DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
USOME HUU UZI KUANZIAA MWANZO WAMEELEZEA KILA KITUJamani Mwenye uwezo anisaidie Mimi niondoke hapa Tanzania nikaishi zangu ng'ambo na sitarudi tena maisha yangu yote. Huu ujinga wanaofanya akina Magufuli na wenzie siwez kuvumilia nitakuja kupiga mtoto Wa MTU.
KAZ GANI ??? KM ZA MADINI KUNA MTU ALIELEZEA PAGE ZA MWANZO HIZO FURSANataka miende DRC kufanya kazi. Vp uko hali ikoje?
Kaz za logistic kwny kampuni flanKAZ GANI ??? KM ZA MADINI KUNA MTU ALIELEZEA PAGE ZA MWANZO HIZO FURSA
KUNAKaz za logistic kwny kampuni flan
MUHUY8GUmkuu ungesoma kuanzia mwanzo kuna member alikuwa anaelezea fursa za madini huko,ungejaribu kumtafutas umuuuuuuuuuuuze khs kaz unayotafutaKaz za logistic kwny kampuni flan
Kaz za logistic kwny kampuni flan
mkuu hii lotetery green ku apply kwa mwaka huu ni lin tena?Kwa wale walio jaza Green card lottery Mwaka jana
2016 majibu yametoka.ingia Hapa
www.dvlottery.state.gov. Hii Tovuti inatumika ukitaka kujiandikisha.Kumbuka NIBURE,ZERO HAULIPII.
Ukiulizwa kulipia kimbia lazima uwe kwenye .GOV
Ukiwa .com Au .org usipoteze muda
Kaveli,Myahudi Jr ll vipi hamjaondoka tu??
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
soma uzi wote kisha uliza swali usipopaelewa mkuu....wakuu kwa mim ninayetaka kwenda ujerumani ..sijajua pa kuanzia mpk sasa. Naomba kwa anayefahamu anipe muongozo
I need thisYeah hicho ndo cha umuhimu... Niliona wakenya huko Sweden wanauza ndoa... Yaani milion tano ya bongo ukimlipa anakubali kufunga ndoa ya kimkakati nawewe then baada ya hapo unapita hivi.... Wengi sana wanaingia huko kwa njia hii na visa za nordic ni rahisi mno kupata.
Kumbe mambo si ngumu kama mbele ee. Ila sas Pass kupata sahv ndo had uwe na ID ya Taifa duh af aitoki chapPassport yako tuu