Mkuu tusi lipo wapi hapo?mm naelezea baadhi ya ulaya ulivyo..basi tusameheane mkuu...mm huwa sidhamirii matusi MKUU.. Hzo inchi bila michongo maalum huwezi kukaa MKUU..mm nilikimbia hapo...hebu nieleze tusi lipo wapi mkuu
Hapakuhusu hapa. Nenda kwenye mada zinginesasa mbona mkifa huko.....mpaka sisi huku sitimbi tuchangishe pesa ndio mtu aweze kuzikwa huku? hata ya kusafirisha mwili tu kuchangia huko ni shida! ni nn shida!
Kabisa mkuu. Lengo la huu uzi si kuwatoa wanamada katika mstari ila ni kupeana moyo na maarifa kuhusiana na njia ya kutoka. Anatokea zumbukuku anataka kuharibu mambo. Walio na dhamira na hakika hawataweza kuvunjika moyo. Mungu Muumba atujalie woteKwa wale wakatisha tamaa a.k.a wapuuzi ni bora usichangie kuliko kuandika utumbo
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Kuoa ni kufuata sheria za maombi ya viza za mume/mke wa raia wao.Mimi nimeenda USA mara 5 kihalali, hili halipo straight kama unavyofikiria. Labda ufanye kazi tu bila kibali. Kuoa ni shughuli, and a long process.
Kuoa ni kufuata sheria za maombi ya viza za mume/mke wa raia wao.
Tena hao waombaji wanapata preference zaidi kuliko mwombaji wa viza za kutalii.
Kutegemea na hali ya kifedha ya raia wao, wote wawili mnapewa interview. Majibu yote lazima yalingane. Mnakuwa kwenye vyumba tofauti.
Pia, utahitaji kuonyesha kuwa mlikuwa na uhusiano wa muda flani. Picha za harusi. Cheti cha ndoa.
Wakiridhika, unapewa viza. Pia raia wao ana haki sana juu ya maombi ya viza.
Nina rafiki, alikaa zaidi ya muda wake wa viza (overstay) Marekani. Akarudi na mke wa huko Bongo na kuondoka na viza ya kuishi hata baada ya kuvunja sheria.Alisubiri mwaka mzima. Leo ni raia wao.
It's who you know
Wachina na Wamexico wanaongoza kwa kununua ndoa.Ipo hivi:
- Kuna kupata mke natural ukaoa - Labda iwe genuine kabisa, ina changamoto zake.
- Kuna kumlipa mtu ukaoa ndoa fake.
Wachina na Wamexico wanaongoza kwa kununua ndoa.
Wengine wanakamatwa, wengine wanapita.
Binafsi, ziwezi kutoa hilo wazo lakini hilo zoezi linafanyika kila siku. Wanaenda miji midogo kupeleka maombi.
Hata raia wa Mexico wanapenya kila siku Marekani.
Ukipata mtu anaejua sheria, unaweza kabisa kununua ndoa.
Nothing is impossible.
Tutamtoa kwenye orodha ya mahost anachafua uwanja.Mkuu vipi unatuharibia uzi
Si kweli.Mi nimeenda mara 5 na kuangalia option zote hizo. Thaman ya kununua ndoa ni between: $5000 - $10.000, ukiacha gharama nyingine hapo. ambazo ni kibao.
Kuoa ni kufuata sheria za maombi ya viza za mume/mke wa raia wao.
Tena hao waombaji wanapata preference zaidi kuliko mwombaji wa viza za kutalii.
Kutegemea na hali ya kifedha ya raia wao, wote wawili mnapewa interview. Majibu yote lazima yalingane. Mnakuwa kwenye vyumba tofauti.
Pia, utahitaji kuonyesha kuwa mlikuwa na uhusiano wa muda flani. Picha za harusi. Cheti cha ndoa.
Wakiridhika, unapewa viza. Pia raia wao ana haki sana juu ya maombi ya viza.
Nina rafiki, alikaa zaidi ya muda wake wa viza (overstay) Marekani. Akarudi na mke wa huko Bongo na kuondoka na viza ya kuishi hata baada ya kuvunja sheria.Alisubiri mwaka mzima. Leo ni raia wao.
It's who you know
Mi nimeenda mara 5 na kuangalia option zote hizo. Thaman ya kununua ndoa ni between: $5000 - $10.000, ukiacha gharama nyingine hapo. ambazo ni kibao.
