Wish Goodluck dawg. Changamoto ya huko ni lugha, weather na cost of living ipo juu mbaya.Na mimi nasubiri majibu ila one day nataka nifike nchi yoyote ya scandnavia
Wish Goodluck dawg. Changamoto ya huko ni lugha, weather na cost of living ipo juu mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUO
Hivi nchi zote za ukanda huo ni baridi tu..
Huu uzi wetu maalumu kwa wote ambao tungependa kwenda kubeba box nje ya Nchi.
Tupeane connections, encouragement, educations na experiences za huko nje
Kwa ambao mshafanikiwa mpo nje tunaomba experience yenu ya huko, je ni kweli kuna ahueni ya kuwa dish washer katika nchi kama Australia, Canada, German, France. Uk
tupeane tips muhimu; mmefikaje, taratibu za visa, work permit, chochote ungependa ku share ku shauri, kutoa povu tufunguke.
Thanks in advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliotangulia mbona hawajarudi kuwekeza?Tatizo watu waliopo kule huwa hawafunguki kisawa sawa.....mfano kwa mtu ambaye anahtaj kuzama majuu anahtaji aanzie wap, vitu gan atahtajika kuwa navyo, gharama ya kuanzia kabla hajapata mchongo pande hzo.....kias gan ajiandae kuwa nacho....ni vitu vya msingi sana....mambo ya kuzamia now day yashapitwa na wakati...sa hv unaenda kihalali na unakichafua huko huko...una vuna mtaj mwaka mmoja baada ya hapo unageuka bongo kuja kuwekeza na maisha yanasonga
Akli zao hazipo sawa....huoni akina Kusaga, Le mutuz, Luge, akna Mo, Max walirud bongo na mambo yao yapo kishkopa....kule pa kuvuna mtaji lakn kama we ni bongo lala unabaki huko huko huku unarud ukiwa maitWaliotangulia mbona hawajarudi kuwekeza?
Tatizo la jamii forum kila mtu much know kama huna point piga kimya mazee.Unamiliki passport!? Tuanzie hapo kwanza isije ukawa hata chato hupajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalo tatizo wengi walioko kiwanja hawafunguki kabisa kutoa ramani.Tatizo watu waliopo kule huwa hawafunguki kisawa sawa.....mfano kwa mtu ambaye anahtaj kuzama majuu anahtaji aanzie wap, vitu gan atahtajika kuwa navyo, gharama ya kuanzia kabla hajapata mchongo pande hzo.....kias gan ajiandae kuwa nacho....ni vitu vya msingi sana....mambo ya kuzamia now day yashapitwa na wakati...sa hv unaenda kihalali na unakichafua huko huko...una vuna mtaj mwaka mmoja baada ya hapo unageuka bongo kuja kuwekeza na maisha yanasonga
Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji. Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya,
Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.
Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda.
Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu,
Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao
HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
Wangefanya hivyo.siku nyingi ningekuwa sauzi.walinipa form zao zile.zina maswali hatari.zikazichoma moto.
uhamiaji mizinguo Sanaa.Do it again!
Yaani ukiwa na docs sshv mbona faster tu!
Barua ya mwaliko sio issue,naona kazi ipo kwny vyeti vya kuzaliwa vya wazazi...mi nilitumia affirdavit ,walienda kuapa mahakamani! Hata sio ghali kihivyo,faster tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Barua ya mualiko uliipataje kirahisi mkuu?Do it again!
Yaani ukiwa na docs sshv mbona faster tu!
Barua ya mwaliko sio issue,naona kazi ipo kwny vyeti vya kuzaliwa vya wazazi...mi nilitumia affirdavit ,walienda kuapa mahakamani! Hata sio ghali kihivyo,faster tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe umekata passport lini??na je ulikata bila kua na uthibitisho wa safari??Kama ww ni mtanzania alafu umeshindwa kupata passport hapa Tanzania nyumban kwenu bas hustahil hata kutaman kwenda western countries. Bora uzee kuliko uzembe ukiwa na documents zote hutoi hata sent moja ya rusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unavyomjibu tu unamkatisha tamaa mwenzako.Unamiliki passport!? Tuanzie hapo kwanza isije ukawa hata chato hupajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupewe nini uzi umejaa madini ya kutosha.Tatizo watu waliopo kule huwa hawafunguki kisawa sawa.....mfano kwa mtu ambaye anahtaj kuzama majuu anahtaji aanzie wap, vitu gan atahtajika kuwa navyo, gharama ya kuanzia kabla hajapata mchongo pande hzo.....kias gan ajiandae kuwa nacho....ni vitu vya msingi sana....mambo ya kuzamia now day yashapitwa na wakati...sa hv unaenda kihalali na unakichafua huko huko...una vuna mtaj mwaka mmoja baada ya hapo unageuka bongo kuja kuwekeza na maisha yanasonga