Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Barua ya mwaliko au offer ya chuo ndiyo msingi wa safari yako ya matembezi au kwenda masomoni.

Tiketi ya kwenda na kurudi (kwa matembezi) ni jambo la pili na la msingi.
Kwa mfano nikiwa na tiketi.naenda Zambia.Nina passport. Wataniuliza ticket ya kwenda na kurudi?
 
Aisee, jamaa alikuwa fighter sana. Ila kwa sasa hali ya usalama ni mbaya especially middle east. Unless u-force kuvuka Mediterranean kama jamaa wa Libya na syria wanavyofanya. Ukiumbwa mwanaume ni kupambana...

Indeed!
Kumbuka wakati ule rebels wakiongozwa na John Garang walikuwa wakipigana na serikali ya Sudan na jamaa alisema alikamatwa na askari wa sudan katikati ya Juba na Kartoum na aliwekwa ndani for several days kabla hajaachiwa. Alidiriki kusema kuna wakati alikaa na njaa kwa siku 3 akishindia maji ya kunywa tu
Maisha ni kupambana
 
Nini hichi umeandika!?
 
Napata jaziba sana naposikia maneno kama haya kutoka kwa Rais wa nchi...badala ya kuwatetea watu wake yeye ndo anawachuuza...! Sasa huyu Rais wa kazi gani sasa? anakera sana ...
Mkuu unategemea nini kutoka kwa raisi huyu tulie nae kwenye inshu kama hiyo. Saana ni maudhi tu kama hayo.

Wewe raisi mwenyewe hata swala kutoka nje ya nchi kwake ni anasa ndio aje atetee wanyonge walionda nje kutafuta ridhiki.
 
Mkuu unategemea nini kutoka kwa raisi huyu tulie nae kwenye inshu kama hiyo. Saana ni maudhi tu kama hayo.

Wewe raisi mwenyewe hata swala kutoka nje ya nchi kwake ni anasa ndio aje atetee wanyonge walionda nje kutafuta ridhiki.

Kutoka nje kwa riaisi wa nchi ni anasa?
 
Mkuu unategemea nini kutoka kwa raisi huyu tulie nae kwenye inshu kama hiyo. Saana ni maudhi tu kama hayo.

Wewe raisi mwenyewe hata swala kutoka nje ya nchi kwake ni anasa ndio aje atetee wanyonge walionda nje kutafuta ridhiki.
Inasikitisha sana. Ila muda siyo mrefu, passport yao nitaitupa kwenye dust bin
 
...kama we ni heath personnel..basi tafuta nafasi za masomo ya juu ng,ambo..ndio njia pekee na rahisi ya kukutoa ambayo hata lusingo amegusia kwenye Uzi wake...


mulemule kumbe afya ndio dili ee ngoja nami nitasogea huko mkuu tujumuike wote nisaidie tu barua ya mwaliko niwe kama mgeni wako nikija nakuachia fungu kidogo natafuta njia yangu nami yakutokea by the way nami ni health personal.
 
Bro u sound very innocent

I like your attributes unaonekana shule ipo pia.

You have a good heart too.

Keep it up n god bless u
 
Hao wachina wenyewe wamezamia hapa kwetu wapo kariakoo wanauza ubuyu na popcorn so ukienda kwao imekula kwako.
Inategemeana. kuna kijana tunatoka kijiji kimoja (Ingawa niliwaacha wakiwa bado watoto wadogo) ameenda china and it seems maisha siyo mabaya. huko anamiliki saloon na business zingine. huwa tunachart kwenye hizi social media...so, inategemeana na jinsi ya kukabiliana na ugumu/risks...
 
Mkuu bado na wait jibu lako nahitaji unisaidie njia nyepesi ya kupata passport.
 

Lithuania uchumi wao ni mbaya saana,hata wao wanapambana kukimbilia nchi nyingine,chuo utapata lkn kazi hazipo,nisawa na Spain choka mbaya huko .au Italy,romania bora ya Tanzania
 
Nyani Ngabu usibanie michongo ya kutimkia huko[emoji1]

Faiza Fox toa michongo ya Canada

BAK toa michongo ya US

Kimweri lete ushauri
 
Lithuania uchumi wao ni mbaya saana,hata wao wanapambana kukimbilia nchi nyingine,chuo utapata lkn kazi hazipo,nisawa na Spain choka mbaya huko .au Italy,romania bora ya Tanzania

Italy choka mbaya??
 
Lithuania uchumi wao ni mbaya saana,hata wao wanapambana kukimbilia nchi nyingine,chuo utapata lkn kazi hazipo,nisawa na Spain choka mbaya huko .au Italy,romania bora ya Tanzania
Ila ndio nasikia ndio njia pia rahisi ya kuingia ulaya.
 
Bro u sound very innocent

I like your attributes unaonekana shule ipo pia.

You have a good heart too.

Keep it up n god bless u
Daa! jamaa umemuremba wewe au unataka akushike mkono ee πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› nakutania bro usipanic
 
Ahaha... Utashitakiwa na jamhuri mkuu
Hapana mkuu! nikishapata citizenship ya nchi nyingine, uraia wa tz una cease automatically. Btw, napata shida kurudi ku-rew passport inapoisha ama kujaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…