Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu cognition , you are kind hearted. Nimeguswa sana na comment yako ndugu. Ahsante sana kwa kutupia neno lako lenye upendo na kujali. Tupo pamoja kiongozi. Naamini hizi changamoto za kimaisha ni mapito tu!

Kwakweli siku nitapotia mguu darasani kuanza kusoma Bachelor degree, nitachukua moment of silence ya kama dakika 3 hivi kupiga goti chini kumshukuru Mola. I have come from far away, the hard way!

-Kaveli-
Pole sana I wish I could be among of people to help you.
Umeniliza mkuu umeandika kwa hisia sana
Nakuombea ufanikiwe in Jesus name.
 
Wakuu,

Wachangiaji wote wa uzi huu, binafsi nazidi kujifunza siku hadi siku. Naona kaisa bado kuna Watanzania (Watanganyika kwa mwandiko wa izzo) wana moyo, nia na mapenzi ya dhati katika kuhakikisha mafanikio ya wenzao. Nashauri wakuu ndani ya JamiiForums wauwekee "sticky" huu uzi ili iwe rahisi kufikika na kutambulika na wadau wengi zaidi na zaidi.

Vilevile, kwa wale mlio-share uzoefu wenu kuhusu ughaibuni, nawashukuru sana, kuna wakati nikisoma baadhi ya maoni nakumbuka mbali sana. Msiache jamani, hizo nondo ni muhimu mno.

Kaka ...
 
Safi sana moyo wa kipekee jmn kiukweli kuishi nje maisha tofauti na bongo opportunity nyingi uwe tu mjanja mi nimeishi bara la asia miaka 3 ila for now am looking forward kwenda kujilipua nchi zenye maendeleo makubwa
Tuunganishe basi njia za kufika huko.kila mtu anatamani kufika kama si kupitia njia ya masomo basi kazi ,km si kwa njia kazi basi mwaliko kutoka kwa watu km nyinyi wenye uelewa na mioyo ya kusaidia watanzania wenzenu.
Kiukweli I wish hata kesho nipate scholarship au mwaliko wa kuondoka Bongoland life gumu unafanya kazi lakini bado havisomeki.
 
Pole kavel nilikuwa nimeanza kukusikitikia kwamba umeonesha nia sana then mwishoni upotee....pls ukiwa nina shida ndogo ndogo kama hizo unatucheki wadau! Next time ukihitaji pc na internet sema wadau tukusaidie! Hongera kwa kufanikisha
Exactly mkuu, tusioneane aibu kwa vitu ambavyo sisi kwa sisi tunaweza kusaidiana. Ila labda kwasababu huwezi kujua location ya mtu kwa hapa.
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality


Mkuu, am in
Uwezo wa kuwahost ni asilimia 100, just check with me any time
 
Hv unajua kwa nini kila kiniweka hapa project mpya au chapisho la maana nawatag watu? coz nataka hata wale ambao wameonyesha mwitikio na hizi project wapate update kwa kila kipya tunachoweka hapa na kila mtu kushiriki katika safari hii ya maendeleo si matumaini kwani nataka watu waende kwa kujidai si kujificha unapoona gari la police kwani kama utakuwa unajificha ukiona gari la Police basi utatumia masaa 10 kati ya 12 kujificha tu coz huku gari za Police kupita mitaani ni kama vile unavyoona magari ya mwendo kasi ukiwa kkoo


Siku zte inapendeza na kufurahisha kama project inatoka kwenye makaratasi na kuwa kitu cha kuonekana na kushikika si kupiga story tu mwisho wa siku hakuna chochote cha maana kwani muda ni rasilimali ambayo ukiipoteza huwezi kuipata tena mpaka unakufa so siwezi na sipo tayali kuwa napoteza muda hapa na pia kuhusu wageni kwanza nataka mwezi wa 4 yeyote mwenye kutaka mgeni lazima tutoke kwenye kujificha nyuma ya keybold na keypad mm nitaka namba zenu za simu tu mengine niachieni mm kwani usalama wa wageni ni
First Priority so naitaji kuwajua vizuri host pia yule main host kwani lazima kuwe na main host ambae kazi yake ni kuwasambaza kwa hawa host
tutaanza na wageni 22 kutoka Malta,Canada na USA

Pia wale mabingwa wa kuandika projects kwani si kila mtu anapenda kwenda Ulaya au nje wajiandae lakini lazima taasisi yako au yenu imepata usajiri wa serikali na cheti kipo nitakachofanya ni kukuonganisha na taasisi ya nje bhasi unaendelea mwenyewe no kuwasiliana no PM

STUNTER

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike

mkuu nakufatilia vizuri sana
Hujui tu Mungu atakubariki kwa kazi kubwa unaifanya. in this information age, the kind of information youprovide for us, no one can do that, information is for sale. GOD BLESS YOU

i am in kwa kuhost hao wageni
nina Masters ya project, so uandishi wa project na proposal hapa ndio nyumbani, so count on me.

