Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Ilikuwaje tena akarudi tena mkuu alihali mambo yalikuwa yamenyooka vile au alikuta korea pamenuna?Njoo basi inbox tuongee.
Kuna jamaa yupo korea. Alichukua mkopo ofisini kwake akapotea ila alipofika ikabidi ajirudi aombe msamaha akaulipa
Hakurudi...yaani alijirudi ofisini kwake akaomba msamaha akawatumia pesa aliyokopa. Hadi leo yupo hukoIlikuwaje tena akarudi tena mkuu alihali mambo yalikuwa yamenyooka vile au alikuta korea pamenuna?
Isanga family mkuu hiyo fursa ya vietnum wanafaidi sana Waganda ndio siku hizi wanafuata sana pure leather shoe huko na wanauza sana DRC na unaambiwa ni bei rahisi sana.
Africa nipazuri mimi nimeoa sweden sina ata mwaka ila napenda kuishi tz natuinue nchi yetu kule nikama utumwani mkuu
Kama yupo basi wewe ni kuandika Ile hati then anaweka sahihi na Jina lake...ila mimi nilifanyia mkoa kuna Brother angu mmoja alikuwa mwanasheria so aniliandikia akaniambia niende mahakamani nikapige muhuri. Kwa wewe kaulizie kwanza utaratibu upo vipi wa kuipata affidavit then utajua pa kuanzia ikizingua wewe andaa mwenyewe tuu...cha msingi muhuri wa mahakama na statement ya kiapo ya bibi basi.Bibi mzaa mama yupo.sasa nikifika kurasini nisemeje.
Nikipata UK nataenda ila kwa sasa ama aiming for Australia. Napapenda tu
Na watanzania sasa mnatamani kwenda nje !chezea JPM,mlifikiri wanaija na wacongo wanathubutu kwenda ulaya na america wanapenda ?
Hapo sawa baada ya kumeki akawarushia vichele vyao yeye akabaki na pesa za noti.Hakurudi...yaani alijirudi ofisini kwake akaomba msamaha akawatumia pesa aliyokopa. Hadi leo yupo huko
huu uzi ni mzuri sana...shida kubwa ya wa tz ni ubinafsi.....yes tumeumbwa hivyo wanadamu ila utaifa wetu hua hatuuweki mbele...mimi nimetembelea baadhi ya nchi ukikuta wenzetu wa nchi zingine wanaishi kindugu ila sisi mkiisha salamiana basi kila mtu kivyake.. niliokua nao karibu walikua wakenya, Ghana, pili ukienda kwenye hizo nchi unatakiwa uwe na malengo kabisa kabla hata ya kuondoka hio itakusaidia kwakua unakua unajua unatafuta nini.
Kuna nchi inaitwa lithuania naona wa Nigeria wana recommend sana kwenda maana hawana longo longo hasa kwa wale wanao enda kusoma Degree na kuendelea. Maana nchi nyingi wanataka ufanye test zao zile za Teofel so hawana kuna kozi kibao nzuri. Mimi ndio nataka nipitie Huko. Hapa na jichanga kwanza mpk October nitajua mbivu na mbichi.Australia wana mfumo mgumu sana wa uhamiaji na unaigwa na Uingereza na Marekani wanaiga sasa hivi.
Kama maisha Congo au Naija yangekuwa bien kama ulaya wangeenda ulaya kufanya nini?ulishawahi kuwaona wanamibia ama wabotswana wengi ulaya /marekani?Yes before awamu ya tano majorities hawakupenda kwenda kuishi nje as waliona life in bongo is better than anywhere.Kwa hiyo huwa wanaendaga bila kupenda bali ni kwa kulazimishwa au?
Na una uhakika gani kama isingekuwa huyo JPM watu wasingetamani kwenda nje?
Ahaa ahaa dah umenichekesha kweli wanasema never say never. Mara ohoo tunawaogesha mababu na mabibi Mara oh mabox Mara majina kibao but take it easy bro .Ni ajabu na kweli!!
Leo hii kubeba boksi kunatafutwa hivi wakati muda sio mrefu wabeba maboksi walikuwa wanatukanwa na kukejeliwa?
Holy mother!!
Hahahaa...eti akabaki na pesa ya notiHapo sawa baada ya kumeki akawarushia vichele vyao yeye akabaki na pesa za noti.
Jambo kubwa unalopaswa kufahamu ni kwamba MAISHA YANABADILIKA hata Yahya Jammeh aliyesababisha watu wakimbie nchi hakuwahi waza siku moja naye atakuwa mkimbizi....Ni ajabu na kweli!!
Leo hii kubeba boksi kunatafutwa hivi wakati muda sio mrefu wabeba maboksi walikuwa wanatukanwa na kukejeliwa?
Holy mother!!
Bila shaka mkuu we unafikiri angekuwa hana kitu angewalipa?Hahahaa...eti akabaki na pesa ya noti
Kuna nchi inaitwa lithuania naona wa Nigeria wana recommend sana kwenda maana hawana longo longo hasa kwa wale wanao enda kusoma Degree na kuendelea. Maana nchi nyingi wanataka ufanye test zao zile za Teofel so hawana kuna kozi kibao nzuri. Mimi ndio nataka nipitie Huko. Hapa na jichanga kwanza mpk October nitajua mbivu na mbichi.
Miaka ya nyuma kuna wakenya wengi na watanzania baadhi walitumia ile fursa ya wakimbizi wa kutoka burundi walioishi kambi za mtabila na nyarugusu pale kigoma kupelekwa nchi ya pili ya ukimbizi zaidi ilikua canada na marekani hivyo ikawa nao wanajichanganya humo humo kama refugees wanaenda nje kilaini sana.
Ahaa ahaa dah umenichekesha kweli wanasema never say never. Mara ohoo tunawaogesha mababu na mabibi Mara oh mabox Mara majina kibao but take it easy bro .