Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu yote uliyoongea ni by the book bt nataka kukwambia muhamiaji ana akili zaidi ya askari wa uhamiaji

Watu wanapata uraia na ukazi wa kudumu Malta with 0 euro kwenye account ya bank

Euro 200,000 kama unazo Bongo ya nini uje huku wakati unauwezo wa kumake more ndani ya Tanganyika na ukaja huku kama kutembea na kula bata tu

Tatizo fursa za Tanganyika ni kama mpira yule anayecheza ndani awezi ona lakini aliyenje ya uwanja au anayeangalia anaona chance za kufunga magoli zaidi ya mchezaji wa ndani
Tz kwa sasa hali ni mbaya sana. Haijulikani kwamba uchumi wetu ulikuwa fake au kitu gani. Wengi wamekwama, wapo waliotaka kumalizia nyuma zimeshindikana, wapo waliotaka kufungua biashara mazingira hayaeleweki kabisa.
 
Pole kavel nilikuwa nimeanza kukusikitikia kwamba umeonesha nia sana then mwishoni upotee....pls ukiwa nina shida ndogo ndogo kama hizo unatucheki wadau! Next time ukihitaji pc na internet sema wadau tukusaidie! Hongera kwa kufanikisha


Though Life is a rough battle ground, still earth entails wise n' nice people. Mkuu wiseboy, your nick n' words do reflect something unique in your heart! Keep up such spirit.

Ahsante sana ndugu angu. Umeonesha kujali hadi nimefurahi.

Tupo pamoja mkuu.. a lot of blessings to you sir.

-Kaveli-
 
Mkuu kavelli a wise man once said tough times never last in life but tough people always do. Keep pushing to the limit # supported by izzo through God#


Yep Mkuu Cole, you are damn right...

When the going gets tough, only the toughs get going.

Let's not be hesitant to keep the moving when the situation gets harder.

Tuendeleze harakati. Let's keep the fire burning!

Thanks for support.

-Kaveli-
 
Pole sana I wish I could be among of people to help you.
Umeniliza mkuu umeandika kwa hisia sana
Nakuombea ufanikiwe in Jesus name.


What a touching post!

Mkuu Shyshii, let such helpful spirit be more thrived by blood of Jesus, and you get more return out of it.

Barikiwa sana mpendwa kwa kujali. Umenigusa sana mkuu.

-Kaveli-
 
Kaveli, nimefurahi mkuu. Ni maombi yangu kuwa Mungu aliyekufungulia Mlango azidi kukufanikisha nawe uje kuwa msaada kwa wengine.


Madam Prishaz, I am humbled at forefront just to read your nice words.

Nasema Ameen kwa hizo dua zako njema juu yangu. Kwa imani, Mwenyezi Mungu atatuonesha njia sote na tuwe msaada kwa wengine wenye shida na uhitaji. Maisha ni foleni, naamini sasa zamu yangu yakaribia. Been in a queue since time immemorial, Mola afungue milango sasa.

Ahsante sana mkuu Prishaz. Mungu akutangulie wewe na familia yako. Blessings mingi mingi.

-Kaveli-
 
Wakuu, habari za mchana huu.

Just to share some update:

As I made you aware of the challenge I faced tangu juzi, hatimae nilifanikiwa kuituma kazi husika as per mkuu izzo's directive. I am now therefore waiting to hear from his/their end for further undertakings if God gives it 'green light'.

So nimesha-press ball to mkuu Izzo. I have done my best, God will do the rest.

That's the latest ground so far regarding my case. I will timely keep you posted on any progress.

Up to this stage, I am sincerely thankful to all of you for being ideal and cooperative in this useful discussion. Let's carry-on being supportive to each other. Despite all the life downsides that we are going through, tutatoboa tu. Penye Nia pana njia.

Barikiwa wote ndugu zangu watanganyika. Special thanks be extended to mkuu Izzo for his bright heart... he really sounds willful to brighten our upstairs toward success.

