Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Pagumu kivipi Mkuu?.Maelezo kidogo Tafadhali!!.

Hapafai huko watu wa huko kibao wanakimbilia hapa Scandinavia,kuna mshikaji wangu wa huko nilimuuliza vipi mbona umekimbia akaniambia kupata kazi ni ngumu saaana.
 
mdau kwenye kupata schengen visa ni lazima kulipia ile travel insurance policy (wanasema minimum ni Euro 30000). hicho kigezo si ni kikwazo kikubwa au namna? ushauri tafadhali.

Sio kweli kabisa huo ni uongo travel insurance ni laki tatu tu na kama sikosei.
 
Mungu akubariki mzee Baba Mimi nasubiria ya ukraine majibu yanatoka soon.
naisi kama majibu walishatoa na wali ni email kwa waliofanikiwa kwa mwaka huu wa masomo... na watanzania nimewaona pia wamepata zali... sema labda scholarship ziwe tofauti na walizo ni email mkuuuu
 
Ukraine1.JPG

Ukraine2.JPG

Ukraine3.JPG

Ukraine4.JPG

Ukraine5.JPG

Ukraine6.JPG
 

Attachments

  • upload_2017-8-7_21-1-29.png
    upload_2017-8-7_21-1-29.png
    11.8 KB · Views: 112
kama hawa ni Scam tuelezane pia... na maombi yanaendelea japo hii walinitumia muda mrefu na sikutaka kuangaika nayo cuz nilikuwa nina majukumu mengi so nili hailisha kudili nao... mtu akiona ana weza kujaribu bahati yake kama hao wa afrika magharibi nae ajaribu....
Study in Ukraine official website for Higher Education Universities
Study in Ukraine official website for Higher Education Universities
Study in Ukraine official website for Higher Education Universities
Sawa mkuu ngoja tujaribu
 
Deadline: 2 November 2017

The American Council of Learned Societies (ACLS) in partnership with the Carnegie Corporation of New York are seeking applications for its “African Humanities Program (AHP)” to reinvigorate the humanities in Africa through fellowship competitions and related activities in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, and Uganda.

AHP offers African scholars an integrated set of opportunities to develop individual capacities and to promote formation of scholarly networks. The African Humanities Program supports the Carnegie Corporation’s efforts to develop and retain African academics at universities in Africa.

The American Council of Learned Societies (ACLS), with financial support from the Carnegie Corporation of New York, announces competitions for:

  • Dissertation-completion fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, and Uganda
  • Early-career postdoctoral fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, Uganda, and South Africa
Goals

  • to encourage and enable the production of new knowledge and new directions for research
  • to strengthen the capacity of early career researchers and faculty at African universities
  • to build the field of humanities by establishing networks for scholarly communication across Africa and with Africanists worldwide.
Award Information

Stipends are $12,000 for dissertation-completion Fellows and $19,000 for postdoctoral Fellows, plus an additional $1,000 per Fellow for books and media at both award levels.

Eligibility Criteria

  • Dissertation applicants must be doctoral candidates in the final year of writing the dissertation. (No dissertation fellowships are available in South Africa.)
  • Postdoctoral candidates must be scholars who have obtained the PhD within the past eight years.
  • All applicants must be citizens of a sub-Saharan African country residing and working in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, or Uganda.
How to Apply

Applications must be submitted via email at the address given on the website.

For more information, please visit African Humanities Program.

https://www2.fundsforngos.org/socia...s/apply-for-aclss-african-humanities-program/
 
Deadline: 2 November 2017

The American Council of Learned Societies (ACLS) in partnership with the Carnegie Corporation of New York are seeking applications for its “African Humanities Program (AHP)” to reinvigorate the humanities in Africa through fellowship competitions and related activities in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, and Uganda.

AHP offers African scholars an integrated set of opportunities to develop individual capacities and to promote formation of scholarly networks. The African Humanities Program supports the Carnegie Corporation’s efforts to develop and retain African academics at universities in Africa.

