Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Wakuu mm ntk niende UK,
Kuna barua nilipata ya kaz but muda wa kuijibu nilichelewa kwa 7bu, mbalmbal hvyo nkapoteza chance.
Nn nifanye ili niweze kwenda huko?
 
Reactions: D23
Yaani hizo hela zote unashindwa kufanya kitu bongo ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanye experience na ichi ya uturuki na dennmark na upatikanaji wake wa visa na fursa za kazi
 
Pole sana, woga wako ndo umaskini wako. Wengi wamefanikiwa kupitia uzi huu na hawakuwahi toa hata senti kwangu achilia mbali kunijua.

Wewe endelea kupiga mbeta wenzako wakisonga mbele.
broo awa ndio ambao awana nia wanasikia to fuln yupo mahari fuln ila anaona kila kitu ni uongo so muhm kuchukua maamuzi sahihi siku zote kwenye mafnikio kuna kupata na kukosa uwende ikawa yes mipango ikatick hata ikiwa no usichoke kujarbu wala kukataa tamaa uzii ushasaidia watu wengi kupata njia sahihi za kufanikiwa bila kutoa pesa yoyote ile
 
Pole sana, woga wako ndo umaskini wako. Wengi wamefanikiwa kupitia uzi huu na hawakuwahi toa hata senti kwangu achilia mbali kunijua.
Wewe endelea kupiga mbeta wenzako wakisonga mbele.
Ahahaaaah...
Umepanic Kiongozi wangu...
Wala sikuwa na maana mbaya..!
Fine...
Kuna watu wamefanikiwa kupitia huu uzi, lakini nina uhakika pia kuna watu wameibiwa kupitia uzi huu pia..!
 
Muongozo wa kufika na kuishi Mayotte.
Hawa jamaa ZETU warundi wanakimbilia huko je kuna uwezekano wa kutoboa France kiurahisi kupitia mayyote.
 
Mkuu kama umri wako ndo huo na umezaliwa 1965 kwanini usiwe na busara maana we ni miongoni mwa wenye matusi makubwa na ya nguoni humu,tunaiga ni kutoka kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…