Hivi ubalozi wa Italy hapa Dar upo wapi?
 
Ni tabia ya waTanzania wengi kujaribu kukimbia nchi yao iliyo tulivu sana.nijuacho mimi unaweza ukaishi hapa hapa bongo kama uko ulaya,inategemea tu na ubongo wako kama unafanya kazi vizuri na bidii ya hali ya juu.tatizo watu wametawaliwa na uoga wa kuthubutu mambo mengi halali hapa hapa ndani ya nchi na udhaifu wa kuona aibu kwa baadhi ya kazi zinazoweza kuwatoa,mwenye anataka kwend a ulaya na aende salama ila uwe unaomba uzima tu tuwe hai alafu namkaribisha kila anaetamani kwenda nje aje sasa hivi aone ninavyopambana na nilichonacho.then aende zake na akakae huko mpaka atakapochoka na siku akirudi anitafute tena tukae mezani anionyeshe alichofanya na mimi nimuonyeshe nilichofanya...kisha tukimbie tukachungulie account yake na yangu alafu hapo tutapata jibu la ulaya na hapa africa TZ
Over

MKUU
sijafika ulaya, lakini Tanzania kuna changamoto nyingi sana za kiuchumi. fulsa zipo lakini inaweza kukuchukua mpaka miaka kumi adi kumi na tano kufikia mafanikio ya ndoto zako. napo kwa mbinde pamoja na kua na connections za kutosha selikalini. ninachoamini ukienda ulaya unakua na malengo, unawekeza tz. kuna watu nawazi elimu mbali sana, walienda ulaya miaka mingi, kiuchumi siwagusi hata kwa chembe, hizi odd jobs, tz hazilipi, utazeeka jumla, ulaya odds jobs ndio mtaji
 
Kamwe usije kuthubutu kusafiri nje ya nchi kama wewe mwenyewe hauna nia, usishawishiwe na watu, kuna wengine mawazo yao hayapo nchini kabisa wanawaza mbele tu, ni vizuri ukafuata moyo wako, kila mtu anaweza kusafiri nchi yeyote anayoitaka na kuishi huko, kitu ambacho unatakiwa usikisahau kokote huendapo ni Mungu tu, ukijisikia kusafiri nenda, wacha kusikiliza maneno ya watu
 
Please tell me where is a good place in SA to raise children's?although I prefer Johannesburg,but I'm not sure if it is safety?I know at least Cape town and Port Elizabeth is good place for foreigners,but need to stay Johannesburg because it is a business city and I would like to make some business there ili kusukuma maisha.Some one say that there are good place in Gauteng,especially Sandton,Morningside na kwingineko.But it is expensive to get apartment ingawa no problem to me.Jee kama unakaa maeneo hayo and watoto wanasoma let say Kwazulu Natal jee Kuna shida ya usalama?I know mtu anaweza kuuliza why SA?Ni kwamba it is cheaper country to live in.Ikiwa wafungwa wao mboga inayo wakera ni kuku unategemea nini???Kuna jamaa anaitwa Kinega aliendaga akiwa hajui Ata kuendesha mkokoteni,but jamaa mpaka akaweza kuendesha BMW na akawa anaingia mpaka kwenye show za Snopy na Jay Z,wakati Mie sijawahi Ata kuingia kwenye show ya Kingwendu bhana!
Yani Kinega mpaka akamla mtoto WA kamanda "San-Siro" WA Johannesburg bhana,no I'm going to SA.
Nipeni mwongozo,maana europe wanabana sana now days.
Plz fungukeni.
 
mkuu nakufatilia vizuri sana
Hujui tu Mungu atakubariki kwa kazi kubwa unaifanya. in this information age, the kind of information youprovide for us, no one can do that, information is for sale. GOD BLESS YOU

i am in kwa kuhost hao wageni
nina Masters ya project, so uandishi wa project na proposal hapa ndio nyumbani, so count on me.

Hivi ubalozi wa Italy hapa Dar upo wapi?
Ubaloz wa italy bongo upo Oster bay. Panda gari za posta---- mwenge / m/nyamala shuka kituo kinaitwa palm beach uliza hapo
 
MAXCENCE MELLO/INVISIBLE

NGOJA NIKURAHISISHIE KAZI KUHUSU JUKWAA LA DIASPORA (WENGINE MNAWEZA KUMTUMIA PM NA HII POST ILI ATUWEKEE SUBFORUM YETU)


Ndani yake kutakuwa na subforums 3 hivi

1. LIVING/MOVING ABROAD (sasa hiumu ndio kila mtu ataangalia wapi anaishi au anataka kwenda kujilipua etc then ataanzisha thread yake) at later stage tutakuwa na sticky ili maswali yasijirudie rudie

