Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Kama ni wasifutwe ubunge mahakama inaweza ila kama kuwarudishia uanachama wa CHADEMA wamechelewa.
Walipaswa kuzuia baraza kuu lisijadili uanachama wao.
Sasa katiba yao inawapa mamlaka Baraza kuu kuwafukuza uanachama, na very unfortunate walowapa ubunge hawapo na wengine wamekatwa mikia.

NIGUSE UNUKE
 
Kama ni wasifutwe ubunge mahakama inaweza ila kama kuwarudishia uanachama wa CHADEMA wamechelewa.
Walipaswa kuzuia baraza kuu lisijadili uanachama wao.
Sasa katiba yao inawapa mamlaka Baraza kuu kuwafukuza uanachama, na very unfortunate walowapa ubunge hawapo na wengine wamekatwa mikia.

NIGUSE UNUKE


Baraza kuu ndio lishitakiwe kwa kuwafanyia "uhuni".
 
Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Huwezi kufungua shauri mahakamani kama huna sababu za msingi, je hawakusikilizwa? Je Quorum haikutimia? je katiba na kanuni za chama hazikufuatwa? Kama ni hasira za kufukuzwa zinamuongoza kwenda mahakamani atashindwa mapema sana.
 
Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!

Hawajafukuzwa Ubunge, Bali uanachama. Kama wanataka Ubunge waende bungeni waendelee na vikao vya bajeti maana chadema iliwadukuza uanachama, kuhusu Ubunge watajuana wao na spika wao. Mbona kamati kuu iliwafukuza lakini wakaendelea na Ubunge.
 
Na wakifungua shauri hilo wanashinda, sheria inawapa wao credit kwasababu CDM wameshindwa kuprove kama orodha hiyo imeghushiwa kwa namna gani.
 
Ndugu wanajukwaa,

Awali niwapongeze CHADEMA kuruka kiunzi hiki, Maamuzi yeyote kinyume na haya yasingeeleweka kwa Wanachama.

Nikirejea kwenye mada, Kumekuwa na mijadala mingi ya namna kina Mdee na wenzake wanavyoweza kusalia bungeni. Katika mijadala hii tegemeo pekee linaloonekana ni kwa kutumia mahakama.

Ikiwa watafungua shauri mahakamani, na kama inavyoonekana kwamba waligushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kwamba Katibu hakuwahi kupeleka majina Tume, na kama haitoshi CHADEMA wamewahi kuiandikia Tume ya uchaguzi kukanusha wao kuwateua hao wabunge, Basi jambo hilo litakuwa kutafuta kuona nyeti za kuku.

Wakienda mahakamani itabidi waseme jinsi walivyoteuliwa, Jambo hili mahakamani litamuhusisha Katibu mkuu wa CHADEMA, Watu wa Tume ya Uchaguzi.
 
Halima si mjinga kiasi hicho,hawezi kwenda Mahakamani anajua akienda huko atawaingiza Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na Bunge mahali pagumu.

Waliomsaidia kutenda uovu lazima wana uwezo wa kumwambia sasa basi. Mungu wa Chato hayupo kupindisha sheria na kuvunja katiba.

Ngongo kwa sasa Uganda.
 
Ndugu wanajukwaa,

Awali niwapongeze CHADEMA kuruka kiunzi hiki, Maamuzi yeyote kinyume na haya yasingeeleweka kwa Wanachama.

Nikirejea kwenye mada, Kumekuwa na mijadala mingi ya namna kina Mdee na wenzake wanavyoweza kusalia bungeni. Katika mijadala hii tegemeo pekee linaloonekana ni kwa kutumia mahakama.

Ikiwa watafungua shauri mahakamani, na kama inavyoonekana kwamba waligushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kwamba Katibu hakuwahi kupeleka majina Time,na kama haitoshi CHADEMA wamewahi kuiandikia Tume ya uchaguzi kukanusha wao kuwateua hao wabunge, Basi jambo hilo litakuwa kutafuta kuona nyeti za kuku.

Wakienda mahakamani itabidi waseme jinsi walivyoteuliwa, Jambo hili mahakamani litamuhusisha Katibu mkuu wa CHADEMA, Watu wa Tume ya Uchaguzi.
Tatizo serikali haifuati sheria..tangu lini wameanza?
 
Back
Top Bottom