Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Kwenda sehemu kwa mihemuko haifai mkuu, lazima ujipange uangalie unaenda kufanya nn na ww kama utapamudu huko
Tulisha pambana Sana hapa Juz Tu nilikuwa na kanpun moja IV mjn apa nimeachishwa nssf nayo haijulikani Ni muda gn under carpet mwaka mama then unasema mihemuko !!!
 
Fact mkuu chillah , ila nadhani polepole tutafika mahali itaisha.
Nina testimony.
Nilikutana na Nigerian(lady ) lilongwe kaibiwa dollars pamoja na iPhone yake. Hapo anatakiwa alipe transit visa ya boda ya Mozambique plus visa ya SA plus nauli ya kufika Joz na mfukoni hana kitu. Ikabidi tuanze kuwacheki Nigerians. Babati nzuri tukapata duka moja la mtz akatuelekeza duka la Nigerian, yule sister akamuelezea jamaa ikabidi jamaa awapigie wenzake pale town wakaanza kuchanga pesa ikapatikana ya visas plus transport dem akasepa. Nikajifunza kuhusu hawa watu jinsi wanasaidiana asee.
 
Fact mkuu chillah , ila nadhani polepole tutafika mahali itaisha.
Nina testimony.
Nilikutana na Nigerian(lady ) lilongwe kaibiwa dollars pamoja na iPhone yake. Hapo anatakiwa alipe transit visa ya boda ya Mozambique plus visa ya SA plus nauli ya kufika Joz na mfukoni hana kitu. Ikabidi tuanze kuwacheki Nigerians. Babati nzuri tukapata duka moja la mtz akatuelekeza duka la Nigerian, yule sister akamuelezea jamaa ikabidi jamaa awapigie wenzake pale town wakaanza kuchanga pesa ikapatikana ya visas plus transport dem akasepa. Nikajifunza kuhusu hawa watu jinsi wanasaidiana asee.
Impressive
 
Mmh yaan inamaana njia rahisi zaidi ya kuhamisha maisha majuu ni mpaka.uwe ba ndoa?

What if tayar mtu ana family huku lkn. Anataka kwenda kuharibu life huko hawez kwenda kwa njia nyingine mfano ajira, ama.biashara hata kama ni ndogo?
 
Fact mkuu chillah , ila nadhani polepole tutafika mahali itaisha.
Nina testimony.
Nilikutana na Nigerian(lady ) lilongwe kaibiwa dollars pamoja na iPhone yake. Hapo anatakiwa alipe transit visa ya boda ya Mozambique plus visa ya SA plus nauli ya kufika Joz na mfukoni hana kitu. Ikabidi tuanze kuwacheki Nigerians. Babati nzuri tukapata duka moja la mtz akatuelekeza duka la Nigerian, yule sister akamuelezea jamaa ikabidi jamaa awapigie wenzake pale town wakaanza kuchanga pesa ikapatikana ya visas plus transport dem akasepa. Nikajifunza kuhusu hawa watu jinsi wanasaidiana asee.

Aisee hakuna watu wana umoja kama Nigerians. Nilijionea mwenyewe
 
Dada unajua ktk East Africa au Africa nzima Watanganyika ndio wamekuwa watu waoga sana kutoka nje na hii wamezeshwa toka enzi ya J.K Nyerere yani wameaminishwa Tanzania na mikoa yake ndio sehemu pekee kuishi na kutafutia maisha ndio maana mpaka leo ukiomba passport lazima huwe na sababu dah hv ni kweli passport ndio kitambulisho cha kimataifa kinachomtambulisha mtu lakini kwenu kukipata mpaka eti ueleze sababu kwa nini unakitaka


Then kila ukimuuliza mtanganyika atakwambia anataka kwenda nchi ambayo kila siku anaisikia na kuiona kwenye BBC,CNN wakati kufika huko ni lazima uwe na vigezo na nchi hzo siku hz wanafunga mipaka kwa wahamiaji leo sijui kujilipua hakuna nafasi tena ukikamatwa tu ni safari hapo hapo ulipo sasa kama utaweza ukiona gari la LAPD au NYPD au POLICE ukajificha kwa miaka yote sawa lakini siku wakikukamata tu unarudi home kwenu bila hata kubeba sindano uje nayo home kuwaonyesha
Mm naomba kuuliza hivi kwa mtu ambaye ana family yaan mke na watt jr inawezekana ukahama nao kwenda huko nje?

