimo-biashara),namaliza mwakani...
Nataka nikimaliza tu nipae chap,bila kupoteza muda..!
Unataka kwenda wapi! Kwa kina curry au Pyongyang?
 
Unataka kwenda wapi! Kwa kina curry au Pyongyang?
Ahahaaaaah...
Ingawa ni Team Kiduku,ila Pyongyang siendi hata kwa mtutu..!
Bado naendelea kufanya research mkuu...
Kila siku najitahidi kupitia huu uzi page mojamoja,kisha na note down vitu ambavyo nahisi vitanisaidia...
Huu uzi umenifungua macho sana mkuu,kilichobaki ni UTHUBUTU tu...
Nataka mwaka huu nianze kufuatilia passport kwanza,ila bado sijajua pakuanzia na kiasi cha pesa kinachohitajika mpaka nipate passport yangu..!
 
Huu ni utapeli, na anayejifanya anajua kutafutia watu namna ya kuruka ng'ambo naye ni tapeli!!!! Tena kuweni makini hawa ni matapeli!!! Ni type ya kina britannica tena unaweza kuta ndio huyu shenzi kabisa...... Matapeli tu hawa
Aiseee...
Wewe ndiye uliyevuruga huu UZI...
Wakina izzo na lusungo wote wamekimbia kwaajili yako...
Ulishindwa kutoa angalizo kistaarabu bila kuwakwaza watu..!?
Au huu uzi uligusa maslahi yako binafsi..!?
WaTanganganyika bhana,jinga sana..!
 
Mkuu...
Nimechungulia lakini nimekuta bado hawajafungua usajili..!
Nimeona kuna kucheck status tu..!
 
Passport NI lazima uwenayo.Kama huna ingia hapa
www.immigration.go.tz
Asante sana mkuu...
Nimetembelea tovuti uliyonitumia

Shida yangu ni kuhusu hivyo viambatanisho vinavyohitajika ili kuweza kufanya maombi ya passport.
Vyeti vya kuzaliwa vya wazazi,vipi kama inashindikana kupata vyeti hivi..!?
Pia mimi nahitaji kuwa nayo tu passport kwaajili ya matumizi ya baadae(kujilipua),sina mpango wa kusafiri hivi karibuni(rejea Supporting Documents for Specified Trips kwenye picha). Je,nitapatiwa hivyohivyo bila Supporting Documents for Specified Trips..!?
Natanguliza shukrani mkuu..!
 
Bakini tu Tanzania ulaya na marekani wanaopewa priority ya kupata papers ni wa syria.Asikudanganye mtu kuishi ulaya au USA illegal ni stress tupu,labda muende Canada walau kidogo wapo open kutoa papers.
Unahisi watu wakija huko watavuruga maslahi yako binafsi au..!?
Maana sio kwa ukatishaji tamaa huu..!
 
Nawapa mafacts tupu Ulaya ni kugumu sana.
Mkuu Victoire wasomaji Na wachangiaji wanajuwa Au wamesikia Kwamba huko nje kuna Ubaguzi,Unyanywasaji,Utumwa na Unaweza kufanikiwa.
Kila mtu anatafuta rizki yake.Sio WaBongo wote wanasota huko.Kama NI kweli basi wewe ungekuwa umerudi kitambo.
 
Mkuu ukigoogle " nahitaji passport " utakupeleka Tovuti ya JF.humo ndani kunamaelezo yote kupata vitambulisho,Vyeti vya kuzaliwa chako Na wazazi wako,
Kuapishwa mahakamani Au kwa wanasheria.
Wala hauhitaji kutoa hongo kihalali kabisa.
Kuhusu "supporting documents" UNATAFUTA SCHOLARSHIP AU UNAJIANDIKISHA KWENYE GREEN CARD LOTTERY ambazo passport NI kitambulisho pekee kinacho julikana..
Vilevile unajibu maswali ulio ulizwa tu usiongeze maneno mengine (kama utahojiwa Na uhamiaji)
 
Shukrani mkuu...
Ubarikiwe..!
 
Hiyo lugha nitajifunza tuuu, Stockholm, Amsterdam, Berlin, London, Brussels, Oslo, Denmark lazima nikichafue huko.
 
Segito najaribu kukutumia pm zinagoma
 
Huyu jamaa apewe nishani...Dar -Nairobi -Kampala -Juba-Khatourm-Port Al saed -Syria -Turkey hadi Denmark si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…