Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Heshima kwako izzo. Nakupa hongera kwa huo moyo na pia kwa kuonyesha amani yako iliko. Wale ambao watabahatika kuwapokea hao wageni mnatakiwa kuwa makini sana. Anachokisema izzo kinamaana kwa upande Wale na wetu. Kumpokea mgeni ni tofauti na kumpokea nduguyo. Tuko hapa kwa kujenga na si kubomoa. Wao wanadhamini sana usalama wao kuliko kitu kingine. Ni vizuri ukaelewa mazingira yako yalivyo, hali ya usalama kila mmoja anaelewa enero lake lilivyo. Hakikisha unaomuda mzuri wa kuwa karibu na mgeni wako la sivyo usijeukashangaa amekaa wiki akaomba aende kwa mtu mwingine. Chunga sana marafiki pamoja na jamaa zako kwani wanaweza kuwa chachu au sumu katika mafanikio yako. Anza kujifunza maisha ambayo hayataweza kujitofautisha sana na jamii yako pindi utakapopokea mgeni kwani yataweza kuanza manejo kuwa umebadilika baada ya kupokea mgeni na hivyo chuki na fitna zikawa juu yako. Watanganyika tujifunze kusoma mambo ya saikolojia kidogo ili kujua mapema kama kuna kwazo kwa mgeni kwani anaweza asikwambie moja kwa moja ila wakawa wanawasiliana wao kwa wao na hivyo italeta picha mbaya baina ya mahost. Ni vizuri wale host wote wakajua nini hasa wanachohitaji kutoka kwa hao wageni na wakaanza kujifunza mambo madogo madogo. Wazungu wachache watakwambia umekosea ila wengi wana fake smile akirudi kwao ndiyo madudu yote anayaandika. Handling, care, security, humanity. Wewe uko badala ya izzo hivyo usitake kumfanya izzo apate picha mbaya. Hata kama kuna kasoro unayoiona kwa mgeni mwelekeze vizuri maana kila mmoja amekulia katika mstari tofauti na malezi tofauti. Ukikorofishana na mgeni taffaadhali naomba usiseme ngoja nifanye hivi ili na wengine waharibikiwe. Huwezi jua huyo mwingine atakuja kukunyanyua vipi. Wote tu wamoja na lengo ni kubadili mfumo wetu wa maisha.

C. C wale wote wenye imani na wenye mapenzi mema kwa wanajamii
 
Ni kweli mkuu izzo, nimecheki email muda huu nimekuta link ambayo inanipeleka kwenye website, nimesha-sign up na tayari kuanza kujaza Application Form.

Leo naanza kuijaza. Inanibidi niikamilishe ASAP coz deadline ya ku-submit the application ni 1 April. So only 10 days to go.

Ahsante Izzo.

-Kaveli-
Mkono wa Muumba uwe juu yako. Utafanikiwa ndugu hiyo ndiyo imani yangu kwako
 
Wapendwa, salaam. Naomba mtu yeyote anayeweza kunisaidia kupata scholarship kwenye nchi hizi, DK, Sweden, Australia, Belgium, Germany, USA, ajitojeze uchakavu upo akifanikisha hilo. Nshachoka na hadithi zenu za kina bashite.
acha kukurupuka. Anza kusoma nada kuanzia mwanzo utaelewa. Unasema umechoka na stori zetu za bashite kwani umeona anajadiliwa mtu hapa? Kuwa na busara. Wengine wanapitia uzi mzima ndiyo wanajielezea shida zao kistaarabu
 
Mkuu unayosema ni 100% Accuracy na wenyewe wanajua waafrica tulivyo na ndo maana wamenipa mtihani mgumu sana wa kuwajibika kwa litakalo tokea yani hapa kichwa kinapata moto tu

Changamoto ni usalama wa watoto wao tu kwani ingekuwa ni taasisi kwamba wote wanafikia kwa mtu mmoja au wanafikia hostel na wanatembezwa pamoja sawa lakni hii ya mtu umekutana nae online tena kwa fake id duh tuombe Mungu tu tufanikiwe kwani nia yetu ni njema mbele ya Mungu


