Kwa Japan, njia rahisi ni kwa ndoa. Watu hawaoani huku wala kuzaliana. Wanigeria wanaoa kila siku na Wajapani.
Kwa kusoma hapa, mpaka uletwe na serikali. Scholarship wanatoa kuanzia Ph.D level.
Unaweza kuja kwa kusoma Kijapani. Naifahamu shule moja ya lugha, gharama ni $1000 kwa mwezi. Wachina wanakuja hivo na kutafuta maisha wakiingia. Pia, viza hazina tabu za kuishi. Unaweza kusoma hapo kwa $500, na $500 unalipa chumba katika dorm yao. Pia, viza yako ya mwaka unaruhusiwa kufanya kazi na shule ina contact na makampuni. Baada ya hapo, akili kichwani.
Maisha ya Japan sio ghali kama unavyosoma katika magazeti. Unaweza kula kwa $10 kwa siku na kushiba. Kazi zipo nyingi tu, viwandani wanatafuta wafanyakazi, Wajapani hawazitaki na hawataki kuzaa. Kama ukitaka, nimeweka link ya vyumba vya kulala vya $500 kwa mwezi kutoka kwa agent. Unaishi kigeto, katika chumba kimoja, katikati ya jiji la Tokyo. Mgeni yoyote anakaribishwa.
Shule ya Kijapani:
東京近郊埼玉県さいたま市の日本語学校
Chumba Tokyo:
www.realestate.co.jp