Sio kwamba jamaa atakuwa ameumia huko sio Kamanda TRUMP anajenga Ukuta kuwatenga wa MEXICOMshkaji mwingine hadi naandika haya yupo Nogales, Mexico akisubiri mvushaji ama maarufu kwa jina la COYOTE amvushe boda kumwingiza USA
Kwa kifupi alipanda ndege from Dar to Adis then from Adis to Rio de Janeiro. From Rio alienda Mexico City na sasa yupo Nogales mji ambao upo kwenye border ya Mexico na US akisubiri kuwa-smuggled into US
Anasema hapo transit Nogales kuna mafuriko ya watu toka Latin America, west Africans na Asians wakisubiri kuvuka boda kuingia US
Mungu ambariki atimize ndoto yake
I always underpin your posts. I always pay homage to your school of thoughts.
Mkuu Lizarazu, stay always blessed.
-Kaveli-
Sio kwamba jamaa atakuwa ameumia huko sio Kamanda TRUMP anajenga Ukuta kuwatenga wa MEXICO
Yeah binafsi siku hizi nakata schengen visa hivyo nakuwa free kuzunguka ulaya nnayotaka bila vikwazo... Ni visa nzuri sana.
Kama maisha Congo au Naija yangekuwa bien kama ulaya wangeenda ulaya kufanya nini?ulishawahi kuwaona wanamibia ama wabotswana wengi ulaya /marekani?Yes before awamu ya tano majorities hawakupenda kwenda kuishi nje as waliona life in bongo is better than anywhere.
Tatizo watz tuna wivu wakenya na wanaijeria huwa wanavutanaMkuu inategemea unataka kwenda inchi gani kujilipua...zipo inchi zipo ulaya lakini utatamani ubaki Africa..sasa wewe nidokeze unataka uende inchi gani?
Nimesoma michango yote thread hii,watu wanataka kutumia masomo kama gear tu ya kujilipua.Kwamba unatuaminisha kila ana enda nje ana mkimbia huyu JPM wako..serious!?
Huoni kwamba wapo wenye shauku ya kwenda kimasomo? Pia wapo wanataka kufanya exproration tu!?
Basi tunaomba ushee na wewe uzoefu wako na sio kumsifia mtu ambae ni insignificant kwenye hii thread.Nimesoma michango yote thread hii,watu wanataka kutumia masomo kama gear tu ya kujilipua.
Ukienda Nairaland kuna mpaka threads zinazoelezea jinsi ya kupata Visa za UK, US, CANADA,Australia n.k na mambo mengi wanawekana wazi mpaka scholarship ambazo ni easily accessible.Tatizo watz tuna wivu wakenya na wanaijeria huwa wanavutana
Aisee, jamaa alikuwa fighter sana. Ila kwa sasa hali ya usalama ni mbaya especially middle east. Unless u-force kuvuka Mediterranean kama jamaa wa Libya na syria wanavyofanya. Ukiumbwa mwanaume ni kupambana...Miaka hiyo ya zamani jirani yetu mmoja alifanya hii daring and most adventurous journey to Denmark kama ifuatavyo:
Jamaa alipanda basi from Dar to Nairobi miaka hiyo stendi ya mabasi ya Arusha ilikuwa Kisutu. Alibeba mfuko wa rambo akiwa na nguo chache na mswaki.
Alipofika Nairobi akachukua basi hadi Uganda. From Uganda akapata lifti ya lori la mizigo hadi Juba.
Kutoka Juba akaungaunga Safari hadi Khartoum na hatimae akaingia Cairo, Egypt. After a few days akaenda Port Said. Baada ya wiki kadhaa akapata jahazi from Port Said hadi Syria.
Akaishi Syria for several months akipiga dei waka na finally akapata mchongo wa kuingia Turkey.
Alikaa Turkey for 3 years akapata mchongo wa kuingia Denmark ambako alioa huko na ana Danish wife na familia ya watoto 3. Alijiendeleza kielimu na ana kazi nzuri tu na maisha mazuri
Hutembelea bongo once in 2 years na alisema atafia huko
Pengine kwa wale wapiganaji mnaweza kujifunza kitu hapa
Asanteni
Najua France n maisha magumu ila me naenda kutembea2 asante kwa ushauri ubarikiweChukua shengena viza kisha book hotel hata kwa siku tano unalipa kwa kadi ya viza ila hawakati pesa kisha tafuta booking ya ndenge lazima ukate insuarance pia uwe na bank statement sasa sijui kama na tz wanatumia utaratibu huo maana mimi niliombea kwa nchi ninayoishi huku nje ya nchi mimi nilikwenda tu kutembea haikuwa tabu kabisa ukisha pata viza unacansel booking yako ya hotel ila unakuwa na ile copy ikusaidie kuingia kama wakikuuliza ukifika huko utajua ila france maisha ni magumu kidogo
Mkuu Lufungo,naomba unielimishe kwa uelewa wako ni nchi zipi za Afrika walau mbongo anaweza kuzamia akapata chochote kitu,?Ukiwa tayari niambie.... Nitakupa namba ya kijana atamaliza yote ndani ya siku 2. Hiyo gharama haitofika.
Napata jaziba sana naposikia maneno kama haya kutoka kwa Rais wa nchi...badala ya kuwatetea watu wake yeye ndo anawachuuza...! Sasa huyu Rais wa kazi gani sasa? anakera sana ...Rais John Magufuli akiwa ktk ziara Mtwara amesema ni sawa tu kwa Serikali ya Msumbiji kwa kuwafukuza wahamiaji haramu.
Na amewataka watanzania warudi tu nyumbani kuna kila kitu ili tujenge nchi yetu.
Na ulivyokwenda ndivyo utakavyorudi kwasababu Serikali haikukupeleka Msumbiji na hata usafiri wanaopewa hauna sababu kwa sasa.
Amemshanga mtanzania kutoka Shinyanga kwenye dhahabu kwenda kuchimba madini Msumbiji.
Msumbiji ni marafiki wa Tanzania na wahamiaji haramu wasisababishe kuharibu mahusiano kati ya Tanzania na Msumbiji.
Mkuu nimeipenda sana hiyo verse yako ya mwisho "Ukiumbwa Mwanaume ni kupambana"kula tano.Aisee, jamaa alikuwa fighter sana. Ila kwa sasa hali ya usalama ni mbaya especially middle east. Unless u-force kuvuka Mediterranean kama jamaa wa Libya na syria wanavyofanya. Ukiumbwa mwanaume ni kupambana...
Unakwenda lini Paris?Najua France n maisha magumu ila me naenda kutembea2 asante kwa ushauri ubarikiwe
Mkuu naomba unisaidie Mimi nataka nikafanye kazi flani hivi kenya next week so kama kuna uwezekano wa hata wa letter itakuwa fleshUfanikiwe ndugu, maisha ya bongo unanyonga tai kali mwisho wa mwezi unaondoka na hela ambayo haitoshi hata robo ya mahitaji.
Ndivyo mtanzania alivyo.tatizo mna mashauzi sana mnaojiita abroad.Ni ajabu na kweli!!
Leo hii kubeba boksi kunatafutwa hivi wakati muda sio mrefu wabeba maboksi walikuwa wanatukanwa na kukejeliwa?
Holy mother!!