Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Scholarship nyingi hua zina mashart ya lazima kurudi nchini kwenyu baada ya kumaliza ili utoe mchango kwa ile elimu waliyokupa, so ukitaka kusepa majuu lazima uamue kweli kweli sio kubeep beep tu
 

dah, haya mkuu
 
Watz waoga Sana auze Nyumba yake
 
Hii mbinu ya kuoana kisanii nasikia inawatokea puani sana vijana, wa kiume wanaliwa sana pesa na wa kike mizungu inawat.ia ukweli ukweli na hata kuwageuza, ujinga sana, hapa tz ndo fursa kibao huko ni kujidanganya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangapi wapo bongo wanaishi maisha ya Mbwa ? wangapi wanaishi ulaya wanaishi maisha ya mbwa?

Ukishayajibu haya maswali unashika adabu.
 
Ngoja nianze kutafuta sponsorship labda naweza kimbia bongo aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadaganye hao hao. Usione waethiopia wanafungiwa kwenye malori ili mradi tu wazamie na kufika kwenye ndoto zao ukafikili ni wajinga. Maisha ya Tanzania kuna sehemu ukifika hadi unaweza ukamkufuru mungu kwa kudhania huko watu wanaishi kwenye vichuguu. Elewa kwamba unaweza ukaishi maisha magumu ughaibuni lkn infrastructure zilizoko huko zikawa msaada kwako hata kiafya tu. Endeleeni tu kuhubiri amani maana ndiyo ishakuwa kauli mbiu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…