Watanzania tuna mambo ya hovyo hovyoNdugu zangu. Naomba tuwe makini na pamoja kwenye mambo haya muhimu. Kumbukeni ugeni ni zaidi ya undugu, kama kasoro zinaanza mapema hivi, si sawa. Ukipata nafasi muhimu kama hii, ni vyema kutulia na kumthamini kila mmoja.
South ukiwa na passport inatosha.
Ukienda kwa bus huulizwi return ticket.
Ulitumia siku ngapi mpaka unafika SA?
Vipi changamoto zipi ulikutana nazo njiani kwa usafiri wa basi?
Nauli kiwango cha juu mtu aandae kiasi gani kwenda na kurudi?
Hoteli zinasimamia rand ngapi kwa jiji ulilokuwa umeenda?
Nilienda mwaka juzi kwa bus sikupata usumbufu wowote.
Kama vipi ni PM
Ulitumia siku ngapi mpaka unafika SA?South ukiwa na passport inatosha.
Ukienda kwa bus huulizwi return ticket.
Nilienda mwaka juzi kwa bus sikupata usumbufu wowote.
Kama vipi ni PM
Calm down mkuu, hata mimi pia nasubiri izzo atoe muongozo ili tujue pa kuanzia, usi-mind vitu vidogoMkuu stunter unachofanya sio fair kabisa.. Unaandikiwa meseji hujibu na ukijibu unajibu shortcut tu..
Please hebu jitahidi kumuelewa kila MTU anaekufuata inbox kwa wazo alilolitoa mdau Izzo...
Au mkuu izzo naomba inipatie namba zako inbox kwangu
Mkuu why Germany?Ugumu wake uko vip mkuu ...natamani sana nifike kwenye hio inchi. Nipe maujanja kidogo ili nijue namna ya kufika aisee..
New Zealand ni mbali sana aisee.... But life lao zuri... Hivi na wao viza zao zinasumbua?Mkuu why Germany?
Au kwasababu ya job?
Sasa hivi wako very complicated mkuu.
Lengo ni education au maisha?
Nakushauri jaribu Australia au New Zealand.Huko Kuna kazi nyingi Sana hasa New Zealand,tatizo New Zealand baridi ni kali sijapata ona maishani.Unaweza iona "K" hiyo hapo lakini "Boloyang" anakua kalala doro tu hana shida,ukibanwa aja ndogo bila kupiga tizi ata la mita mia kwa kasi ya jet basi kojo halitoni.yani ni kama ile ya kwenye "mafriza" ya kuhifadhia Samaki Dar,ahahahaaa.....JOKING.Ila msosi ni mwingi bala hasa nyama na maziwa.
Ulitumia siku ngapi mpaka unafika SA?
Vipi changamoto zipi ulikutana nazo njiani kwa usafiri wa basi?
Nauli kiwango cha juu mtu aandae kiasi gani kwenda na kurudi?
Hoteli zinasimamia rand ngapi kwa jiji ulilokuwa umeenda?
izzo, kindly put this lady into consideration kuhusu HOSTING, coz anasema ni verified one in that regard, na usafiri anao. So nayeye atakuwa anapasisha wageni wawili watatu kwa wadau wengine baada ya kufanya ukaguzi physically wa eneo husika.
Mie binafsi kwenye hii host project najitoa kwenye kinyang'anyiro, maana daaah sie wengine still tumepanga geto za uswazini sana, geto zenyewe zinavuja na mvua ndo zinaanza... majanga plus! Lol.
Madam Caro Lynah... zangu dua uipate hii fursa. Mie nitaleta kwako aplikesheni letta ya udereva tu niwasomeshe mitaa ya jiji hao 'watasha'.
-Kaveli-
Mkuu hiyo imekaaje yale makaratasi nayapaje kwa maana naona kama hiyo nayo ni idea nzuri sana.
Nifanyie mchakato niyapate...wewe ulipataje?
Haha...ila shida ni mbaya saana mkuu. Unaweza pewa mtoto wa watu ukawa na mahisia naye kisa shida za kupata kibali cha kuishi.
Baada ya kukipata ukapanda jeuri kubwa. It's bad sometimes kumwangusha mtu aliyekusaidia kwenye shida