Izzo naimani Mungu atakuonyesha sehemu sahihi. Sintapenda kusukia kuwa umepata matatizo. Najua wengine wanataka kuwa host bila kujichanganua kwamba wapo tayari au la. Wengine baada ya kusoma huku ndiyo kama vichwa vimefunguka. Jamani kuwa host yahitaji utayari. Tuwe makini
 
Ndugu zangu Watanganyika ni muhimu kama huna degree coz kupata White - collar job kwanza ni ngumu kama bado ujapata PR so unaweza kuanza na kazi ndogo ndogo lakini zinalipa vizuri (pay is good) jifunzeni Construction Work , QS's, Carpenter, Painter, Plumber trust me hz kazi zipo nying sana na malipo ni mazuri sana

Kingine kuna hii kitu ambao wengi hawajui lakni ni bonge la dili inaitwa Occupational safety and health ni bonge la dili kwani unafanya kazi sehemu yeyote na kazi huwezi kukosa
Nitakuja kuwapa ujanja wa kusoma hii course online na chuo ambacho kipo chini ya U.S. Department of Labor (DOL) na kama ukimaliza hapo unasoma PROFESSIONAL TRAINING PROGRAMS ukitoka hapo course ni miezi 6 mpaka mwaka ukitoka hapo unapata kazi sehemu yeyote duniani kuanzia kwenye makampuni makubwa , viwanda,taasisi na kwenye sector ya mafuta na gesi watu wengi naona wanakwenda kusoma vitu ambayo watu wengi wanasoma siku ikitokea wametangaza ajira interview inafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi mlivyo wengi tatizo tumefungwa ufahamu tumeshindwa kutumia milango sita ya ufahamu nyinyi mnafundishwa kuna milango 5 wenzenu wanafundiswa ni milango sita mpaka 9

Mpaka sasa hv chuo hiki kuna watu laki 3 ndio wamesoma hapa sasa jiulize duniani kuna makampuni mangapi,kuna viwanda vikubwa vingapi kuna nchi ngapi wanachimba gesi na mafuta hakuna kampuni yeyote utakayopeleka cheti cha chuo hiki ukakosa kazi duniani kwani wanafunzi wake wote wapo kwenye data base anachofanya ni kuingia kwenye data base na kuingiza namba zako tu anaona kila kitu so huwezi kufake hata kidogo

Taasisi hii ndio inasimamia maswala ya Safety na Health duniani makampuni na mashirika yote makubwa yanasimamiwa na taasisi hii ambayo iko chini ya U.S. Department of Labor (DOL)

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Asante kaka, tuko pamoja
 
acha kukurupuka. Anza kusoma nada kuanzia mwanzo utaelewa. Unasema umechoka na stori zetu za bashite kwani umeona anajadiliwa mtu hapa? Kuwa na busara. Wengine wanapitia uzi mzima ndiyo wanajielezea shida zao kistaarabu
Asante sana Mkuu Marveljt. Wengi hufikiri kila mahali ni mizaha.
 
Kiukweli hapa no zaidi ya umakini napia cyo fom tuu ya maelezo iwe nisehemu ya sheria na usalama zaidi kwa mgeni kwa yeyote atakae mpokea kwani akiharibu huyu mwenyeji ni mpaka ninyi huko mnapakwa matope kwa kosa la huyu wa huku hivyo hili jambo lichukuliwe kwa umakini wa hali ya juu ukizingatia bado safari ni ndefu na huu ndio mwanzo tuu mmeanza hivyo ni vyema kuwe na umakini wa hali ya juu na sifa za kijinga zisiwepo watu wawe siriouz katika hili maana haya ni maisha ya watu.
 
Izzo naimani Mungu atakuonyesha sehemu sahihi. Sintapenda kusukia kuwa umepata matatizo. Najua wengine wanataka kuwa host bila kujichanganua kwamba wapo tayari au la. Wengine baada ya kusoma huku ndiyo kama vichwa vimefunguka. Jamani kuwa host yahitaji utayari. Tuwe makini
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu


Vigezo /masharti mengine kaka!
 
