Ndugu naomba tuwekee site ya kusaka wachuchu tujalibu bahatiMkuu kwanini hizo nguvu usielekeze huko moja kwa moja? Kuna site ya kusaka wapenzi DK nitaiweka hapajaribu bahati yenu...
Pole sana I wish I could be among of people to help you.Mkuu cognition , you are kind hearted. Nimeguswa sana na comment yako ndugu. Ahsante sana kwa kutupia neno lako lenye upendo na kujali. Tupo pamoja kiongozi. Naamini hizi changamoto za kimaisha ni mapito tu!
Kwakweli siku nitapotia mguu darasani kuanza kusoma Bachelor degree, nitachukua moment of silence ya kama dakika 3 hivi kupiga goti chini kumshukuru Mola. I have come from far away, the hard way!
-Kaveli-
Tuunganishe basi njia za kufika huko.kila mtu anatamani kufika kama si kupitia njia ya masomo basi kazi ,km si kwa njia kazi basi mwaliko kutoka kwa watu km nyinyi wenye uelewa na mioyo ya kusaidia watanzania wenzenu.Safi sana moyo wa kipekee jmn kiukweli kuishi nje maisha tofauti na bongo opportunity nyingi uwe tu mjanja mi nimeishi bara la asia miaka 3 ila for now am looking forward kwenda kujilipua nchi zenye maendeleo makubwa
Exactly mkuu, tusioneane aibu kwa vitu ambavyo sisi kwa sisi tunaweza kusaidiana. Ila labda kwasababu huwezi kujua location ya mtu kwa hapa.Pole kavel nilikuwa nimeanza kukusikitikia kwamba umeonesha nia sana then mwishoni upotee....pls ukiwa nina shida ndogo ndogo kama hizo unatucheki wadau! Next time ukihitaji pc na internet sema wadau tukusaidie! Hongera kwa kufanikisha
Kaveli, nimefurahi mkuu. Ni maombi yangu kuwa Mungu aliyekufungulia Mlango azidi kukufanikisha nawe uje kuwa msaada kwa wengine.Mkuu izzo, tayari nimekamilisha usiku huu. I faced challenge ya kupata compyuta ya kuandikia. Tayari nimeshaandika.
-Kaveli-
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha
1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu
2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa
Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa
Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo
Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Hv unajua kwa nini kila kiniweka hapa project mpya au chapisho la maana nawatag watu? coz nataka hata wale ambao wameonyesha mwitikio na hizi project wapate update kwa kila kipya tunachoweka hapa na kila mtu kushiriki katika safari hii ya maendeleo si matumaini kwani nataka watu waende kwa kujidai si kujificha unapoona gari la police kwani kama utakuwa unajificha ukiona gari la Police basi utatumia masaa 10 kati ya 12 kujificha tu coz huku gari za Police kupita mitaani ni kama vile unavyoona magari ya mwendo kasi ukiwa kkoo
Siku zte inapendeza na kufurahisha kama project inatoka kwenye makaratasi na kuwa kitu cha kuonekana na kushikika si kupiga story tu mwisho wa siku hakuna chochote cha maana kwani muda ni rasilimali ambayo ukiipoteza huwezi kuipata tena mpaka unakufa so siwezi na sipo tayali kuwa napoteza muda hapa na pia kuhusu wageni kwanza nataka mwezi wa 4 yeyote mwenye kutaka mgeni lazima tutoke kwenye kujificha nyuma ya keybold na keypad mm nitaka namba zenu za simu tu mengine niachieni mm kwani usalama wa wageni ni
First Priority so naitaji kuwajua vizuri host pia yule main host kwani lazima kuwe na main host ambae kazi yake ni kuwasambaza kwa hawa host
tutaanza na wageni 22 kutoka Malta,Canada na USA
Pia wale mabingwa wa kuandika projects kwani si kila mtu anapenda kwenda Ulaya au nje wajiandae lakini lazima taasisi yako au yenu imepata usajiri wa serikali na cheti kipo nitakachofanya ni kukuonganisha na taasisi ya nje bhasi unaendelea mwenyewe no kuwasiliana no PM
STUNTER
kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Ni tabia ya waTanzania wengi kujaribu kukimbia nchi yao iliyo tulivu sana.nijuacho mimi unaweza ukaishi hapa hapa bongo kama uko ulaya,inategemea tu na ubongo wako kama unafanya kazi vizuri na bidii ya hali ya juu.tatizo watu wametawaliwa na uoga wa kuthubutu mambo mengi halali hapa hapa ndani ya nchi na udhaifu wa kuona aibu kwa baadhi ya kazi zinazoweza kuwatoa,mwenye anataka kwend a ulaya na aende salama ila uwe unaomba uzima tu tuwe hai alafu namkaribisha kila anaetamani kwenda nje aje sasa hivi aone ninavyopambana na nilichonacho.then aende zake na akakae huko mpaka atakapochoka na siku akirudi anitafute tena tukae mezani anionyeshe alichofanya na mimi nimuonyeshe nilichofanya...kisha tukimbie tukachungulie account yake na yangu alafu hapo tutapata jibu la ulaya na hapa africa TZ
Over
Ubaloz wa italy bongo upo Oster bay. Panda gari za posta---- mwenge / m/nyamala shuka kituo kinaitwa palm beach uliza hapomkuu nakufatilia vizuri sana
Hujui tu Mungu atakubariki kwa kazi kubwa unaifanya. in this information age, the kind of information youprovide for us, no one can do that, information is for sale. GOD BLESS YOU
i am in kwa kuhost hao wageni
nina Masters ya project, so uandishi wa project na proposal hapa ndio nyumbani, so count on me.
Hivi ubalozi wa Italy hapa Dar upo wapi?
Nautabiria huu uzi kuja kufika mwezi wa tano utakuwa na page 1000.
Nachofurahia kila leo wadau wanaleta vitu vizuri hii inaonesha jinsi gai tumezamilia japo kila mmoja anachangamoto zake naamini kila mmoja atakuwa na nafasi yake na muda wake kwa sasa Kaveli ameanza kupata sapoti hivyo tumuuombee afanikishe maana kufanikisha kwake ni kufanikisha kwetu sote.
Kila lakheri mkuu....
All da best mkuu. Mungu abariki juhudi zako na za wanajukwaa wote, izzo na lussungo kwa harakati hizi.Wakuu, habari za mchana huu.
Just to share some update:
As I made you aware of the challenge I faced tangu juzi, hatimae nilifanikiwa kuituma kazi husika as per mkuu izzo's directive. I am now therefore waiting to hear from his/their end for further undertakings if God gives it 'green light'.
So nimesha-press ball to mkuu Izzo. I have done my best, God will do the rest.
That's the latest ground so far regarding my case. I will timely keep you posted on any progress.
Up to this stage, I am sincerely thankful to all of you for being ideal and cooperative in this useful discussion. Let's carry-on being supportive to each other. Despite all the life downsides that we are going through, tutatoboa tu. Penye Nia pana njia.
Barikiwa wote ndugu zangu watanganyika. Special thanks be extended to mkuu Izzo for his bright heart... he really sounds willful to brighten our upstairs toward success.
-Kaveli-
Pamoja mkuu.Nitakuwa mpumbavu kama nitafanya hvyo bt kumuulizia mtu si kitu kibaya mm mambo ya PM nilishakataa so namuulizia hapa jukwaani
Pia unatakiwa kujua muda ni rasilimali muhimu sana je unajuaje kama siku niliyomwambia kulikuwa bado wiki au situ 3 wafunge maombi ya kuomba ufadhili ?