-Kaveli-
Kila lililo jema kwako Kaveli. Amini MUUMBA ni mkuu daima. Shukrani kwako Kaka Izzo.
 
Kiongozi STUNTER, daaah nafurahi to read your lines. I am really humbled!

Kwakweli mie pia nilikuwa under pressure kutoikamilisha hiyo kazi, yaani nafsi ilikuwa inanisukuma nonstop! Pamoja na changamoto nilizonazo, niliweza kuituma kazi na ndipo roho ikacool. Sasa nasubiri Mwenyezi Mungu afanye wepesi. Zangu dua.

Mkuu Stunter, much thanks for your kind words. Barikiwa.

Nakuombea sana when the Hosting episode is On, uwe ni miongoni mwa key task force players.

-Kaveli-
Amen! Ameeen..!
Wacha tusubirie matokeo mema cuz our God is awesome
 
Kuhusu Australia aka OZ ni bonge la chimbo kwa watu ambao wameshawahi fika au wako wanafahamu nisemacho,kiukweli sio wabongo wengi wanapazungumzia hata humu kwenye jukwaa sijaona mijadala ya kuhusu kufanya plan za OZ.

Kiufupi ni kuwa OZ ni moja ya nchi za ulimwengu wa kwanza ambapo wazungu wako 90% yawakaazi wote na wana uchumi mzuri. Kiufupi ukifanikiwa kupata PR na citizenship ya hii nchi bwana unakua umeshawin life sio mchezo.... am talking with experience.

Njia rahisi ya kuweza kupenya OZ ni kwa kupitia student visa (visa 572, 573 etc), tatizo linakuja how to rise $25,000 ili utumie kama mtaji wa kupenya. Wanachotaka wao ni rahisi tu utoe one semester ada kama $9,000 (zinachajiwa kwa module yaani kila somo lina bei yake na foreigner lazima usome module 4 kwa semester). Pia uwe na kama 18,100 kwenye A.C yako kuprove unaweza kuishi mwaka mzima bila kufanya kazi (hapa unaweza hata kuazima kwa mtu akaweka kwa ac yako alafu baada ya kupata mapepa unazirudisha) ndio hata majiran wetu huko Kenya ndio wanafanya. Cha mwisho ni bank statement ya mtu wa karibu (next of kin) ya miezi 3 ambayo inaweza kua na flow of income ya 30m-50m basi.

Kazi zinazolipa kwa sasaivi ni kazi za hospitality (nurses, carers,etc) kuna dada analipwa $56/hr na weekend kuna malipo ya penalties yaani kama unalipwa $20/hr siku za kawaida then jumamosi unalipwa (50% more) $30/hr na jumapili unalipwa (100%) $40/hr
Ukiweza tu we ingia Acacia | Immigration Australia uanze process za kujiripua,

Pia ingia hapo hapo utatakiwa kulipia $135 ili kupata consultation ya nusu saa (inalipa kwani unaambiwa option zote kwa ufasaha kabisa kabisa na unapewa na nafasi ya kuuliza maswali utakavyo) na baada ya maongezi utaprintiwa ile convo yote

Mkuu hii ndoto ya OZ nimekomaa nayo ni zaidi ya miaka 4 mpaka sasa lakini holla!
Nilichokuwa nahitaji nikupata host wa kumtembelea hata kwa muda wa mwezi mmoja tu unanitosha. Mengine ningejiongeza huko huko.
Uzoefu wangu mimi ni Mining, Esp. Drilling (Diamond Drilling) nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10. Training zao za kupata LICENSE zao mpaka ukiwa oz kwenyewe. Ila kibongo bongo ukiwa na magamba ya kwao huku bongo kupata kibarua kwa urahisi ni kufikia ukizingatia kuwa mpini wa Mining wameshikilia wao.
 