Yaan ni rahisi sana mtu na familia kuweza kuhamia toka.tz kwenda nje kutafuta maisha? Kama ulivyodekeza kuhusu Malta?
 
Jaman mm hapo npo Tu nimelala kila nikiamka asbh na nashika passport yng mkononi nasali Mungu anitoe nchi hii am tired at the maximum hata nikisikia Kuna kaz nyuma ya nyumba ctaki kabsa coz kaz tembo mshahara sungura.plz yeyote mwnye kujua namna ya kuondoka anisaidie .nimesikia hbr za Malta cjui nianzie WP my email endrew91@hotmail.com

Hahahaha, upo kama mimi
 
[HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] uko wapi? ulifikia wapi zile harakati?? umekaa kimya kijana

nataka nianze ile michakato NI MIMI Tombstone
 
Kwan ww mkuu upo wap sasa.....? Kama umelijua wanachofanya kwa Wanaigeria na wakenya. Ww umewaalika watanzania wangap hko....?
 
Nitofautiane na wewe kidogo hapo, passport sio kitambulisho ni hati ya kusafiria sasa watanzania wote ni wasafiri ? Kuna kitambulisho cha taifa ndio haki kwa kila mtanzania.
Naungana na wewe ni kweli watanzania wanaojilipua kwenda nje ni wachache ukifananisha na majirani zetu yaani Kenya na Uganda ,hii inatokana na kukosa exposure ya kutosha.
Kupanuka kwa mitandao ya kijamii kama JF na mada kama hizi zinatufungua macho na kututoa usingizini.

Mi mwenyewe nataka nijilipue mwakani
 
Hizi issue za scholarships itabid tusaidiane sana
Rwanda hawaongei English but nowadays vijana wao wanatoka sana kusoma nje
Sisi watz tujitahid sana kuomba nafasi Mbali mbali
By tukifunga chuo early January 2018 nitafungua group la WhatsApp Kutoa maelekezo juu ya kuomba scholarship hasa Kwa hizi ninazofaidika nazo.
Itakuwa ni bure Maana sehemu Kubwa unafanya wew, Kwa sasa pana marafiki zang humu tunaelekezana Kimya kimya Ila mambo yanaenda vizuri.
Ni ajabu kusoma Kwa hela yako masters au PhD wakati unaweza kusoma bure kabisa na kupewa hela ya kuishi bila kudaiwa baadaye.
Nielekeze namimi maana nishaamua kujilipua
 
Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
UZI MZUR SANA SHUKRAN KWA MWANZILISHI WA UZI NA MEMBERS WOTE WALIOSHIRKI KUCHANGIA KWA NAMNA MOJA AMNA NYINGINE NIWE MUAZII HUU UZI UMENIFUNGUA MAMBO MENGI IF GOD WISHES NTAKUJA KUTOA MREJESHO BAADA YA MWAKA ..CUZ NTAKUWA ULAYA KWA MAPENZI YA MOLA ....UZII UMEJAA NONDO ZA KUFA MTU NAOMBA KILA MEMBERS MWENYE NIA YA KWENDA NG'AMBO ASUBUTU CUZ KILA KITU KIMEELEZEWA . KAZ NI KWETU TATIZO LETU WABONGO WENGI TUNATAKA SPOON FEED KITU AMBACHO SIO POAH SANA TUNATAKIWA TUWE KAMA WANAFUNZI WA SHULE ZA KATA AMBAO WENYE NIA HUWA WANAFAULU THROUGH HUSTLING ,,..MUNGU ATUBADIRIKI KTK HARAKAT ZENU ZA KUJENGA TAIFA NA INDIVIDUAL DEVELOPMENT,,KAULI MBIU TUKUTANE UGHAIBUNI
 
Back
Top Bottom