Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Husika na kichwa habari hapo juu;
Nashauri, masuala yanayohusu Elimu nchini yashughulikiwe kipekee zaidi kuanzia usimamizi na uratibu wake.
Hivyo basi: nashauri wizara ya Elimu iwe ndo mratibu mkuu wa shughuli zote za Elimu nchini kuanzia halmashauri mpaka Taifa, na vibao vyote vya shule viandikwe wizara ya Elimu, sayansi na Teknolojia badala ya TAMISEMI.
Kule halmashauri kuwe na ofisi ndogo za wizara ya Elimu ambazo zitashugulikia Maswala ya ualimu, ofisi hizo ziwe na;
1. Afisa Elimu
2. Mtaaluma
3. Afisa utumishi wa wizara ya Elimu.
NB: Mambo ya Elimu ni Maswala nyeti ni vyema utekelezaji wake usiwe na mgawanyiko gawanyiko, kwa mfano: kwasasa shule zote za msingi zipo TAMISEMI lakini vyuo vyote vya ualimu vipo wizara ya Elimu, tufanye shule na vyuo vyote viwe chini ya Wizara ya ELIMU sayansi na Teknolojia.
KAZI IENDELEE
Nashauri, masuala yanayohusu Elimu nchini yashughulikiwe kipekee zaidi kuanzia usimamizi na uratibu wake.
Hivyo basi: nashauri wizara ya Elimu iwe ndo mratibu mkuu wa shughuli zote za Elimu nchini kuanzia halmashauri mpaka Taifa, na vibao vyote vya shule viandikwe wizara ya Elimu, sayansi na Teknolojia badala ya TAMISEMI.
Kule halmashauri kuwe na ofisi ndogo za wizara ya Elimu ambazo zitashugulikia Maswala ya ualimu, ofisi hizo ziwe na;
1. Afisa Elimu
2. Mtaaluma
3. Afisa utumishi wa wizara ya Elimu.
NB: Mambo ya Elimu ni Maswala nyeti ni vyema utekelezaji wake usiwe na mgawanyiko gawanyiko, kwa mfano: kwasasa shule zote za msingi zipo TAMISEMI lakini vyuo vyote vya ualimu vipo wizara ya Elimu, tufanye shule na vyuo vyote viwe chini ya Wizara ya ELIMU sayansi na Teknolojia.
KAZI IENDELEE