Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mababu zetu ndiyo wametuharibia nchi, kujaza mizindiko isiyo na kichwa wala miguu.
Nikweli mkuu ila wewe unafanya kazi nje na class mate niki kuuliza ulipataje fursa ya kazi au kuna fursa gani huko unasema oooh nahangaika tu na maisha wakati money rate ya bongo na huko tofaouti zaidi ya tsh 1 kwa 5000, na ktk profile picture za whatsap una post magari
 
Usilalamike sana sio kila mtu yupo open kuelezea mambo yake/mishe zake mkuu binadamu wanatofautiana ..

Nia na madhumuni yako kuapata hizo infos haswa ni nini?
 
Mkuu,fafanua kidogo hapa please!
 
Usilalamike sana sio kila mtu yupo open kuelezea mambo yake/mishe zake mkuu binadamu wanatofautiana ..

Nia na madhumuni yako kuapata hizo infos haswa ni nini?
Ndio maana mkuu nikasema "Aliyeturoga kafa " wewe upo nje ya Tanzania una fanya kazi na maisha yako yame badilika permanent sasa unawasaidiaje wenzako ?, au unataka urafiki wa kunionesha na kunipostia magari mtandaoni, hatuwezi kufika na tukifika basi ni more than too late, ishu hii imenitokea jana kwa mwana wa class mate
 
Alafu walizindika vibaya, yaani walizindika nchi na vilivyomo km watu, wanyama, ndege etc
 
Aalikujibu vipi?
 
Mkuu hiyo usiwaze si binadamu wote wako fair kumpa njia mwenzake afanikiwe ni wachache sana wenye hiyo sacrifice.
Lakini kingine pia inategemea huyo classmate wako mliishi naye vipi na mnaaminiana vipi.
Wako baadhi ya watu pia wakisaidiwa baadae hugeuka na kuwa masnitch.
Kwa mfano unakuta kuna mtu mwingine yuko nje ya nchi lakini kuna dili za ujanja ujanja anazipiga ili kutoboa sasa anaogopa akiziweka wazi unaweza baadae ukawasanua watu dili zake zikabuma.
Kwa hiyo unapokuwa unasaka details kwa mtu fulani ukazikosa usimaind tafuta alternative way ya kupata hizo information.
Penye nia pana njia.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
anayetaka fursa ya kwenda south korea via study visa kuanzia diploma, degree au phd anichek
 
Weka mchoro tuone inakuwaje ...
Tuition Fee $ 2,500
Application Fee $ 100
Flight $ 800 (one way)
Poket Money $ 1,000
Visa application fee $ 80
Certificate Verificatio )Foreign Affairs Tsh.20,000 @
Korea Embassy $ 4 @ Certificate
Agency Cost $ 700
Other cost $ 200
cost for degree and masters
 

Canada
Application fee $75
Tuition fee $12,000 per year
Visa Application fee $150
Biometric fee $85
Medical check up Tshs 400,000
Tuition deposit $1,000 Non Refundable
Ticket cost $1,800
Insuarance $1,000

Msc or Diploma
 

Kama unaenda kwa kufuata utaratibu bas kila la kheri kama unaenda kupitia magendo au uhamiaji haramu

Bas

Jiandae kutufungulia uzi mwingine wa SITOSAHAU!!
 
Mkuu usiwaze Sana hayo Mambo yapogo Sana ..Kama wewe unataka kuja nnje basi pambana tu kwa namna yako unavyojua wewe ..sisi wengine tulitapeliwa lakini hatukukata tamaa tulipambana Hadi Sasa tupo hapa tulipo, ivyo wewe pigania maisha yako ..huku arabuni pesa ipo Tena Kama siyo mvivu na mtu wa Bata basi utajenga nyumba hapo bongo hata tatu kwa mwaka.
 
Safi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…