Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataman sana kwenda nje kusoma wadau vp kuhusu gharama za kusoma computer science kwa nchi kama australia,belgium,uk nina diploma wadau na pia nchi kama china na india sio mbaya!
Bro Kama Unaye mtu wa kukutumia invitation later ya nchi kama marekani ili kuepuka kufeli kwenye visa interview ni documents gani mtu anatakiwa kua nazo, Or You If You Can Hook Me Up With Someone Who Can Help Also Will AppreciateYah Host ni mbaya sana kama utakuwa ujafanikiwa kabla ya miezi 2 so utabaki kukimbizana na Police ukikamatwa kwaza ni jela ukitoka tu ndege ya kwaza kuja Africa na ww utakuwapo ndani yake Str8 kwa JPM empire
Kuhusu nimejuaje sidhani kama hapa naweza kwambia ila nimekwambia kama unataka utaniambia then nitakutumia
Kuhusu Agent wa kazi za mikono Tanganyika hakuna wapo wa Visa tu kwani ni ukweli usiofichika katika watu 10 waliokuwa na ndoto za kwenda nje kufanya kazi kwa Tanganyika ni 1 au 2 tu lakini toka Mr JPM kuingia na ajira kuwa ni swala la kufikirika ndio mwamko wa watu kukimbia Tanganyika umekuwa ni mkubwa ni juzi tu walikuwa wanaoitwa wabeba box walikuwa wanaonekana vibwengo na kukashifiwa sana lakini leo wao ndio wanaonekana kama wameteka kijiji
Kuhusu Agent msaada wangu unaishia pale niliposema kuwa mm nitakushauri bt siwezi kuingia in 4 Kwenye jambo hili am sorry 4 that dude
Sababu za wao kubana ni nzuri ili kuzuia watu wasijekutumikishwa ovyo kwa kazi za ndani na unyanyasaji mwingine.Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Usinipakazie mkuu sina chama hapa nchini...Unatoka kwenda wp ilhali kila siku humu unapiga pambio ukisifia utendaji uliotukuka!? Kijana njaa imekuumbua!
Nafkiriwatu walishasepa majuu nn?
Mkuu niliona umeandika unatafuta Scholarship je umepata ? kama bado unataka ya nchi gani? na kiwango gani cha elimu unataka kusomea?
mkuu ongeza ongeza elimu kdg kwanza hata uwe na degree ndipo uanze kutafuta mchongo wa scholarshipmkuu izzo na mm pia natafuta full scholarship, level yangu ya education ni certificate na kwa nchi za scandinavian mkuu
na pia ata na kazi ikitokea sawa mkuu
mkuu ongeza ongeza elimu kdg kwanza hata uwe na degree ndipo uanze kutafuta mchongo wa scholarship
I wish 1 day nije niishi katika ardhi uliyopoEurope kumekua kugumu sana kuingia siku hizi, ninaona wadada wengi wanaopata mwaliko wa miezi sita wanaingia online dating wakifika nchi hiyo kwani ni rahisi kukutana na mhusika wakati ukiwa pale, wakishaonana dinner mbili tatu anamweleza kuwa amekuja for visiting na inabidi arudi bongo. Kama date amekolea basi atamfuata bongo na mambo yanaendelea kutoka pale.
why not bruh