Ubaloz wa italy bongo upo Oster bay. Panda gari za posta---- mwenge / m/nyamala shuka kituo kinaitwa palm beach uliza hapo
Palm.beach sio Oysterbay. Ubalozi uko upanga nyuma ya Palm.Beach Hotel hatua chache toka ubalozi wa Burundi
 
Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji. Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya,

Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.

Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda.
Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu,
Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao

HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
Kweriiiiiiiiiii
 
Mkuu Dr.adams faida, shukrani kwa kunitakia heri katika hilo.

Kwakweli naamini kabisa uzi huu ni very inspiring kwa walio wengi.

I strongly believe uzi huu utawa-impact positively wadau wengi humu.

Tuzidi kuhabarishana ndugu zangu. Pia nakutakia kila jema ktk mchakato huu... We are all like-minded: kusepa ng'ambo, now or in near future.

-Kaveli-
Yaani mkuu kaveli nafurahi sana kusikia umefanikiwa kutimiza project uliyokuwa umepewa maana last time tukiwa tunachangia hapa kuhusu option namba mbili ya hosting wageni ulipata fursa ya kuandika hii makala inayohusu mambo ya hali ya kiuchum na kuondokana na changamoto ..sasa Jana nikiwa nasubiria mrejaa kutoka kwako nikaona kimya then baada ya muda nikaona mkuu Izzo anakuulizia. Sema kweli sikupenda wala sikutaka kuamini utaikosa hii nafasi mkuu kaveli ila Mungu ni mkuu Leo nimepitia kurasa za huu Uzi nikiwa very eagerly to know what's happening huku nafsi ikiniambia atakuwa ametokea na shukrani nikaona post yako ukielezea mambo yaliyokutokea na mwishowe umefanikiwa......Sasa mkuu Kavel dua zetu zipo na wewe.....tunaimani utapata nafasi .

Cc Mkuu Izzo dua zetu zipo na kwako pia Mungu akujalie wepesi na akutangulie kwa kila hatua ili kwa Watanganyika na sisi tuweze kutoka huku
 
Please tell me where is a good place in SA to raise children's?although I prefer Johannesburg,but I'm not sure if it is safety?I know at least Cape town and Port Elizabeth is good place for foreigners,but need to stay Johannesburg because it is a business city and I would like to make some business there ili kusukuma maisha.Some one say that there are good place in Gauteng,especially Sandton,Morningside na kwingineko.But it is expensive to get apartment ingawa no problem to me.Jee kama unakaa maeneo hayo and watoto wanasoma let say Kwazulu Natal jee Kuna shida ya usalama?I know mtu anaweza kuuliza why SA?Ni kwamba it is cheaper country to live in.Ikiwa wafungwa wao mboga inayo wakera ni kuku unategemea nini???Kuna jamaa anaitwa Kinega aliendaga akiwa hajui Ata kuendesha mkokoteni,but jamaa mpaka akaweza kuendesha BMW na akawa anaingia mpaka kwenye show za Snopy na Jay Z,wakati Mie sijawahi Ata kuingia kwenye show ya Kingwendu bhana!
Yani Kinega mpaka akamla mtoto WA kamanda "San-Siro" WA Johannesburg bhana,no I'm going to SA.
Nipeni mwongozo,maana europe wanabana sana now days.
Plz fungukeni.
Unamzungumzia kinega yupi mkuu hebu tupe historia yake ya maisha mpaka kufanikiwa?
 
Tatizo letu wabongo hatusaidiani,kuna jamaa tulikua nao Australia walikua kila mwezi wanamchangia mwenza kuruka mtoni,na niliiona sana kwa wagana na wanaijeria.Ila kuna mbongo yupo australia siku moja namuulizia inshu anajifanya anijui wakati tulikua tunalala wote geto....nyambafu zake ipo day.
wapo wengi wa hivyo... ila siku yao inakuja ya kuinama na kutazama chini...
 
Back
Top Bottom