AUSTRALIA & NEW ZELAND

CANADA

EUROPE

FAR EAST & ASIA

MIDDLE EAST

USA

LATIN AMERICA

2. WORKING ABROAD
Hii itakuwa ni self explanatory na kutakuwa na sticky threads mbali mbali za profession hivyo hakutokuwa na haja ya kuchanganya maswali ya kazi sticky zitakuwepo za kazi za Accountants, Electricians, Information Technology, Nurses, Doctors, and other Medical/Healthcare occupations, Plumbers, Police, Teaching, Trucking Electrician

Pia kutakuwa na threads za Job offers

na thread maalum kwa watafutaji kazi yaani jobs wanted

3. THE LOUNGE GENERAL DISCUSSIONS
Hapa kutakuwa na threads za kinachoendelea ulipo kuanzia issue za kuoa ili kupata makaratasi, kesi za kuacha mke, kuficha pesa,meet up, connections za wana diaspora na bila kusahau kutakuwa na special thread ya KURUDI NYUMBANI NA CHALLENGES, diaspora wanauza bidhaa zao, nk
 
Wakuu, habari za mchana huu.

Just to share some update:

As I made you aware of the challenge I faced tangu juzi, hatimae nilifanikiwa kuituma kazi husika as per mkuu izzo's directive. I am now therefore waiting to hear from his/their end for further undertakings if God gives it 'green light'.

So nimesha-press ball to mkuu Izzo. I have done my best, God will do the rest.

That's the latest ground so far regarding my case. I will timely keep you posted on any progress.

Up to this stage, I am sincerely thankful to all of you for being ideal and cooperative in this useful discussion. Let's carry-on being supportive to each other. Despite all the life downsides that we are going through, tutatoboa tu. Penye Nia pana njia.

Barikiwa wote ndugu zangu watanganyika. Special thanks be extended to mkuu Izzo for his bright heart... he really sounds willful to brighten our upstairs toward success.

-Kaveli-
 
Nautabiria huu uzi kuja kufika mwezi wa tano utakuwa na page 1000.
Nachofurahia kila leo wadau wanaleta vitu vizuri hii inaonesha jinsi gai tumezamilia japo kila mmoja anachangamoto zake naamini kila mmoja atakuwa na nafasi yake na muda wake kwa sasa Kaveli ameanza kupata sapoti hivyo tumuuombee afanikishe maana kufanikisha kwake ni kufanikisha kwetu sote.
Kila lakheri mkuu....


Mkuu Dr.adams faida, shukrani kwa kunitakia heri katika hilo.

Kwakweli naamini kabisa uzi huu ni very inspiring kwa walio wengi.

I strongly believe uzi huu utawa-impact positively wadau wengi humu.

Tuzidi kuhabarishana ndugu zangu. Pia nakutakia kila jema ktk mchakato huu... We are all like-minded: kusepa ng'ambo, now or in near future.

-Kaveli-
 
Wakuu, habari za mchana huu.

Just to share some update:

As I made you aware of the challenge I faced tangu juzi, hatimae nilifanikiwa kuituma kazi husika as per mkuu izzo's directive. I am now therefore waiting to hear from his/their end for further undertakings if God gives it 'green light'.

So nimesha-press ball to mkuu Izzo. I have done my best, God will do the rest.

That's the latest ground so far regarding my case. I will timely keep you posted on any progress.

Up to this stage, I am sincerely thankful to all of you for being ideal and cooperative in this useful discussion. Let's carry-on being supportive to each other. Despite all the life downsides that we are going through, tutatoboa tu. Penye Nia pana njia.

Barikiwa wote ndugu zangu watanganyika. Special thanks be extended to mkuu Izzo for his bright heart... he really sounds willful to brighten our upstairs toward success.

-Kaveli-
All da best mkuu. Mungu abariki juhudi zako na za wanajukwaa wote, izzo na lussungo kwa harakati hizi.
 
God bless him,
Nimefurahi sana kuona Kaveli amekamilisha,
manake alivyokuwa anachelewa na izzo analalamika basi roho ilikuwa inanidunda kwa kuhofia kuipoteza nafasi,
Mungu mkubwa amekamilisha,
and now nina amani


Kiongozi STUNTER, daaah nafurahi to read your lines. I am really humbled!

Kwakweli mie pia nilikuwa under pressure kutoikamilisha hiyo kazi, yaani nafsi ilikuwa inanisukuma nonstop! Pamoja na changamoto nilizonazo, niliweza kuituma kazi na ndipo roho ikacool. Sasa nasubiri Mwenyezi Mungu afanye wepesi. Zangu dua.

Mkuu Stunter, much thanks for your kind words. Barikiwa.

Nakuombea sana when the Hosting episode is On, uwe ni miongoni mwa key task force players.

-Kaveli-
 
Nitakuwa mpumbavu kama nitafanya hvyo bt kumuulizia mtu si kitu kibaya mm mambo ya PM nilishakataa so namuulizia hapa jukwaani

Pia unatakiwa kujua muda ni rasilimali muhimu sana je unajuaje kama siku niliyomwambia kulikuwa bado wiki au situ 3 wafunge maombi ya kuomba ufadhili ?
Pamoja mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Back
Top Bottom