The American Council of Learned Societies (ACLS), with financial support from the Carnegie Corporation of New York, announces competitions for:

  • Dissertation-completion fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, and Uganda
  • Early-career postdoctoral fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, Uganda, and South Africa
Goals

  • to encourage and enable the production of new knowledge and new directions for research
  • to strengthen the capacity of early career researchers and faculty at African universities
  • to build the field of humanities by establishing networks for scholarly communication across Africa and with Africanists worldwide.
Award Information

Stipends are $12,000 for dissertation-completion Fellows and $19,000 for postdoctoral Fellows, plus an additional $1,000 per Fellow for books and media at both award levels.

Eligibility Criteria

  • Dissertation applicants must be doctoral candidates in the final year of writing the dissertation. (No dissertation fellowships are available in South Africa.)
  • Postdoctoral candidates must be scholars who have obtained the PhD within the past eight years.
  • All applicants must be citizens of a sub-Saharan African country residing and working in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, or Uganda.
How to Apply

Applications must be submitted via email at the address given on the website.

For more information, please visit African Humanities Program.

https://www2.fundsforngos.org/socia...s/apply-for-aclss-african-humanities-program/
 
Deadline: 2 November 2017

The American Council of Learned Societies (ACLS) in partnership with the Carnegie Corporation of New York are seeking applications for its “African Humanities Program (AHP)” to reinvigorate the humanities in Africa through fellowship competitions and related activities in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, and Uganda.

AHP offers African scholars an integrated set of opportunities to develop individual capacities and to promote formation of scholarly networks. The African Humanities Program supports the Carnegie Corporation’s efforts to develop and retain African academics at universities in Africa.

The American Council of Learned Societies (ACLS), with financial support from the Carnegie Corporation of New York, announces competitions for:

  • Dissertation-completion fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, and Uganda
  • Early-career postdoctoral fellowships in Ghana, Nigeria, Tanzania, Uganda, and South Africa
Goals

  • to encourage and enable the production of new knowledge and new directions for research
  • to strengthen the capacity of early career researchers and faculty at African universities
  • to build the field of humanities by establishing networks for scholarly communication across Africa and with Africanists worldwide.
Award Information

Stipends are $12,000 for dissertation-completion Fellows and $19,000 for postdoctoral Fellows, plus an additional $1,000 per Fellow for books and media at both award levels.

Eligibility Criteria

  • Dissertation applicants must be doctoral candidates in the final year of writing the dissertation. (No dissertation fellowships are available in South Africa.)
  • Postdoctoral candidates must be scholars who have obtained the PhD within the past eight years.
  • All applicants must be citizens of a sub-Saharan African country residing and working in Ghana, Nigeria, South Africa, Tanzania, or Uganda.
How to Apply

Applications must be submitted via email at the address given on the website.

For more information, please visit African Humanities Program.

https://www2.fundsforngos.org/socia...s/apply-for-aclss-african-humanities-program/
 
Kiongozi.

Kujaribu kupo.

Na Africa usiidharau.

Kuna Watu ndani ya Bara letu wanatengeneza Pesa ya kufa Mtu
Mkuu HARUFU
Juzi nilikuwa narudi toka Japan nimekutana na wazungu,wajapani na wachina ambao wanakuja kukata waya bongo(wajasirimali)mimi nimekuja na wajapani 6 ambao wanakuja kuangalia fursa za Kilimo,kufua umeme kwa solor,Maji na madini.
Wakati huo waBongo nao wanakwenda nje kutafuta maisha.Tofauti ni wanaoukuja Bongo wana pesa na wanajua wanataka nini.Sisi (SIO wote) tunakwenda kuanza maisha hatuna pesa na hatujui tuanzie wapi.
Muhimu kwa sisi tutoke nje ya nchi ili tuelimike na kupata pesa ili tukirudi tuzione Fursa.Bongo Kuna fursa kibao Ila utaziona ukiwa unapesa au umetoka nje.
 
Mkuu HARUFU
Juzi nilikuwa narudi toka Japan nimekutana na wazungu,wajapani na wachina ambao wanakuja kukata waya bongo(wajasirimali)mimi nimekuja na wajapani 6 ambao wanakuja kuangalia fursa za Kilimo,kufua umeme kwa solor,Maji na madini.
Wakati huo waBongo nao wanakwenda nje kutafuta maisha.Tofauti ni wanaoukuja Bongo wana pesa na wanajua wanataka nini.Sisi (SIO wote) tunakwenda kuanza maisha hatuna pesa na hatujui tuanzie wapi.
Muhimu kwa sisi tutoke nje ya nchi ili tuelimike na kupata pesa ili tukirudi tuzione Fursa.Bongo Kuna fursa kibao Ila utaziona ukiwa unapesa au umetoka nje.
Umenena Kiongozi.

