Ushauri: Mbowe, Jumapili ya kwanza baada ya kutoka Mahabusu/Jela, itumie kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako

Ushauri: Mbowe, Jumapili ya kwanza baada ya kutoka Mahabusu/Jela, itumie kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako

Mzee wa Upako sijui kapatwa na nini, au ndio upako wenyewe? anafyatuka hatari.
Kwa sababu mwendazake alikuwa wa dini yake, na huyu sio wa dini yake ana hasira za UDINI
 
Hivi unasoma na kuelewa nilicho kuandikia au unafanyaje?si wewe ndio ulisema mimi nitakua mkatoliki kuonyesha huna uhakika na imani yangu? kwanza nikakujibu katika sentensi ya kwanza tuu ili ufahamu mimi ni nani!
Inaonyesha naongea na punguwani kabisa...soma nilioandika na uelewe, kama umeelewa na ujajibu majibu haya basi unauwezo mdogo mno wa akili.
Bila shaka unajiita mcatholic hujui hata mtaguso wa kwanza wala wa pili wa kanisa lako.
Wewe sio owner wa ucatholic huwezi nizuia kuwachallenge viongozi wa catholic.
Uwezo mdogo ulionao ndio umesababisha umeshindwa kuona mapungufu ya viongozi wako.
Swali kwanini walitumia nguvu kubwa kumnanga Magufuli kwenye haki na demokrasia
ila sasa wametulia?
Hilo swali sijakuuliza wewe na waulizia waliokushikia akili ambao ni viongozi wako.
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya njema.

Mbowe sio gaidi.
Rubbish tupu.
 
Mbowe kwenda kanisani kwa Mzee wa upako kwa sababu ya kutoa shukran
Ni hatar sana kwa aina hii ya ukristo

Tunakwenda kanisani ili kumuabudu Bwana na kumjua Mungu wa kweli

Na siyo tunakwenda kanisani kwa ajili ya Mtu unamuweka Mungu pembeni
 
Bila shaka unajiita mcatholic hujui hata mtaguso wa kwanza wala wa pili wa kanisa lako.
Wewe sio owner wa ucatholic huwezi nizuia kuwachallenge viongozi wa catholic.
Uwezo mdogo ulionao ndio umesababisha umeshindwa kuona mapungufu ya viongozi wako.
Swali kwanini walitumia nguvu kubwa kumnanga Magufuli kwenye haki na demokrasia
ila sasa wametulia?
Hilo swali sijakuuliza wewe na waulizia waliokushikia akili ambao ni viongozi wako.
Inept
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya njema.

Mbowe sio gaidi.
Siioni siku hiyo mbona mkuu- nimeitafuta sana.
 
Back
Top Bottom