Mkuu Kaveli huwa anaingia mara moja moja,ila anaonesha anapitia changamoto sana kulingana na nyuzi(thread) zake,ana diploma ila hajawahi kupata kazi,na anataka akasome degree,usimpe mwingine hiyo nafasi,huyu ni mwenzetu utakuwa umemsaidia sanaDah kavel mbona unazingua mkuu dah Tanganyika watu tupo slow sana duh haya poa mkuu nitakucheki
Ukimaliza tuma kwa huyu sammycheong2@gmail.com then atakufahamisha na kukutumia mawasiliano ya hao watu na form ujaze ok
Note : Uruhusiwi kutoa hata sh 10 huduma yote ni free of charge
safi sana Mkuu kwa msaada wako kama watanzania tukiwa na roho hii tutapiga sana hatua aiseUkimaliza tuma kwa huyu sammycheong2@gmail.com then atakufahamisha na kukutumia mawasiliano ya hao watu na form ujaze ok
Note : Uruhusiwi kutoa hata sh 10 huduma yote ni free of charge
Nitakutumia codes so ukituma hyo mail andika na hizo Codes nilizokutumia so atajua ni ww na zitafanyiwa kazi kama Mungu atakavyopendaAlright mkuu, noted with thanks. Ila naomba kuuliza:
1. Nakumbuka ulisema kwamba unasaidia watu watano tu, na tayari wameshatosha (me inclusive). Then Why email yake umeiweka public hapa, what if na wengine wakatuma?
-Kaveli-
Mkuu Kaveli huwa anaingia mara moja moja,ila anaonesha anapitia changamoto sana kulingana na nyuzi(thread) zake,ana diploma ila hajawahi kupata kazi,na anataka akasome degree,usimpe mwingine hiyo nafasi,huyu ni mwenzetu utakuwa umemsaidia sana
God bless him,Nautabiria huu uzi kuja kufika mwezi wa tano utakuwa na page 1000.
Nachofurahia kila leo wadau wanaleta vitu vizuri hii inaonesha jinsi gai tumezamilia japo kila mmoja anachangamoto zake naamini kila mmoja atakuwa na nafasi yake na muda wake kwa sasa Kaveli ameanza kupata sapoti hivyo tumuuombee afanikishe maana kufanikisha kwake ni kufanikisha kwetu sote.
Kila lakheri mkuu....
Kwa mipango uliyonayo kwakweli Mungu akuongeze muda wa kuishi, gharama za wema huu pia utalipwa na Mungu mwenyewe. Naamini hawa watu wanaotegemea kuvutwa kwa hii kamba unaoturushia ni wengi na hii kazi unayoifanya imewashinda ndugu zetu wengi wa damu wenye uwezo mkubwa. Hata nisipofanikiwa mimi lakini nawaombea wengine wafanikiwe maana mvua ikinyesha kwa mkulima mfanyakazi atapunguziwa bei ya mazao. Mkuu [HASHTAG]#izzo[/HASHTAG] go on pave the way na Mungu akutangulie.Mkuu tuombe Mungu tu lakini kwa hii pln itawatoa wengi sana kila mwaka 20 - 30 wageni
Kama kweli mtafanyia kazi Project hii trust me wengi mtaondoka tena wengine kwa kuto gharamika hata sh 100 coz mgeni anatoa dola 100 kila siku asubuhi zaidi ya laki 2 then kama utamfanyia wema mgeni wako na yeye hato sita kukufanyia wema pale utakapo kuwa na ww unaitaji wema wake na yeye
Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu
Pole kavel nilikuwa nimeanza kukusikitikia kwamba umeonesha nia sana then mwishoni upotee....pls ukiwa nina shida ndogo ndogo kama hizo unatucheki wadau! Next time ukihitaji pc na internet sema wadau tukusaidie! Hongera kwa kufanikishaMkuu Daby, ahsante kwa kujali ndugu. Ndo nimepata compyuta leo usiku huu na tayari nimeshaandika.
-Kaveli-
Mkuu naomba sana niwepo hata ikishindikana round hii basi hiyo ya mwez wa sita nafikiri wengi tutapata.Mkuu naandaa mfumo mzuri wa kufanya swala hili kwani project ni mwezi wa 6 namba nilisema nianze kutumiwa mwezi wa 4 bt mpaka sasa nimepata namba kama saba tu bt ktk watu 7 niliopata namba zao watu watatu hawafai kutokana na sababu za usalama wa wageni bt kwenye project ya mwezi wa 6 tutaitaji host kama 20 hv
kavel kavel vp mbona kimya toka juzi maneno 400 bado????? duh
Mkuu kavelli a wise man once said tough times never last in life but tough people always do. Keep pushing to the limit # supported by izzo through God#Mkuu cognition , you are kind hearted. Nimeguswa sana na comment yako ndugu. Ahsante sana kwa kutupia neno lako lenye upendo na kujali. Tupo pamoja kiongozi. Naamini hizi changamoto za kimaisha ni mapito tu!
Kwakweli siku nitapotia mguu darasani kuanza kusoma Bachelor degree, nitachukua moment of silence ya kama dakika 3 hivi kupiga goti chini kumshukuru Mola. I have come from far away, the hard way!
-Kaveli-
Nautabiria huu uzi kuja kufika mwezi wa tano utakuwa na page 1000.
Nachofurahia kila leo wadau wanaleta vitu vizuri hii inaonesha jinsi gai tumezamilia japo kila mmoja anachangamoto zake naamini kila mmoja atakuwa na nafasi yake na muda wake kwa sasa Kaveli ameanza kupata sapoti hivyo tumuuombee afanikishe maana kufanikisha kwake ni kufanikisha kwetu sote.
Kila lakheri mkuu....
MWENYEZI MUNGU wetu mkuu, akubariki sana Kaka Izzo. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Ukimaliza tuma kwa huyu sammycheong2@gmail.com then atakufahamisha na kukutumia mawasiliano ya hao watu na form ujaze ok
Note : Uruhusiwi kutoa hata sh 10 huduma yote ni free of charge
Kabisa Kaka Daby. Ila tunashukuru amemaliza kama alivyosema. Safi kabisa.Poa poa mkuu....sema ni tatizo la kutokujua mtu alipo ila ishu kama hiyo ya kompyuta ungepata siku hiyo hiyo.
All the best mkuu
Mi pia nilipigwa sina hamuJamaaa mmoja aliliza watu humu jf waliokuwa wataka fursa za kwenda ughaibuni akadai yeye ni agent anaweza msaidia mtu akafika majuu watu wakajikoki amepiga kalibia US$ 670 za wanajamvi shahidi [HASHTAG]#daby[/HASHTAG]