Mkuu tupe full story, hasa sisi vijana ambao tunataka kujilipua kwenda nje ya nchi inatakiwa tujifunze mengi sana kutoka kwenu.
kwanza ni lazima ujue kua wazungu wanapigania furaha kuliko pesa na ndio maana akimpata mwanaume asie na pesa kama atamfurahisha hataweza mfananisha na mwenye pesa ambae hayupo nae

Pia unapoanza kumtumia ujumbe wa maandishi usimtumie ujumbe wa "Hi" hi haivutii sana na haitampa hamasa ya kukujibu ujumbe wako kwa wakati au anaweza asijibu kabisa kwasababu wengi wanaomtumia au wengi hutumia ujumbe huo usio na mvuto au anaweza akaupuuza ila unachotakiwa kutuma ni "Hello" kabla hajajibu mtumie ujumbe wa kumsifia kidgo kama "You look so beautiful/ attractive/ stunning na so cool" kwa kumsifia hivyo kidgo kutampa hamasa ya yeye kutaka kukujua zaidi anaweza akajibu ujumbe wako wa bashasha akitegemea anatumiana ujumbe na mtu atakae mfurahisha na kumpa tabasamu muda wote

vitu vya kwanza ambavyo utatakiwa kujua na hata yeye atapenda kujua ni hali ya hewa au unamuuliza " what time is it there" huu ujumbe nilazima atajibu au "what are you doing for living" vitu anavyopenda lakini haina ulazima wa kujua vitu anavyochukia

mkishazoeana MPE ratiba yako ya kirasiku kwamba kama unafanya kazi basi ajue majira ya Tanzania na wewe uyajue majira ya kwao kwamba muda unaoenda kazini ajue kua upo kazini na muda utakaokua home ajue upo home na kama hauna kazi mwambie kua sina kazi hatakukimbia
usiweke papara ya kutaka kumtongoza kwa siku ya kwanza na kama atakwambia ana mchumba tulia endelea kuchati nae isla kwa mambo ya kawaida things change baadae utashangaa anakupenda na kuhitaji kua na wewe pia kua mtu wa kumshauri mambo mazuri


Do not go with the long face just play it cool
 
kwanza ni lazima ujue kua wazungu wanapigania furaha kuliko pesa na ndio maana akimpata mwanaume asie na pesa kama atamfurahisha hataweza mfananisha na mwenye pesa ambae hayupo nae

Pia unapoanza kumtumia ujumbe wa maandishi usimtumie ujumbe wa "Hi" hi haivutii sana na haitampa hamasa ya kukujibu ujumbe wako kwa wakati au anaweza asijibu kabisa kwasababu wengi wanaomtumia au wengi hutumia ujumbe huo usio na mvuto au anaweza akaupuuza ila unachotakiwa kutuma ni "Hello" kabla hajajibu mtumie ujumbe wa kumsifia kidgo kama "You look so beautiful/ attractive/ stunning na so cool" kwa kumsifia hivyo kidgo kutampa hamasa ya yeye kutaka kukujua zaidi anaweza akajibu ujumbe wako wa bashasha akitegemea anatumiana ujumbe na mtu atakae mfurahisha na kumpa tabasamu muda wote

vitu vya kwanza ambavyo utatakiwa kujua na hata yeye atapenda kujua ni hali ya hewa au unamuuliza " what time is it there" huu ujumbe nilazima atajibu au "what are you doing for living" vitu anavyopenda lakini haina ulazima wa kujua vitu anavyochukia

mkishazoeana MPE ratiba yako ya kirasiku kwamba kama unafanya kazi basi ajue majira ya Tanzania na wewe uyajue majira ya kwao kwamba muda unaoenda kazini ajue kua upo kazini na muda utakaokua home ajue upo home na kama hauna kazi mwambie kua sina kazi hatakukimbia
usiweke papara ya kutaka kumtongoza kwa siku ya kwanza na kama atakwambia ana mchumba tulia endelea kuchati nae isla kwa mambo ya kawaida things change baadae utashangaa anakupenda na kuhitaji kua na wewe pia kua mtu wa kumshauri mambo mazuri


Do not go with the long face just play it cool
Naona darsa linaendelea.
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Asante sana. Tunaruhusiwa hata kuwashirikisha marafiki juu ya hili mkuu Izzo?
 
Back
Top Bottom