Kutoka ni Elimu pana sana.

Na kingine kuna baadhi ya Vitu kimaisha hutoweza kuvielewa mpaka uwe Nje ya Nchi.

Unajua kwanini?

Hapa nazungumzia uhalisia wa Maisha ya Nje kwasababu kila mmoja atakuelezea vile Maisha aliyokutana nayo Nje.

Na hapo Ushukuru kwa Mtu mkweli na Muwazi.

Watu wengi huwa hawapendi kuwaambia wenzao Ukweli wa Maisha ya Nchi husika.

Na wanapenda kuongopa kwasababu zao maalum, labda tu wanaogopa kuchekwa au kudharaulika.

Na pia wengine kwa shughuli wanazozifanya inabidi afiche na aongope, kumbe Mtu huyo huyo ukija kwenye uhalisia unakuta ni Tapeli, Mwizi, sema haya yote huwezi kuyajua mpaka utoke.

Na kuna vikwazo vingi sana.

Kuna watu wamekwama, wanashindwa hata kwenda kusalimia Nchi zao wanaogopa wakitoka kuingia tena itakuwa ngumu.

Wewe jiulize kitu kimoja tu.

Kuna Mtu asiependa Nyumbani kwake?

Jibu sio kweli.

Hamna Mtu asiependa Nyumbani kwake na unapokuwa Nchi za Watu, Akili kila wakati lazima iwaze Nyumbani.

Kwahiyo usishangae Mtu kuwa Nje miaka mingi bila kurudi kwao kusalimia hata siku moja.

Ukiona Mtu wa hivyo ujue huyo hana Vibali vya uhakika vya kumuwezesha kutoka na kuingia tena.

Huu mfano mdogo na mengine mengi huwezi kuyafahamu mpaka utoke.

Kuna siri nyingi sana
 
Umenena Kiongozi.

Kutoka ni Elimu pana sana.

Na kingine kuna baadhi ya Vitu kimaisha hutoweza kuvielewa mpaka uwe Nje ya Nchi.

Unajua kwanini?

Hapa nazungumzia uhalisia wa Maisha ya Nje kwasababu kila mmoja atakuelezea vile Maisha aliyokutana nayo Nje.

Na hapo Ushukuru kwa Mtu mkweli na Muwazi.

Watu wengi huwa hawapendi kuwaambia wenzao Ukweli wa Maisha ya Nchi husika.

Na wanapenda kuongopa kwasababu zao maalum, labda tu wanaogopa kuchweka au kudharaulika.

Na pia wengine kwa shughuli wanazozifanya inabidi afiche na aongope, kumbe Mtu huyo huyo ukija kwenye uhalisia unakuta ni Tapeli, Mwizi, sema haya yote huwezi kuyajua mpaka utoke.

Na kuna vikwazo vingi sana.

Kuna watu wamekwama, wanashindwa hata kwenda kusalimia Nchi zao wanaogopa wakitoka kuingia tena itakuwa ngumu.

Wewe jiulize kitu kimoja tu.

Kuna Mtu asiependa Nyumbani kwake?

Jibu sio kweli.

Hamna Mtu asipenda Nyumbani kwake na unapokuwa Nchi za Watu, Akili kila wakati lazima iwaze Nyumbani.

Kwahiyo usishangae Mtu kuwa Nje miaka mingi bila kurudi kwao kusalimia hata siku moja.

Ukiona Mtu wa hivyo ujue huyo hana Vibali vya uhakika vya kumuwezesha kutoka na kuingia tena.

Huu mfano mdogo na mengine mengi huwezi kuyafahamu mpaka utoke.

Kuna siri nyingi sana
CC Nyani Ngabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena Kiongozi.

Kutoka ni Elimu pana sana.

Na kingine kuna baadhi ya Vitu kimaisha hutoweza kuvielewa mpaka uwe Nje ya Nchi.

Unajua kwanini?

Hapa nazungumzia uhalisia wa Maisha ya Nje kwasababu kila mmoja atakuelezea vile Maisha aliyokutana nayo Nje.

