Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Kwenda mahakamani siyo jambo la lazima ni HIYARIMembe alivyofukuzwa uanachama CCM Mbona hakwenda mahakamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda mahakamani siyo jambo la lazima ni HIYARIMembe alivyofukuzwa uanachama CCM Mbona hakwenda mahakamani?
Tatizo la panya road kama wewe hamjui maana ya katiba ya chama.Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Amesahau kuwa hao wabunge walipewa nafasi ya kukata rufaaKama ni wasifutwe ubunge mahakama inaweza ila kama kuwarudishia uanachama wa CHADEMA wamechelewa.
Walipaswa kuzuia baraza kuu lisijadili uanachama wao.
Sasa katiba yao inawapa mamlaka Baraza kuu kuwafukuza uanachama, na very unfortunate walowapa ubunge hawapo na wengine wamekatwa mikia.
NIGUSE UNUKE
Zzk alishawapeni ushauri kuwa muende mkachimbe mashimo chato mkajifukieBaraza kuu ndio lishitakiwe kwa kuwafanyia "uhuni".
Acha upumbavu, weka hapa hizi documents ulizoziorodhesha hapo juu,watu kama wewe ndio mna dilute JF ,shame on youHawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Membe alivyofukuzwa uanachama CCM Mbona hakwenda mahakamani?
Sawa, wanaweza kutumia mahakama za CCM kubakia Bungeni who cares anyway - ila ndani ya CDM ndiyo baba jeni bye bye.Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Tume na bunge hawajawafukiza uanachama
Wanachoenda kushtaki ni kupinga kufukuzwa uanachama kinyume cha sheria na katiba ya Chadema
Wamefoji matokeo ya kura hadi wakajisahahu kanda nne hazipo kwenye matokeo yaliyotangazwa!!! Huo ni uhuni
😀Hao mawakili wote walimshindwa zitto kabwe alipofukuzwa kihuni
Mkuu kumbuka hii ilikua rufaa baada ya awali kufukuzwa Sasa wangeendaje mahakamani Tena kuzuia Baraza lisijadili rufaa Yao?Kama ni wasifutwe ubunge mahakama inaweza ila kama kuwarudishia uanachama wa CHADEMA wamechelewa.
Walipaswa kuzuia baraza kuu lisijadili uanachama wao.
Sasa katiba yao inawapa mamlaka Baraza kuu kuwafukuza uanachama, na very unfortunate walowapa ubunge hawapo na wengine wamekatwa mikia.
NIGUSE UNUKE
Umejuaje mkuu kama walipewa barua na Chadema? Chadema walikana kufanya hivyo since day one, ushahid wao pia walizungumzia issue ya Husna aliyekua magereza; so na wewe kwa akili yako unaamini kwamba Chadema wangeweza ku influence Husna atolewe magereza, tena USIKU!? Tutumie ubongo kufikiri, hivi viungo vingine tuviache vifanye kazi yao na ubongo pia ufanye kazi yake!Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Kabla ya kuandika shirikisha kidogo ubongo wako
wao hawaendi Mahakamani kupinga kufukuzwa ubunge bali wanakwenda mahakamani kupinga utaratibu uliotumika kufukuzwa uanachama
kwa hivyo mambo ya ubunge au tume hayatahusika.
mahakama itajikita ktk hoja ya msingi kwamba Je; CHADEMA imezingatia utaratibu wa kuwafukuza uanachama?
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
baraza lenye wajumbe 400+ unapata kura 1% na wote 400 hawakutaki kwenye chama unatafuta tena haki gani?Baraza kuu ndio lishitakiwe kwa kuwafanyia "uhuni".
Ubora wa mwanasiasa ni kuwa muadilifu. Nazidi kutilia mashaka maandiko yako kama unashabikia wanasiasa wasio waadilifu na kuwaita asset bora ya kisiasa. Mwanasiasa anayeweza kulaghaiwa na kuikana itikadi yake na ya chama chake unamuita asset! Kwelinimeamini mtu kadri anavyozeeka na akili yake huzeeka.Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Umekuwa mjinga wa daraja ya juu. Mahakama haina uwezo wa kishetia au kikatiba wa kulizuia bunge kutekeleza jambo lolote lililo chini ya mamlaka yake.Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Kwani wakati Zito Anaenda Mahakamani alienda kama Nani?Wanashtaki Kama akina Nani? Maana sio wanachama.
Aisee hii imekaa kitaalamu sana, ukisimama nchale, ukichuchumaa nchaleKwa katiba ya chadema mwanachama hatakiwi peleka shauri mahakaman kuhusu maamuz ya chama , ukifanya hivyo unapoteza uanachama
Either way haiwasaidii kitu
Ukiona mtu anatetea Malaya Malaya wa kisiasa ujue hata yeye ni Malaya. Huyo Pascal hajitambui ni njaa kali inamla. Anafikiri kwa kutumia Makalio akizani Watanzania bado wajinga Kama yeye na hao vibaraka wao Covid19.Wanasiasa Malaya Malaya...Wanaogushi Nyaraka na kununulika kusaliti Chama Chao..wanawezaje kuwa Good Assets!???
Wamepata wanachostahili....