Na hapo Ushukuru kwa Mtu mkweli na Muwazi.

Watu wengi huwa hawapendi kuwaambia wenzao Ukweli wa Maisha ya Nchi husika.

Na wanapenda kuongopa kwasababu zao maalum, labda tu wanaogopa kuchekwa au kudharaulika.

Na pia wengine kwa shughuli wanazozifanya inabidi afiche na aongope, kumbe Mtu huyo huyo ukija kwenye uhalisia unakuta ni Tapeli, Mwizi, sema haya yote huwezi kuyajua mpaka utoke.

Na kuna vikwazo vingi sana.

Kuna watu wamekwama, wanashindwa hata kwenda kusalimia Nchi zao wanaogopa wakitoka kuingia tena itakuwa ngumu.

Wewe jiulize kitu kimoja tu.

Kuna Mtu asiependa Nyumbani kwake?

Jibu sio kweli.

Hamna Mtu asiependa Nyumbani kwake na unapokuwa Nchi za Watu, Akili kila wakati lazima iwaze Nyumbani.

Kwahiyo usishangae Mtu kuwa Nje miaka mingi bila kurudi kwao kusalimia hata siku moja.

Ukiona Mtu wa hivyo ujue huyo hana Vibali vya uhakika vya kumuwezesha kutoka na kuingia tena.

Huu mfano mdogo na mengine mengi huwezi kuyafahamu mpaka utoke.

Kuna siri nyingi sana
Umenena vema mkuu HARUFU.
Muhimu katika yote ni UKWELI na UAMINIFU hizi ni rasilimali tulizo nazo
Umenena Kiongozi.

Kutoka ni Elimu pana sana.

Na kingine kuna baadhi ya Vitu kimaisha hutoweza kuvielewa mpaka uwe Nje ya Nchi.

Unajua kwanini?

Hapa nazungumzia uhalisia wa Maisha ya Nje kwasababu kila mmoja atakuelezea vile Maisha aliyokutana nayo Nje.

Na hapo Ushukuru kwa Mtu mkweli na Muwazi.

Watu wengi huwa hawapendi kuwaambia wenzao Ukweli wa Maisha ya Nchi husika.

Na wanapenda kuongopa kwasababu zao maalum, labda tu wanaogopa kuchekwa au kudharaulika.

Na pia wengine kwa shughuli wanazozifanya inabidi afiche na aongope, kumbe Mtu huyo huyo ukija kwenye uhalisia unakuta ni Tapeli, Mwizi, sema haya yote huwezi kuyajua mpaka utoke.

Na kuna vikwazo vingi sana.

Kuna watu wamekwama, wanashindwa hata kwenda kusalimia Nchi zao wanaogopa wakitoka kuingia tena itakuwa ngumu.

Wewe jiulize kitu kimoja tu.

Kuna Mtu asiependa Nyumbani kwake?

Jibu sio kweli.

Hamna Mtu asiependa Nyumbani kwake na unapokuwa Nchi za Watu, Akili kila wakati lazima iwaze Nyumbani.

Kwahiyo usishangae Mtu kuwa Nje miaka mingi bila kurudi kwao kusalimia hata siku moja.

Ukiona Mtu wa hivyo ujue huyo hana Vibali vya uhakika vya kumuwezesha kutoka na kuingia tena.

Huu mfano mdogo na mengine mengi huwezi kuyafahamu mpaka utoke.

Kuna siri nyingi sana
Umenena vema mkuu HARUFU
Muhimu katika yote ulielezea ni UKWELI NA UAMINIFU hizi ni rasilimali tulizo nazo ambazo ni biashara kubwa.Hapa Bongo watu wengi wanatengeneza noti ndefu kwa sababu ya UKWELI na UAMINIFU.
Watu wanayo maduka makubwa mali zote sio zao.
Umaminifu na ukweli ni nini? ukiahidi lazima utekeleze.
Ukisema nitafika saa 6 mchana sio saa 6:10 au 7.Hakuna sababu kwa nini umechelewa.Ukweli ni mgumu lakini lazima useme.Kama huwezi kufanya kitu sema huwezi.
Ukiwa mkweli na muaminifu UTAKUWA HURU
 
Back
Top Bottom